Mbowe: Mimi Watanzania wananipenda sana, tatizo hii Mitandao inapotosha na hii ni kazi ya kakikundi kadogo ka watu wabaya

Mbowe: Mimi Watanzania wananipenda sana, tatizo hii Mitandao inapotosha na hii ni kazi ya kakikundi kadogo ka watu wabaya

Sijaelewa mantiki ya swali lako, hakuna kwenye interview Mbowe amemtaja Lisu kuwa wa mitandaoni.

Kauli ya Mbowe mitandao ina faida na hasara kwa jamii ikitumika vyema au vibaya.

Mfano kama kura zinapigwa mtandaoni Lisu ameshashinda huu uchaguzi, lakini ukienda field huu uchaguzi wa Lisu na Mbowe ni hitimisho tu, safu zilishapangwa tangu uchaguzi wa mikoa na kanda.

Huu ni uchaguzi wa hesabu wala hakuna influence ya mitandao kupinduwa matokeo.

Aliyeandaa network yake vizuri tangu uchaguzi wa mikoa na kanda huyo ndio mshindi.

Kwa majabari ya siasa kura za simple majority kuna wataalam wa kucheza nazo vizuri tu hakuna baunsa mbele ya njaa.
Hujaelewa wapi?

Mbowe anasema anapingwa na watu wa mitandaoni tu.

Kauli yake hii ingeweza kuwa na mantiki kama ingekuwa hakuna mwanachama wa CHADEMA anayempinga.

Sasa hivi, si kwamba kuna wanachama wa CHADEMA wanampinga, mpaka Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA anampinga kwenye kugombea uenyekiti, anasema Mbowe ni muongo.

Huyo si mtu wa mitandaoni tu, huyo ni Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Huelewi wapi?
 
Freeman Mbowe amesema katika mahojiano yake na Azam TV kuwa anafanyiwa character assassination na wabaya wake kwenye Mitandao ili aonekane hakubaliki ila ukweli ni kwamba yeye anakubalika sana na bado anasifa za kuendelea kuwa kiongozi wa Upinzani.

Mbowe anasema wale wote wanaonesha tabia zisizo za Kichadema watashughulikiwa baada ya Uchaguzi.

Usiondoke Jf kwa habari motomoto
Kwanza huyo Mbowe anafanya nini huko Azam TV saa hizi wakati wenzake wapo Dodoma wakiimba Sasa kumekuchaaa, Sasa kumekuchaaa......
 
Freeman Mbowe amesema katika mahojiano yake na Azam TV kuwa anafanyiwa character assassination na wabaya wake kwenye Mitandao ili aonekane hakubaliki ila ukweli ni kwamba yeye anakubalika sana na bado anasifa za kuendelea kuwa kiongozi wa Upinzani.

Mbowe anasema wale wote wanaonesha tabia zisizo za Kichadema watashughulikiwa baada ya Uchaguzi.

Usiondoke Jf kwa habari motomoto

View attachment 3204258
Aache woga wa kiccm kukimbia midaharo
 
Kwanza huyo Mbowe anafanya nini huko Azam TV saa hizi wakati wenzake wapo Dodoma wakiimba Sasa kumekuchaaa, Sasa kumekuchaaa......
Wamemwambukiza tayari na tabia za kukimbia midaharo.
Hiyo tabia ya kukacha midaharo ni ya kiccm, naona kaamua kuwa mwenzao kabisa
 
Freeman Mbowe amesema katika mahojiano yake na Azam TV kuwa anafanyiwa character assassination na wabaya wake kwenye Mitandao ili aonekane hakubaliki ila ukweli ni kwamba yeye anakubalika sana na bado anasifa za kuendelea kuwa kiongozi wa Upinzani.

Mbowe anasema wale wote wanaonesha tabia zisizo za Kichadema watashughulikiwa baada ya Uchaguzi.

Usiondoke Jf kwa habari motomoto

View attachment 3204258
Huyu nae huyu
 
Lema kamwambia WENJE alienda kwenye press Jana akiwa Kapiga tungi..

WENJE aache kwenda kwenye press akiwa kautwika...

All in all,
Lema yupo very smart kwenye ujengaji hoja ( smart upstair) Ila mjaluo ojwang alikua anamumunya mumunya mdomo / maneno na kaudhihirishia umma hastaili kugombea umakamu uenyekiti Wala kua mwanachama wa chadema.
 
Sijaelewa mantiki ya swali lako, hakuna kwenye interview Mbowe amemtaja Lisu kuwa wa mitandaoni.

Kauli ya Mbowe mitandao ina faida na hasara kwa jamii ikitumika vyema au vibaya.

Mfano kama kura zinapigwa mtandaoni Lisu ameshashinda huu uchaguzi, lakini ukienda field huu uchaguzi wa Lisu na Mbowe ni hitimisho tu, safu zilishapangwa tangu uchaguzi wa mikoa na kanda.

Huu ni uchaguzi wa hesabu wala hakuna influence ya mitandao kupinduwa matokeo.

Aliyeandaa network yake vizuri tangu uchaguzi wa mikoa na kanda huyo ndio mshindi.

Kwa majabari ya siasa kura za simple majority kuna wataalam wa kucheza nazo vizuri tu hakuna baunsa mbele ya njaa.
Interesting.

Sijui kama CHADEMA itakuwa ile ile (ita-survive) kwa hizo hesabu za CCM. Nauona mwisho wa "People's Power".
 
Back
Top Bottom