Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.

Unaweza kuwa una hoja, ila iko kisiasa zaidi. Mikutano ya kidini kama kina Mwakasege, Mwamposa nk iko kila siku, na inafanana kwa mikusanyiko na hiyo ya siasa, mbona hiyo haikatazwi? Ama kwakuwa hii ya kisiasa inahatarisha ulaji wa walioko madarakani?
 
Tusubiri kidogo mpaka lini,jambo lolote lenye plan,linakuwa na timeframe, kuhusu uchumi na ajira, ni zao la katiba mbaya na kandamizi, KATIBA ni msingi wa yote, Kwani kilichoharibu uchumi na hata ajira si kilitokana na katiba,iliyotengeneza mamlaka isiyo wajibishwa???
Tusubiri Mama analifanyia kazi. Mpaka mambo yatakapokaa sawa basi utekelezaji wake utafuatwa.
 
"Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA. Yawezekana, wewe na washauri wako hamjaelewa maumivu tuliyopitia kwa miaka 5 ya mtangulizi wako!! Na ndiyo sababu tulikuomba sana utusikilize mapema!! Kauli hii leo inatulaza na machozi!! Very very sad!!"-Freeman Mbowe

Miaka 60 ya uhuru mnaongoza ninyi na chama chenu stori ni hizo hizo mnajenga nchi lkn tumeendelea kuwa masikini tunahitaji katiba mpya sasa yatosha
 
Unaweza kutuonyesha kwa ushahidi kuwa kipindi mikutano ya hadhara inaruhsiwa ujenzi wa nchi ulisimama!?
Ujenzi wa nchi ni swala la kila siku,kipindi cha mwendazake maneno yalikuwa hayahaya najenga nchi,nanyoosha nchi,nasafisha nchi,ila sisi tulio hai leo ni mashahidi wa madudu yanayoonekana leo kama matokeo ya kauli & matendo ya mwendazake.
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ujinga mnaoufanya yakianza tena yale yakina Sabaya na Konda boy tusilaumiane maana mnaanza wenyewe kuiweka nchi kwenye tension na taharuki za kipumbavu kabisa..mnapoichokonoa dola mkumbuke pia ina namna yake yakufanya kazi ili kila mtu aishi kwa amani....
We waache tu.

Tutaelewana tu muda ukifika
 
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
Wewe ulipata div 0 form four,na zaidi ya yote uliingia form one ukiwa na marinda lakini umeondoka form four ukiwa umefumuliwa marinda,tena siyo kwa kubakwa lakini kwa tamaa zako ukitaka kuishi kama mtoto wa kishua kumbe kwenu unalala chuma kimoja na mifugo. Yule jamaa wa kiarabu alikupatia kweli kweli maana alikufanya mkewe kabisa. Bora aliyepata div 0 kuliko wewe uliyegeuka shoga kwa tamaa ya viwalo tu.
 
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
Bill Gates alipata dvn ngapi?Usikariri maisha ndio maana mnasota mtaani na vi BA vyenu
 
0 nayo ni namba tu uhalisia wa maisha kuna wakati hauna msaada na namba za matokeo ya shule.
 
Kama inshu ni mzunguko wa pesa basi tuwe nchi wauza madawa ya kulevya, ya wakwepa kodi, ya wachuuzi wa bidhaa kutoka China, ya wajilipa posho pesa ya umma. Ndiyo nchi ilivyokuwa awamu ya nne, mwambie na Samia aifanye hivyo. Kama inshu ni pesa kuna namna nyingi za kupata pesa za bwerere kabisa.
Magufuli amefanya maisha ya watu kuwa magumu kwa kutoangalia vipaumbele!Huwezi kuwa mjenzi tu ukasahau mambo mengine!Afadhali ameondoka mapema kabla nchi haijazama!
 
tangu muwe wapinzani mmeshindwa kujenga ofisi makao makuu ndo mpewe nchi mtaiweza?
Kwani hiyo nchi inaongozwa kwa matamko?

Jitahidi utapata kibarua hapo lumumba naona mnapigwa bao ni wahamiaji.
 
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
Winston Churchill waziri mkuu wa
zamani wa uingereza hakuwa msomi wa kiwango cha shahada lakini ndiye waaziri mkuu anaeheshimka kuliko wote katika historia ya Uingereza.
 
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.

kila mtu anajua hilo, pamoja na ndugu yake lema ambae shule hajagusa kabisa
 
Ishu ya katiba sio nyepesi mzee! Hata wewe kwenye mambo ya kuamua kwenye familia yako lazima kuna jambo utasema hili tusubiri kwanza! Mm naamini atalifanyia kazi
Sijasema Katiba,nimemaanisha shughuli nyingine za kisiasa ambazo ni haki za kikatiba!Tujenge uchumi lakini pia na mbo mengine yaendelee!
 
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
Na wewe ambae hukufika form 6 utaitwale? je utajiri alionao unaufikia kwa kiasi gani? Acha hizo na yule mbunge wa geita ana elimu ya kiwango gani? muungwana haukumiwi kwa vidato?
 
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
Kwani mama samia alipata division ngapi kilaza tu na yeye
 
Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
Jiwe alishakumbwa na kimbunga
 
Back
Top Bottom