Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah Mbona Mtasema😀😀😀😀😀
Huyu ataishi pabaya zaidi
Kuuza damu za watu hakutamuacha salama
Kumbe ndio maana Heche na Lema wapo kimya !!
Ndio maana lema kaona Bora aende zake Canada aachaene na huu usenge
Ccm Daima Samia mitano tena
Kijana si umesema umeacha Siasa sasa mbona una randaranda humu.....😀😀😀😀😀
Huyu ataishi pabaya zaidi
Kuuza damu za watu hakutamuacha salama
Kumbe ndio maana Heche na Lema wapo kimya !!
Ndio maana lema kaona Bora aende zake Canada aachaene na huu usenge
Wale mods walikuwa wanatupiga barn za wiki wiki mbili sijui kwa Sasa wapo wapi😀😀😀😀😀
Huyu ataishi pabaya zaidi
Kuuza damu za watu hakutamuacha salama
Kumbe ndio maana Heche na Lema wapo kimya !!
Ndio maana lema kaona Bora aende zake Canada aachaene na huu usenge
KWa nini usichukue nafasi yake na kuwa kiongozi mbadala wa upinzani? au sheria za nchi haziruhusu?
Sema Keybord woriourMbowe naye kumbe ni mpumabavu kama wapumbavu wengine tu. Hili lizee linakiharibu chama lilichokipambania kwa muda wote.
Ni warrior mkuu siyo hiyo yakoSema Keybord woriour
kwani nchi inaangushwa na kiongozi au Raia? Tanzanua imejaaa wajinga sana na wanajificha kwenye vichaka vya watu.Nashindwa Kuelewa Elimu ya Tanzania
Kwanini Vijana Wanashindwa Kutumia IQ kujua Siasa Za Tanzania Zipoje!?
Nikweli vijana wenye Akili zao Wana amini Mbowe Anaweza Iangusha CCM kweli?
Kenya wao mbona wanapambana bila kutegemea mtu? Wakenya hata kiongozi wa Wanacho labda palr Nairobi University anao uwezi wa kuitisha maandamani na raia wa kawaida wakatoka.Jia pekee ni kuondoa kwenye hicho kiti na kumuweka Tundu Lisu.
Afadhali Lema anasehemu ya kukimbilia lakini sisi tutabakia kusakwa na kuwindwa kama Digidigi na kupotezwa,kuuwawa na maiti zetu kuliwa na Fisi.Ndio maana lema kaona Bora aende zake Canada aachaene na huu usenge