Mbowe: Masharti ya DP World na Bandari yanazuia Serikali kujitoa, kuahirisha, kusitisha au kuvunja Mkataba

Mbowe: Masharti ya DP World na Bandari yanazuia Serikali kujitoa, kuahirisha, kusitisha au kuvunja Mkataba

Akizungumza kutoka Berlin Ujerumani, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema kwa mujibu wa Masharti ya Mkataba huo yanaonesha kuwa endapo kutakuwa na ulazima wa kuvunja Mkataba itabidi uamuzi utolewe na Mahakama ya Usuluhishi ya Kimataifa.

Amesema DP World wanataka kupata haki ya kuendeleza, kuendesha na kuboresha Bandari zote za Baharini na Maziwa yote, kitu ambacho ni hatari kumwachia mtu mmoja kuhodhi hayo muhimu. Hali hiyo inaonesha Serikali haijapata funzo ilipobinafsisha TANESCO, TRL, ATCL na mashirika mengine.

Aidha, ameongeza Mkataba umeanza kutekelezwa kwa shughuli za awali baada ya kusainiwa wakati Bunge halijaupitia na kuridhia, hivyo Bunge linatumika kwasasa kwenda kupitisha tu na halina mamlaka ya kubadili chochote.


Tuanze kumwondoa mama.
 
Akizungumza kutoka Berlin Ujerumani, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema kwa mujibu wa Masharti ya Mkataba huo yanaonesha kuwa endapo kutakuwa na ulazima wa kuvunja Mkataba itabidi uamuzi utolewe na Mahakama ya Usuluhishi ya Kimataifa.

Amesema DP World wanataka kupata haki ya kuendeleza, kuendesha na kuboresha Bandari zote za Baharini na Maziwa yote, kitu ambacho ni hatari kumwachia mtu mmoja kuhodhi hayo muhimu. Hali hiyo inaonesha Serikali haijapata funzo ilipobinafsisha TANESCO, TRL, ATCL na mashirika mengine.

Aidha, ameongeza Mkataba umeanza kutekelezwa kwa shughuli za awali baada ya kusainiwa wakati Bunge halijaupitia na kuridhia, hivyo Bunge linatumika kwasasa kwenda kupitisha tu na halina mamlaka ya kubadili chochote.


Nimekuwa na kawaida ya kutokubaliana na mengi ayasemayo Mbowe na Chadema kwa ujumla. Lakini kwa hili nakubaliana naye kwa asilimia 100. Tuungane Watanzania kuokoa nchi.
 
Tumuunge mkono Mbowe na Chadema kwa ujumla wake!

Huu mkataba unapaswa kuwa daraja la kuiondoa CCM na Bunge lake!

Hii inafaa kuwa ticket ya Samia kurudia Zanzibar!

Uhuni ufike mwisho sasa!

#kataawahuni
 
Mabadiliko ya Katiba hayakwepeki. Huu utaratibu wa makamu wa Rais kushika madaraka ya Urais kwa miaka 5 kasoro, sinadhani kuna nchi nyingine dunia wanautumia!

Maana ni mfumo wa hovyo mpaka basi. Siku 90 zilikuwa zinatosha sana.
 
Tumuunge mkono Mbowe na Chadema kwa ujumla wake!

Huu mkataba unapaswa kuwa daraja la kuiondoa CCM na Bunge lake!

Hii inafaa kuwa ticket ya Samia kurudia Zanzibar!

Uhuni ufike mwisho sasa!

#kataawahuni
mbowe na chadema mnachotakiwa sasaivi ni kuipigania Tanganyika tu, kwasababu kule zanzibar hamnaga kitu mnapata. hamna hasara yeyote mkiitosa zanzibar. yaani watu hawazidi hata milioni mbili watusumbue WAtanganyika zaidi ya 58 milions? kweli?
 
I second. CCM must go.

Huwa nawekaga angalizo..... nalo ni

Chagua kwa Uangalifu 2025

....hata hivyo mbadala wake ni hatari zaidi. The revolution must be within CCM itself.

CCM must go!
Nakukumbusha mkuu nchi uchaguzi huwa geresha hivyo 2025 kitu pengine kinaweza saidia ni kutiana adabu ila kwa karatasi haiwezekani kamwe kuiondoa CCM.
 
Back
Top Bottom