misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Duh! Sawa Maria SarungiFala wewe , huo upuuzi mwambie huyo mzoga wenu , Fala huyo tena Bora kafa , damn motherf**ker .
Kaeni na mavi yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Sawa Maria SarungiFala wewe , huo upuuzi mwambie huyo mzoga wenu , Fala huyo tena Bora kafa , damn motherf**ker .
Kaeni na mavi yenu
Naunga mkono.
Anaonyesha hata ukimpatia nchi atakuwa mtu wa visasi,ajifunze na sio kuropoka ropoka hovyo hovyo.
Hivi ana mshauri kweli?
CHADEMA hawatampa nafasi hiyo tena huyu mropokaji.
Mbowe anaakili hawezi kumruhusuhuyu tena, na mbakasasa uanachamawake upomashakani.
Chama hakiwezi kuwa na mtu mwenye kujifanya mjuaji kama huyo ambae watanzania wanazidi kumdharau kadiri siku zinavyokwenda.
Labda au unaonaje dada Maria Sarungi?Atakua na kisasi kushinda cha Mwenda zake? Hivi kuna mtu alkua na kisasi km mwendazake
Risasi, risasi mpaka lini? unapigwa risasi tukiwa watoto hadi tunapata umri wa kupiga kura, wewe bado unasimulia risasi! Kila siku kulia-lia tu! Mbona Ulimboka hatusikii akilia-lia na mkasa wa kutaka kuuwawa? Mandela je?
Hao ndo wakomavu! Hakuna kusimulia mambo ya kifungo, ni uimara wa akili na kuwa President. Hiyo akili ya Lissu ya kutaja risasi kila siku kwa miaka ya uhai wake haituoneshi uimara wa akili anayestahili kuwa President. Yeye ni mtu wa mitaani tu, akitafuta kulipiza kisasi.
Na risasi je? Sera gani za kupigana risasi?kwenye siasa hatuna uadui ni kupingana kwa sera za kujenga taifa
Mimi nikiwa kikaragosi na takataka hilo linaloshikishwa ukuta huko ubeberuni utaliitaje?Ndio tatizo la kutumia njia ya haha kubwa kufikiria , bogus wewe .
We ni kikaragosi tu , takataka mmoja wewe
Bwashee wangekuwa siyo wajinga wangeona madhara ya matamko yake kwa chama wakajitenga nayo hata kwa kusema tu kuwa hayo ni maoni yake binafsi hayawakilishi mtazamo wa chama.Lisu aende CUF kwa sababu Chadema siyo wajinga!
Kama break za huo mzoga wenu , marehemu mungu mtu WA chato , jitu lenye domo chafu na roho mbaya kuliko ibilisi , rest in hell
kama ilivyo kwa sabaya,bashite na musibaYote anayofanya Tundu Lissu yana baraka za chama!
Ha ha ha haJamaa ameamua kupambana na marehemu kupunguza maumivu.
Hao uliowataja siyo viongozi wa CCM!kama ilivyo kwa sabaya,bashite na musiba
kama alivyo marehemuHao uliowataja siyo viongozi wa CCM!
Umeongea point ila mashabiki na uharakati maandazi hawatakuelewa.
Nafikiri Lissu anaongea ukweli mchungu ,Jiwe alikuwa muongo na Mwenye kauli mbovu!Lisu hana tofauti na magufuli kwenye KAULI.
LISU NI KAMA MLEVI
kachungulia mbingu au jehanamu??Wewe si umkanye uliyeona madhaifu yake.Mwenyekiti wa Hilo lichama hajaona chochote ameona yote poa tu.Au unaogopa.Umeandika kitabu kireefu wala sijaambua chochote.Sana sana tunazidi kuwapandisha hasira hawa jamaa.Laiti ungelijua ungewaacha tu.
Labda na Mkiti anakumbukia tulivyomfanyia huku Dar, kule kwake kwenye mashamba yake,tukayavuruga kisawasawa.Unadhani atakaa upande wako,hata ingekuwa mimi forget Mr.Hiyo isikupe shida.Mila na desturi zipo,zitaendelea kuwepo,zilikuwepo,zitabaki kuwepo,mambo yataendelea tu.
Nataka ujue na usiumie saaana,ujasiri wa huyu jamaa na nguvu aliyonayo siyo ya mwanadamu awaye yeyote.Na ukishindana naye utaumia sana.Humwezi ,wala sio size yako wala sisi hatumwezi,hivyo achana naye.Ogopa sana mtu yeyote aliyechungulia Mbingu halafu akarudi.Nguvu anayokuja nayo hutaizuia.Huyu achana naye nakushauri.
majungu utaki ila umbea tuuu. Ila salaama mfikishie msimpe kichwa chakijingaZ
Inasemaje,si uweke hapa tuzione.Sisi hatutaki majungu.Weka hapa.
kwani we ni Mbowe au Lissu???Unataka nani amshauri.Si jitoe ufahamu wewe umshauri.Mbona unauza kazi bila kukubaliana malipo aisee.Njoo tukae tukubaliane tutayarishe cha kumshauri kama unacho maana si mtu wa kawaida kabisa.Kama unajiamini njoo.