Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

[emoji15][emoji15] ahsante Kwa ufafanuzi [emoji3][emoji3][emoji3] kawakomoa lakini si wapo wale 19 [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kwahiyo mhimili wa Mahakama unaingiliwa na Rais Samia....!!!?[emoji849]
Exactly,ndiyo point yake huyo zuzu. Halafu watu tukisema nchi kuongozwa kwa "mfumo wa mtu mmoja" ni upumbavu wa hali ya juu,wanasema tunakosea.
Mh. Rais Samia akitaka hii nchi ipige hatua kikweli kweli, basi aruhusu kutengenezwa kwa "mfumo wa pamoja". Na mfumo unaanza kutengenezwa kwa katiba ya wananchi.
 
Alitakiwa aendelee na misimamo ya JPM ili asiwe mnafiki?
 
Mnataka hyo katiba ili hii inch isitawalike..kila siku tuwe tunakimbizana mahakaman na kina lisu..hii ni africa wew
Mambo ya kitaifa usifanye ya mtu binafsi,hatuzungumzi katiba ya Lissu,tunazungumza katiba ya Tanzania. Nenda na HOJA achana na mambo Binafsi
 
Binafsi nimeshasema hivyo, hawa kumbe bora kuwalamba mijeledi na kuwafanyia umafia tu, ukiwaendekeza huwezi kutawala maana akili zao zakitoto saaana halafu hawajui maana ya siasa na kuongoza nchi..
Wewe ni punguani. Tanzania hatutaki "watawala", tunataka viongozi. Wewe unayetaka kutawala nenda kamtawale mumeo.
 
Kama huoni nguvu ya Rais SSH kwenye kufutwa kwa mashtaka ya UAMSHO basi wewe ni kipofu wa ubongo
 
Kuna wengi hawakuweka mtu yeyote ndani (Professor Balegu, Maalim Seif), nao hatunao tena!

Mwelekeo wa maoni yako ni kinzani na mengine:

 
Huyu Lisu yeye kwao si kenya na anaipenda sana Kenya na Uhuru Kenyata ndio maana 2017 alimpigia kampeni kenyata badala ya odinga sababu alikuwa urafiki na marahemu?
Mbona unapenda kunukuu watu vibaya na kupotosha jamii?
 
Baada ya miaka 60 ya uhuru, ni kweli hatuna chochote cha kujivunia? Muwe mnamuogopa hata Mungu basi.
Ni kwa vile upunzani hawajawahi kuongoza nchi au una lingine? Unadhani nchi ikiongozwa na upinzani kutakuwa na maajabu yoyote?
Sijui kwanini huwa natamani mpewe nchi hata miaka mi5 tu ili nishuhudie maajabu yenu.
 
Haswaaa
 
Majaribio nchi nzima kwa miaka 5?
 
Mama kama mwenyekiti wa CCM amesema mara kadhaa kwamba asubiriwe kidogo. Hapo utasemaje CCM hawataki katiba mpya?

Nini shida tena??
 
Kwahio leo maza anademka
 
MBOWE NI MJINGA MJINGA. Sijui inakuwaje awe Mwenyekiti yule makengeza asiye na elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…