Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ukiwa unamaanisha Chama kingine cha Siasa sawa.Tumuunge mkono Mbowe na Chadema kwa ujumla wake!
2025 tutaenda na SSH nyie bakieni na ubaguzi wenuwamemshauri vibaya, na WAtanganyika tunatakiwa kujiimarisha na kujitafakari sana 2025
Hivi nyie mbowe aliwaloga🤣🤣 akili zenu bwanaTumuunge mkono Mbowe na Chadema kwa ujumla wake!
Huu mkataba unapaswa kuwa daraja la kuiondoa CCM na Bunge lake!
Hii inafaa kuwa ticket ya Samia kurudia Zanzibar!
Uhuni ufike mwisho sasa!
#kataawahuni
nikwambie kitu, Mungu ndiye mwamuzi wa yote, tutapiga magoti kwanza kwa Mungu awe hakimu wetu. hii nchi ya kwetu wote.2025 tutaenda na SSH nyie bakieni na ubaguzi wenu
Hatari sana.Unataka kutwambia kiongozi wetu Hana uwezo wa kukataa ushauri mbaya?
Incompetent leader?
Sa100 must go!!!
Mbona sisi Wajukuu wa akina Mangungo tuko poa tu na wala hatumlaumu Mangungo na hao Wajukuu wetu nao wataona Balida tu.Tutawaambia nini wajukuu zetu watapotuuliza mlikuwa wapi haya yakitokea!!!!
wale wazee wa CCM waliotaka kupindua meza nafiki wanaweza kuwa walikuwa sahihi, ingawa na wao waliboa sana baada ya kutaka kubadili katiba ili vipindi viwe miaka 7, ili mwenda aanze upya 2025 hadi 2039.Tumuunge mkono Mbowe na Chadema kwa ujumla wake!
Huu mkataba unapaswa kuwa daraja la kuiondoa CCM na Bunge lake!
Hii inafaa kuwa ticket ya Samia kurudia Zanzibar!
Uhuni ufike mwisho sasa!
#kataawahuni
Ok, upo sahihi kabisaToa ushauri
Acha utani,Mbona sisi Wajukuu wa akina Mangungo tuko poa tu na wala hatumlaumu Mangungo na hao Wajukuu wetu nao wataona Balida tu.
Sio utani wewe si mjukuu wa Mangungo ni lini umewahi kumlaumu?Acha utani
Mungu hana roho za kiuchawi na kiubaguzi Kama zenu na mtashindwa. Mnamtukuza mbowe🤣 yupo ofs toka hujazaliwa🚮nikwambie kitu, Mungu ndiye mwamuzi wa yote, tutapiga magoti kwanza kwa Mungu awe hakimu wetu. hii nchi ya kwetu wote.
Ni bora hao, kuliko hawa. Wale hawawezi uza sijui ngorongoro, masai land, bandari n.k, kifupi hawawezi ruhusu mali ya nchi ipoteze kizembe kama hawa. Ni bora kuongozwa na dikteta anaejali maslahi ya watu wake na vizazi vijazo kuliko hawa wanaita demokrasia mara kufungua nchi wanaita eti tusitengwe na jumuia za kimataifa, huku bei za vitu vinapanda kila kitu juu.wale wazee wa CCM waliotaka kupindua meza nafiki wanaweza kuwa walikuwa sahihi, ingawa na wao waliboa sana baada ya kutaka kubadili katiba ili vipindi viwe miaka 7, ili mwenda aanze upya 2025 hadi 2039.
Nchi hii ina matatizo mengi mno, likipita hili linakuja na jingine.
Wanatembea kutafuta wawekezaji wakati huohuo wanafanya hujuma kwenye vyanzo vya umeme. Ni muwekezaji gani asiye kanjanja atakuja kuwekeza sehem ambayo umeme sio wa uhakika? Mankanjanja na wapiga dili ndio watakuja. Ndicho kilichopo nchin mwetu.Ni bora hao, kuliko hawa. Wale hawawezi uza sijui ngorongoro, masai land, bandari n.k, kifupi hawawezi ruhusu mali ya nchi ipoteze kizembe kama hawa. Ni bora kuongozwa na dikteta anaejali maslahi ya watu wake na vizazi vijazo kuliko hawa wanaita demokrasia mara kufungua nchi wanaita eti tusitengwe na jumuia za kimataifa, huku bei za vitu vinapanda kila kitu juu.
Co kuchunguzwa tuu uku akistop kufanya majukum yyte ya serikalIngekuwa nchi timamu huyu leo hii angekuwa anachunguzwa
Daaa hatariTumuunge mkono Mbowe na Chadema kwa ujumla wake!
Huu mkataba unapaswa kuwa daraja la kuiondoa CCM na Bunge lake!
Hii inafaa kuwa ticket ya Samia kurudia Zanzibar!
Uhuni ufike mwisho sasa!
#kataawahuni
Mama anaonekana kama ana akili za kitoto kwa hiliMama imelidhihaki taifa kwa kulirudisha nyuma ya mwaka 1961 tulivyokuwa watomwa wa haya machokoraa meupe.