Ni kweli anapaswa kuwa na subira. Hotuba ya Mhe Samia siku ya kuapishwa ni ya matumaini sana.Watu kama Lissu wanaishi Tanzania ambayo ipo zaidi mitandaoni haswa JF na Twitter, Tanzania flani ya kufikirika. Kuna ukweli wanauona ila wamegoma kuukubali.
Watanzania ni wapole wapo kimya ila wanajua ukweli na uongo, ukiwapa nafasi watoe maamuzi yao utawaona.
Mara nyingi watanzania wanazungumza kwenye maboksi ya kura na matukio kama haya tulioona wakimlilia Magufuli.
Kwa maturity yake namshangaa sana, KTN news ndiyo wamemfanya reliable source......utulivu na kutoa pole ungempa credits sana
Acha kuandika kwa mihemko, ni vyema uandike kitu ukiwa umetulia ili ueleweke kwani ulichoandika hakieleweki! Utaacha lini tabia ya kukurupuka kama uharo?Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lisu behave like gentalman .
huna lolote wewe mtoto wa kike, hebu kachemshe maji uoge ulale!Anajipiga spana mwenyewe! Sisi watanzania tutampiga spana nyingine 2025 chini ya Jemedari mama samia!
Umeandika nini?upuuziPopote ulipo mwenyekiti wa chama,
Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi take hastahili kufanya anayoyafanya labda Kama Hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi Wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lisu behave like gentalman .
Ni kweli kabisa, sio utamaduni wa Watanzania kufurahia kifo cha mwenzako, kiwe cha ugonjwa, au cha kupigwa risasi, au vyovyote vile... Kwa tamaduni, mila na desturi za kitanzania na Afrika kwa ujumla si sawa kushangilia kifo hata Kama mtu alikuwa humpendi kwa kiwango chochote.
acha kumpotosha lissu nyieMkipata matatizo nyinyi ndipo mnahubiri umoja na upendo.Akipatwa wa upinzani mnasema mabeberu na matusi kibao.
Mjifunze wanafiki nyie.
sawa lakini angalia position uliyonayo!!! Dunia nzima inajua lissu kafurahia hata kabla ya reaction yeyote sasa yeye Ange act tofauti angeonekana shujaaAny way ila kwa Mimi kama jitu nilinikosakosa kuniua siku likifa ntatamani nipige konzi hadi mait
Kwa nini mnahangaika kwenye Twitter ya Lissu kila kikicha?. Kwani CCM - Lumumba hawana account ya Twitter?. Hakuna vitu vyaku-comment huko?. Kwani anawachoma sana mpaka kumpuuzia mmeshindwa?. Nimeamini UKWELI pekee ndio unauma. Kama Lisu angekuwa anaropoka non-sense, ninyi mngempuuzia, ila yanawachoma, mnahangaika mitandaone eti afutwe uanachama, hiyo akili matope?.Popote ulipo mwenyekiti wa chama,
Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.
Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.
Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.
Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi take hastahili kufanya anayoyafanya labda Kama Hana mpango wakugombea.
Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi Wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?
Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lisu behave like gentalman .