Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mkuu BAK Mapambano ni strategy hapo ndipo panapohitaji umakini:


Kudos Mbowekumzingua, Lissu na pro haki wote.
Huyo mama si alikuwa mmoja wa timu magufuli kama aliona maovu kwanini hakusema hadharani? Kitumbua chake alikiona muhimu sana kuliko haki za Watanzania kudhulumiwa?
Unakuwaje shukrani na dikteta anayetaka eti atengeneze uchumi kwanza kisha ndiyo katiba mpya. Uchumi atautengeneza kwa miaka miaka mingapi? 10, 20 au 30!?
 
Binafsi nimeshasema hivyo, hawa kumbe bora kuwalamba mijeledi na kuwafanyia umafia tu, ukiwaendekeza huwezi kutawala maana akili zao zakitoto saaana halafu hawajui maana ya siasa na kuongoza nchi..
Hahahahah kwani kilichomfanya mzee wa chato kuwapiga spana ni kitu gani? Imagine unafundisha darasa mbele halafu kuna wajinga kadhaa back benchaz wameanzisha kilinge wanapigishana story kiasi kwamba kunakosekana kusikilizana😂😂😂 wanavuruga utaratibu halafu wao kazi yao ni kusema tuna haki ya kuongea!
 
Mama analo! Tushamwambia sana huyo mama kwamba hakuna kitu chochote alichokifanya bosi wake ambacho hakukupaswa kufanywa kwa mazingira ya nchi aliyorithi.

Bosi wake amekaa kwenye siasa miaka zaidi ya 20, kakaa na wapinzani sana na stori zao za vijiweni anazifahamu. Hivi unaweza kuwachukulia serious watu wasioeleweka wanataka nini?

Sasa mama analo! Maana tayari kashaanza kuonekana kuyumba kwenye falsafa za Magufuli ili awafurahishe anti-Magufulis, sasa hao hao Magufulis haters washaanza kumdiss mama. Hii gemu tamu sana kucheki kwa mbali.
 
Hahahahah kwani kilichomfanya mzee wa chato kuwapiga spana ni kitu gani? Imagine unafundisha darasa mbele halafu kuna wajinga kadhaa back benchaz wameanzisha kilinge wanapigishana story kiasi kwamba kunakosekana kusikilizana😂😂😂 wanavuruga utaratibu halafu wao kazi yao ni kusema tuna haki ya kuongea!

Mkuu Extrovert angalia hii:


Kuna tofauti 😂😂😂😂.
 
Ni wapuuzi wakubwa hawa Mkuu. Hata haki za msingi za Watanzania hawazijui!!! Huyo mama anatunga tu katiba yake kichwani ili aminye uhuru na haki ya Watanzania na vyama vya uoinzani kukutana hadharani. Dikteta kaanza kuonyesha rangi zake za kweli. Muda si mrefu ataanza kutumia polisi na mahakama kubambikia Watanzania kesi za uchochezi. Yale yale ya dhalimu mwendazake.
Kwahio sahizi haupigi mwingi au sio?🤣🤣🤣 Tatizo la watanzania ni ujuaji! Uraisi ni taasisi sio kama uwalimu wa twisheni za miembeni!
 
Mama analo! Tushamwambia sana huyo mama kwamba hakuna kitu chochote alichokifanya bosi wake ambacho hakukupaswa kufanywa kwa mazingira ya nchi aliyorithi.

Bosi wake amekaa kwenye siasa miaka zaidi ya 20, kakaa na wapinzani sana na stori zao za vijiweni anazifahamu. Hivi unaweza kuwachukulia serious watu wasioeleweka wanataka nini?

Sasa mama analo! Maana tayari kashaanza kuonekana kuyumba kwenye falsafa za Magufuli ili awafurahishe anti-Magufulis, sasa hao hao Magufulis haters washaanza kumdiss mama. Hii gemu tamu sana kucheki kwa mbali.
Yah! Ataipenda maana aliihisi hao akina Mbowe ni watu wa maana sana! Sometimes wapuuzi ni kuwa ignore tu unaachana nao sasa yeye akitaka arespond kwa kila kitu watamfurahisha na nchi hatakaa aiendeshe kwa utulivu! Magufuli kuwapiga pini aliona maana mwanzo alipoanza walikuwa huru tu kufanya mambo yao wakaanza kuanzisha movement za kijinga za kumpinga na kumtunga majina ya hovyo 😂😂😂 ndipo alipoamua ku deal nao squarely!

