Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Naunga mkono.

Anaonyesha hata ukimpatia nchi atakuwa mtu wa visasi,ajifunze na sio kuropoka ropoka hovyo hovyo.

Hivi ana mshauri kweli?

Atakua na kisasi kushinda cha Mwenda zake? Hivi kuna mtu alkua na kisasi km mwendazake
 
CHADEMA hawatampa nafasi hiyo tena huyu mropokaji.
Mbowe anaakili hawezi kumruhusuhuyu tena, na mbakasasa uanachamawake upomashakani.

Chama hakiwezi kuwa na mtu mwenye kujifanya mjuaji kama huyo ambae watanzania wanazidi kumdharau kadiri siku zinavyokwenda.

Kajifunze kuandika Dogo
 
Risasi, risasi mpaka lini? unapigwa risasi tukiwa watoto hadi tunapata umri wa kupiga kura, wewe bado unasimulia risasi! Kila siku kulia-lia tu! Mbona Ulimboka hatusikii akilia-lia na mkasa wa kutaka kuuwawa? Mandela je?

Hao ndo wakomavu! Hakuna kusimulia mambo ya kifungo, ni uimara wa akili na kuwa President. Hiyo akili ya Lissu ya kutaja risasi kila siku kwa miaka ya uhai wake haituoneshi uimara wa akili anayestahili kuwa President. Yeye ni mtu wa mitaani tu, akitafuta kulipiza kisasi.

Kama wewe wasema Risasi ni nini Tuambie tukuingize bomba huko nyuma!! hivi unajua maumivu alopata baada ya mifupa yke kusagika sagika?Hivi unajua n damu kiasi gan ilimwagika?
 
Wakati mtume Mwingira anamwita Lissu mshindi,MATAGA walipinga sana,wakishirikiana kupinga na Maaskofu na masheikh wao.Mpaka walimtishia Mwingira.Lakini sasa ndio namuelewa Mtume Mwingira!
 
Lisu hana tofauti na magufuli kwenye KAULI.
LISU NI KAMA MLEVI
Kama break za huo mzoga wenu , marehemu mungu mtu WA chato , jitu lenye domo chafu na roho mbaya kuliko ibilisi , rest in hell
 
Lissu Amejiharibia zaidi katika Msiba huu..Kwanza watu wote wanajua alipigwa na akaumizwa sana..mpaka leo amekua mlemavu lakini wangapi wameumizwa duniani humu??

MANDELA aliteswa na Wazungu sana,akafungwa Miaka 27 alipotoka akawa Rais hakulipiza, angeanzisha malipizo na kisasi asingepata lolote na wala isingekua heshima kwake.

WATU wapo wengi wanaumizwa sio Lissu tu hata Yesu alisema Baba wasamehe ..hakuwatukana watesi wake...

HATA Nyerere alifunguliwa kesi za ajabu wote akina Samora wamesoteshwa sana ..

Mpaka leo hii Dunia wapo wengi wasiojulikana wanapitishwa katika mateso maofisini huko kuna mateso makubwa watu wanapitishwa kwa kuonewa kabisa.

Huwezi kufurahia msiba wa mwanadamu Mwenzio..sisi wote tutakufa tu..unafurahia kitu ambacho hutaweza kukikwepa.

Lakini kwa mtu mwenye Nia ya Kuwa Rais..ambayo sijui kama atafanikiwa hasa kwa hili alilofanya wale waliokua na huruma nae sasa amewapoteza kabisa.Lissu ungepata huruma na kura nyingi sana kupitia huu Msiba kama ungekua Smart.

My friend umepoteza kura nyingi mno kwa haya uliyokua unafanya na kusema muda wa msiba.

Uliposema Mkuu anaumwa Tulijua ulidanganya lakini baadae ikaja kuwa kweli ilikupa maksi sasa hukujiongeza kutunza huzo maksi na kuziongeza umepoteza zaidi nikuambie .

Hata mm narudia Mbowe huwa anatukanwa sana ila kwa Huko Upinzani Mbowe ni Kiongozi imara sana..Nyie Upinzani mtunzeni vizuri bila Mbowe nyie hamna kitu..

Amechagua kutulia lakini angalia Harakati Za Lema na anayosema je hapa itakuaje akiwa Waziri??

Mbowe wazuie watu wako hao wanajiharibia Zaidi..Nakupa Kongole Chairman Mbowe wewe ni mtu..
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Wewe si umkanye uliyeona madhaifu yake.Mwenyekiti wa Hilo lichama hajaona chochote ameona yote poa tu.Au unaogopa.Umeandika kitabu kireefu wala sijaambua chochote.Sana sana tunazidi kuwapandisha hasira hawa jamaa.Laiti ungelijua ungewaacha tu.

Labda na Mkiti anakumbukia tulivyomfanyia huku Dar, kule kwake kwenye mashamba yake,tukayavuruga kisawasawa.Unadhani atakaa upande wako,hata ingekuwa mimi forget Mr.Hiyo isikupe shida.Mila na desturi zipo,zitaendelea kuwepo,zilikuwepo,zitabaki kuwepo,mambo yataendelea tu.

Nataka ujue na usiumie saaana,ujasiri wa huyu jamaa na nguvu aliyonayo siyo ya mwanadamu awaye yeyote.Na ukishindana naye utaumia sana.Humwezi ,wala sio size yako wala sisi hatumwezi,hivyo achana naye.Ogopa sana mtu yeyote aliyechungulia Mbingu halafu akarudi.Nguvu anayokuja nayo hutaizuia.Huyu achana naye nakushauri.
kachungulia mbingu au jehanamu??
 
Unataka nani amshauri.Si jitoe ufahamu wewe umshauri.Mbona unauza kazi bila kukubaliana malipo aisee.Njoo tukae tukubaliane tutayarishe cha kumshauri kama unacho maana si mtu wa kawaida kabisa.Kama unajiamini njoo.
kwani we ni Mbowe au Lissu???
 
Back
Top Bottom