Mbowe: Masharti ya DP World na Bandari yanazuia Serikali kujitoa, kuahirisha, kusitisha au kuvunja Mkataba

Mbowe: Masharti ya DP World na Bandari yanazuia Serikali kujitoa, kuahirisha, kusitisha au kuvunja Mkataba

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Akizungumza kutoka Berlin Ujerumani, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema kwa mujibu wa Masharti ya Mkataba huo yanaonesha kuwa endapo kutakuwa na ulazima wa kuvunja Mkataba itabidi uamuzi utolewe na Mahakama ya Usuluhishi ya Kimataifa.

Amesema DP World wanataka kupata haki ya kuendeleza, kuendesha na kuboresha Bandari zote za Baharini na Maziwa yote, kitu ambacho ni hatari kumwachia mtu mmoja kuhodhi hayo muhimu. Hali hiyo inaonesha Serikali haijapata funzo ilipobinafsisha TANESCO, TRL, ATCL na mashirika mengine.

Aidha, ameongeza Mkataba umeanza kutekelezwa kwa shughuli za awali baada ya kusainiwa wakati Bunge halijaupitia na kuridhia, hivyo Bunge linatumika kwasasa kwenda kupitisha tu na halina mamlaka ya kubadili chochote.

 
Waafrika tukiitwa manyani na hatuna akili tunafura kwa hasira. Sasa mtu unabinafsisha bandari zote alafu Miaka Mia Kama siyo matatizo ya akili ni nini?

Kuna wapuuzi huko Twitter wamepewa hela ya vocha kupush ajenda kwba mkataba hauna noma na utatunufaisha Kama nchi. Waafrica tuna laana ya asili asee!!
 
Waafrika tukiitwa manyani na hatuna akili tunafura kwa hasira. Sasa mtu unabinafsisha bandari zote alafu Miaka Mia Kama siyo matatizo ya akili ni nini?

Kuna wapuuzi huko Twitter wamepewa hela ya vocha kupush ajenda kwba mkataba hauna noma na utatunufaisha Kama nchi. Waafrica tuna laana ya asili asee!!
Uafrika hasa utanzania ni LAANA.

Wale Raia 66 walio ukana utanzania na raia wengine wengi waliokimbia hii nchi na hili bara wako sahihi kabisa kuvua Laana na kujitakasa kutoka kwenye Laana.
 
...Hivi hatuna namna ya Kuingia Mstuni, kuukomesha Uhuni huu ?

Mbowe, Lisu, Zito. Wakati Umefika Sasa wa Kuachana na Maridhiano ya Midomo Mitupu... Na tushike Silaha tuingie Msituni !
Ndivyo Wenzetu wanavofanya...[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Uafrika hasa utanzania ni LAANA.

Wale Raia 66 walio ukana utanzania na raia wengine wengi waliokimbia hii nchi na hili bara wako sahihi kabisa kuvua Laana na kujitakasa kutoka kwenye Laana.
Kwa hatua iliyofikia Tanzania hata Mimi nitaukana uraia siku siyo nyingi.

Nchi imegeuka ya machawa na wapiga mapambio kila kitu,hata kwenye media hao wachambuzi wanabyoliongelea Hili swala Unabaki kupigwa na bumbuazi kwa jinsi wanavyosifia upuuzi.

Huku mikataba ya hovyo bandarini,huku inatoka mikeka ya ukatibu na ukurugenzi wanateuana wao kwa wao kwenye nchi yenye raia zaidi ya milioni 60.
 
Wenzetu wananyolewa
Screenshot_20230607_092332_Instagram.jpg
 

Niliwahi kusema humu,ukiwaona viongozi wetu wanavyosafishiwa barabara ili wapite haraka unaweza kudhani ni watu makini sana wanawahi sehemu.

Hivi mtu unakubali vipi kuingia mkataba ambao haukuruhusu kujitoa.

Hebu labda viongozi wetu watoke hadharani wajaribu kutuelezea wameona nini kwa hao watu wanaotaka kuwapa bandari zetu kwa muda usiotambulika.
 
Kwa hatua iliyofikia Tanzania hata Mimi nitaukana uraia siku siyo nyingi.

Nchi imegeuka ya machawa na wapiga mapambio kila kitu,hata kwenye media hao wachambuzi wanabyoliongelea Hili swala Unabaki kupigwa na bumbuazi kwa jinsi wanavyosifia upuuzi.

Huku mikataba ya hovyo bandarini,huku inatoka mikeka ya ukatibu na ukurugenzi wanateuana wao kwa wao kwenye nchi yenye raia zaidi ya milioni 60.
Tanzania sio nchi ya kuishi. Hii nchi ina ujinga na upumbavu mwingi sana.
 
Back
Top Bottom