Wakaishia kupigwa pin kuendesha vikao vya hovyo na wengine kula njugu kama Lissu ndio alikuwa kiherehere mno! Kama sio mtu mzima vile na alikuwa anamfanyia mockery Magufuli za waziwazi akihisi hawezi kufanywa chochote mpuuzi yule!
 
Ni wapuuzi wakubwa hawa Mkuu. Hata haki za msingi za Watanzania hawazijui!!! Huyo mama anatunga tu katiba yake kichwani ili aminye uhuru na haki ya Watanzania na vyama vya uoinzani kukutana hadharani. Dikteta kaanza kuonyesha rangi zake za kweli. Muda si mrefu ataanza kutumia polisi na mahakama kubambikia Watanzania kesi za uchochezi. Yale yale ya dhalimu mwendazake.

Mkuu BAK:


Mbona tuko vizuri? Nini kimebadilika?
 
Mkuu Extrovert angalia hii:


Kuna tofauti 😂😂😂😂.
Yale yale tu, sahizi washaanza kumgeuka wapuuzi wale walioanza kwa mbwembwe...Mama anaupiga mwingi, mama mitano tena, mama tumpe umalikia yani Chadema ni kama watoto wadogo ukimnyima biskuti asioze meno anakuona adui!
 
Yah! Ataipenda maana aliihisi hao akina Mbowe ni watu wa maana sana! Sometimes wapuuzi ni kuwa ignore tu unaachana nao sasa yeye akitaka arespond kwa kila kitu watamfurahisha na nchi hatakaa aiendeshe kwa utulivu! Magufuli kuwapiga pini aliona maana mwanzo alipoanza walikuwa huru tu kufanya mambo yao wakaanza kuanzisha movement za kijinga za kumpinga na kumtunga majina ya hovyo 😂😂😂 ndipo alipoamua ku deal nao squarely!

Wakaishia kupigwa pin kuendesha vikao vya hovyo na wengine kula njugu kama Lissu ndio alikuwa kiherehere mno! Kama sio mtu mzima vile na alikuwa anamfanyia mockery Magufuli za waziwazi akihisi hawezi kufanywa chochote mpuuzi yule!
Mwendazake was right, mama asipokaa vizuri hizi operation faru John zitamtikisa vibaya mno na huo uchumi atakao kuujenga hataweza.
 
Yale yale tu, sahizi washaanza kumgeuka wapuuzi wale walioanza kwa mbwembwe...Mama anaupiga mwingi, mama mitano tena, mama tumpe umalikia yani Chadema ni kama watoto wadogo ukimnyima biskuti asioze meno anakuona adui!
😀 😀 😀 😀
 
Mnamuona faala sasa mwamsheni halafu muanze kutupigia kelele kila anayekuja kwenu m baya hata dunia itawashangaa, nilijua tu hii mara mbeya mara wapi haina jema mlikuwa mnapima upepo, ingieni barabara mtakwenda wasimulia wake zenu, Sisi tupo watoa pole
Hahahah Chadema wanataka kuendeleza siasa zao za kiasi katika nchi ambayo ina taratibu zake na misingi toka ilipopata uhuru! Wameshaanza upuuzi kama zama za UKAWA 😂😂😂 sasa Samia aendelee kuwachekea aone kama ni rahisi ku deal na Psychs! Wa Msoga alijikita kwenye upigaji na vacations ndio maana alikuwa haathiriki sana na ujinga wao wkizidisha kelele wanapigwa vibahasha wanatulia! Magu yeye hakuwa na ujinga huo...
 
