Umemuulizaswali zuri sana, lakini maajabu ni kwamba hana hata akili ya kujua maana ya swali lako ni ipi hasa?Hivi unaungana na Cheyo na Lipumba ili iweje ?
Na wewe unatafunwa?Na hapo hamjapewa inchi
Nawashauri wapinzani waungane ili wawe na nguvu haina haja ya kuwa na vyama lukuki vya upinzani. Ikiwa wataunguna wananchi watakuwa na iman kubwa sana nao.
Yaani JPM alimweka Sabaya Hai kuhakikisha kuwa anammaliza Mbowe! Leo hii sabaya yuko wapi? Mbowe piga kazi
Hapo sasa ndio mtihani !!Hivi unaungana na Cheyo na Lipumba ili iweje ?
Kapime presha, huenda una tatizoNa wewe unatafunwa?