Mbowe miongoni mwa wasaliti wa Vyama vya upinzani wa kweli kuwahi kutokea

Mbowe miongoni mwa wasaliti wa Vyama vya upinzani wa kweli kuwahi kutokea

😀😀😀😀😀

Huyu ataishi pabaya zaidi

Kuuza damu za watu hakutamuacha salama

Kumbe ndio maana Heche na Lema wapo kimya !!

Ndio maana lema kaona Bora aende zake Canada aachaene na huu usenge
Naona Tanzania mna definition yenu pekee yenu ya what is Oppositions, Kwingineko Duniani Opposition ni ideology na ndio maana some time inaanzishwa na wanafunzi wa vyuo vikuu, some time wafanyakazi, na kadhalika. Sasa Bongo mlivyo pimbi mnaamini katika mtu, yaani mnamtegemea mtu mmoja mmoja, Huu ni ujinga.

Ndio maana kuanzia vyama vya wafanyakazi, Wanafunzi vyuo vikuu kote huko kumejaa wajinga na wanategemea mtu mmoja mmoja awasemee.
 
Afadhali Lema anasehemu ya kukimbilia lakini sisi tutabakia kusakwa na kuwindwa kama Digidigi na kupotezwa,kuuwawa na maiti zetu kuliwa na Fisi.

Hayo maridhiano ya Mbowe yanafaida gani wakati Vijana kwa Wazee wanauwawa na Mapolisi yasiyojulikana.
Huenda Mchora ramani Mkuu wa madhila yote haya ni huyu huyu anayeng'ang'ania uenyekiti, amekuwa akiwauza wenzake.
 
Mbowe naye kumbe ni mpumabavu kama wapumbavu wengine tu. Hili lizee linakiharibu chama lilichokipambania kwa muda wote.
UAmuzi wa Mbowe kung'ang'ania madaraka umewakera wengi, lakini jitahidini kupunguza ukali wa maneno.
 
Huenda Mchora ramani Mkuu wa madhila yote haya ni huyu huyu anayeng'ang'ania uenyekiti, amekuwa akiwauza wenzake.
Labda yeye na huyo Mama wameanzisha Biashara ya kutoa Kafara Wapinzani wa Nji hii.
 
GeZ Tanzania nzima inamuangalia TUNDU LISSU.
Mbowe hana mvuto kwa Vijana.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Huyu ataishi pabaya zaidi

Kuuza damu za watu hakutamuacha salama

Kumbe ndio maana Heche na Lema wapo kimya !!

Ndio maana lema kaona Bora aende zake Canada aachaene na huu usenge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UAmuzi wa Mbowe kung'ang'ania madaraka umewakera wengi, lakini jitahidini kupunguza ukali wa maneno.
Usikasirike kiasi cha kukosa hekima. Ni rahisi zaidi kutoa tu maoni yako kuliko kuthibithisha upumbavu wa mtu ambaye yawezekana humfahamu isipokuwa kwa habari za mitandaoni.
 
Huenda Mchora ramani Mkuu wa madhila yote haya ni huyu huyu anayeng'ang'ania uenyekiti, amekuwa akiwauza wenzake.
Yawezekana upo ushahidi japo wa kimazingira lakini tuvute subira, mudabutasema.
 
Back
Top Bottom