Mwendazake was right, mama asipokaa vizuri hizi operation faru John zitamtikisa vibaya mno na huo uchumi atakao kuujenga hataweza.
Aah tumuache bana anaupiga mwingi sana mama 😂😂😂 tuone kama kuna gari inaendeshwaga na madereva wawili wanaogombania usukani na ikafika salama. Mkiambiwa amiri jeshi ni mmoja ama kamanda ni mmoja always muwe mnaelewa!

Sasa ngoja tuone kama maneno pekee huwa yanatosha bila vitendo!
 
Yah! Ataipenda maana aliihisi hao akina Mbowe ni watu wa maana sana! Sometimes wapuuzi ni kuwa ignore tu unaachana nao sasa yeye akitaka arespond kwa kila kitu watamfurahisha na nchi hatakaa aiendeshe kwa utulivu! Magufuli kuwapiga pini aliona maana mwanzo alipoanza walikuwa huru tu kufanya mambo yao wakaanza kuanzisha movement za kijinga za kumpinga na kumtunga majina ya hovyo 😂😂😂 ndipo alipoamua ku deal nao squarely!

Wakaishia kupigwa pin kuendesha vikao vya hovyo na wengine kula njugu kama Lissu ndio alikuwa kiherehere mno! Kama sio mtu mzima vile na alikuwa anamfanyia mockery Magufuli za waziwazi akihisi hawezi kufanywa chochote mpuuzi yule!
Maza anadhani kuendesha nchi ni sawa na kucheza taarab. Watu hawajifunzi tu yaani, hivi kuna mtu aliyekuwa soft zaidi ya JK? Yule mzee ni mpole sana (hadi inakera) matokeo yake nchi ikakaribia kuwa a failed state, huku wapinzani wakichekelea na kuutumia udhaifu wake. JPM hakuruhusu udhaifu wa aina yoyote ile, yet wapinzani wakaanza kumchukia kwa kukosa talking points -- na point yao kubwa ikabaki eti uhuru wa kujieleza, bla bla.

Mama si unataka kupendwa? Fanya kila kitu wanachokwambia hao jamaa zako akina Mbowe na Lissu.
 
Hlo ulilozungumza ni sawa,isipokuwa fikra zimeshajengwa ktk nchi hii watu kutegemea ihsan kwa kiongozi wa juu.
Hakika ubovu wa katba iliyopo hata CCM wameonja machungu yake
Fikra zipi??

Kwahiyo kama sio kwa ihsan ya kiongozi flani tutatumia njia gani nyengine?? Na kwanini tutumie Nemo ihsan???

Neno Ihsan sio neno sahihi. Neno sahihi ni busara. Kwa hiyo ndio, ni lazima tutegemee busara za kiongozi flani ili baadhi ya mambo yawe. Ukiwemo hili la katiba mpya
 
Yah! Ataipenda maana aliihisi hao akina Mbowe ni watu wa maana sana! Sometimes wapuuzi ni kuwa ignore tu unaachana nao sasa yeye akitaka arespond kwa kila kitu watamfurahisha na nchi hatakaa aiendeshe kwa utulivu! Magufuli kuwapiga pini aliona maana mwanzo alipoanza walikuwa huru tu kufanya mambo yao wakaanza kuanzisha movement za kijinga za kumpinga na kumtunga majina ya hovyo 😂😂😂 ndipo alipoamua ku deal nao squarely!

Wakaishia kupigwa pin kuendesha vikao vya hovyo na wengine kula njugu kama Lissu ndio alikuwa kiherehere mno! Kama sio mtu mzima vile na alikuwa anamfanyia mockery Magufuli za waziwazi akihisi hawezi kufanywa chochote mpuuzi yule!

Mkuu si Mbowe wala Lissu ambao wako petty kama ambavyo yeyote angetaka kudai.

Watu hao ni sober na mama anajua hivyo.

Tofautisha maoni ya Mbowe au Lissu na watu waliotegemea kupewa mchakato wa katiba jana "on a silver platter."

Hata Mama anajua upande ule wapo wanaoona na wanaojua nini wanataka na namna gani ya kukipata.

Mama alishasema Samia = JPM.

Nini kimebadilika jana?
 
Back
Top Bottom