Mbowe: Masharti ya DP World na Bandari yanazuia Serikali kujitoa, kuahirisha, kusitisha au kuvunja Mkataba

Mbowe: Masharti ya DP World na Bandari yanazuia Serikali kujitoa, kuahirisha, kusitisha au kuvunja Mkataba

Nchi inaendeshwa na kundi dogo sana, huenda wabunge ni kiini tu hakuna kazi hasa hawa jamaa wanaweza kufanya as kila kitu kinaamuliwa na hilo kundi dogo.
Sasa we mtu upitishwe Kwa goli la mkono kwa msaada wa Serikali,utakuwa na ujasiri Gani wa kuikosoa Serikali hiyo hiyo inayokupa mkate wako wa Kila siku!?

Hata miye ningekula mlungula maana hata nikikataa au nikubali hakuna nitakalobadilisha
 
Nchi inaendeshwa na kundi dogo sana, huenda wabunge ni kiini tu hakuna kazi hasa hawa jamaa wanaweza kufanya as kila kitu kinaamuliwa na hilo kundi dogo.
Huwezi kutenganisha uuzaji wa bandari ya Bagamoyo chini ya serikali awamu ya 4 na haya yanayoendelea muda huu. Aliyekuwa na uchungu na nchi aliusitisha ule mpango ovu alipoondolewa sasa awamu ya 4 wamekuja vile vile wakivaa ngozi nyingine
 
Toa ushauri tufanyaje sio kututukana tu.
Hamjui hata cha kufanya kwa vile mna swagwa kama ma ng'ombe na mna Laana.

Narudia tena kukwambia:

"Uafrika hasa utanzania ni LAANA"

Bold kabisa hii statement.

Ukitaka ushauri wa kufanya ni kuhama Tanzania kabisa na ku ukana Uraia ili kujitakasa na Laana.
 
Hamjui hata cha kufanya kwa vile mna swagwa kama ma ng'ombe na mna Laana.

Narudia tena kukwambia:

"Uafrika hasa utanzania ni LAANA"

Bold kabisa hii statement.

Ukitaka ushauri wa kufanya ni kuhama Tanzania kabisa na ku ukana Uraia ili kujitakasa na Laana.
Mbona mama mwenye chawa wake ni mwarabu pure kabisa, basi tuseme pia uarabu ni laana.
 
Mbona mama mwenye chawa wake ni mwarabu pure kabisa, basi tuseme pia uarabu ni laana.
Waarabu wanajitambua wako hapa kutafuta Faida ya Vizazi vyao.

Waarabu wameona Fursa kutoka kwa wajinga wenye mali na rasilimali yao lakini wameshindwa kuiongoza na kuisimamia.

Mali unayo, rasilimali unazo ila kuzisimamia huwezi mpaka uje usaidiwe! Hii ni zaidi ya ukosefu wa Akili na ni LAANA.

Nakwambia tena hapa,

Uafrika hasa utanzania ni LAANA.
 
Huwezi kutenganisha uuzaji wa bandari ya Bagamoyo chini ya serikali awamu ya 4 na haya yanayoendelea muda huu. Aliyekuwa na uchungu na nchi aliusitisha ule mpango ovu alipoondolewa sasa awamu ya 4 wamekuja vile vile wakivaa ngozi nyingine
Kundi dogo, watu wachache mno..huenda ndio wanasema kipi kifanyike, kipi kisifanyike...nani afanye, nani asifanye.
 
Hiki kimama kirudi kwao! Kinachofanya ni kutuuza tuuu! Mbuga za wanyama, mwarabu, mashamba ya watu, wamenyang'anywa, wamasai wanatangatanga kama ndege wakiwa, na sasa bandari zetu zote, zimeuzwa kwa mwarabu, na za Zanzibar hazijaguswa, wakati muungano ni jambo la kitaifa! Imebaki Sasa sote tusilimishwe! Huyu mama ana chuki binafsi na nchi yetu! Arudi kwao atuache na nchi yetu! Si haki hata kidogo!
 
Utanzania tabu Sana

Labda turudi kwenye utanganyika tutakuwa na akili
 
Dah! Tayari Wazanzibari wameshaiuza nchi yetu ya Tanganyika kwa Mabwana zao wa Kiarabu.
 
DP world ni kampuni kongwe kwenye sekta ya bandari duniani..,ilishaoperate hata baadhi ya bandari ndani ya ardhi ya USA..

Sijui mpaka sass kama bado wanaendelea baada ya amendment ya kiusalama kupelekwa kwenye bunge Ili Dp world inyang'anywe zile bandari 3 iliyokuwa ikiziendesha...

In short Kwa upigagaji ulioko kwenye bandari yetu....na urasimu usio na maana....

Ni mara mia kuipa tenda Dp world...

Baadhi ya wanasiasa wanaopiga piga kelele....
Wana maslahi binafsii Moja Kwa Moja kupitia kampuni walizonazo zinazobond na bandari Moja kwa moja.....

Huu ukweli hausemwi!....

Tutapata mapato pengine mara 3 zaidi!...ya kile bandari inachoingiza sasa....huu ni ukweli mchungu....

Baadhi ya wanasiasa wanaoikataa Dp world....

wanatumia nguvu kubwa kwa kuwa ukweli ni kwamba mirija yao itakuwa imekatwa RASMI!

Na hichi kitu watakipinga kwa jasho na damu Hadi tone la mwisho ...
 
...Hivi hatuna namna ya Kuingia Mstuni, kuukomesha Uhuni huu ?

Mbowe, Lisu, Zito. Wakati Umefika Sasa wa Kuachana na Maridhiano ya Midomo Mitupu... Na tushike Silaha tuingie Msituni !
Ndivyo Wenzetu wanavofanya...[emoji35][emoji35][emoji35]
Hao wote uliowataja, wameshalambishwa asali kitambo na Dellilah! Hivyo usitegemee maajabu.
 
DP world ni kampuni kongwe kwenye sekta ya bandari duniani..,ilishaoperate hata baadhi ya bandari ndani ya ardhi ya USA..

Sijui mpaka sass kama bado wanaendelea baada ya amendment ya kiusalama kupelekwa kwenye bunge Ili Dp world inyang'anywe zile bandari 3 iliyokuwa ikiziendesha...

In short Kwa upigagaji ulioko kwenye bandari yetu....na urasimu usio na maana....

Ni mara mia kuipa tenda Dp world...

Baadhi ya wanasiasa wanaopiga piga kelele....
Wana maslahi binafsii Moja Kwa Moja kupitia kampuni walizonazo zinazobond na bandari Moja kwa moja.....

Huu ukweli hausemwi!....

Tutapata mapato pengine mara 3 zaidi!...ya kile bandari inachoingiza sasa....huu ni ukweli mchungu....

Baadhi ya wanasiasa wanaoikataa Dp world....

wanatumia nguvu kubwa kwa kuwa ukweli ni kwamba mirija yao itakuwa imekatwa RASMI!

Na hichi kitu watakipinga kwa jasho na damu Hadi tone la mwisho ...
Na wewe unatetea hapa, ni kwa sababu ya asali tu. Huna lolote.
 
Back
Top Bottom