ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
Ukiwasikiliza watu wa kibiti walopoteza wapendwa wao ktk utawala wake huu.
Ukiwasikiliza ndugu wa akina ben saa8, ndg wa akwilina, ndg wa azory, kangoye na wengine ndg wa walokuwa wakiokotwa coco beach ktk sandarusi, pia nduguze tundulisu aliyemiminiwa risasi 32 immediate baada ya raisi ktk kikao kudai kuwa watu wanaompinga ktk vita ya kulinda madini ni lzm kuuwawa sincerely watakuombea mabaya na kukulaumu kwa kuandika ugoro ulochanganywa na Mavi as if hujawai kufiwa au kuuguza.
Wape watu uhuru to celebrate.
Ukiwasikiliza ndugu wa akina ben saa8, ndg wa akwilina, ndg wa azory, kangoye na wengine ndg wa walokuwa wakiokotwa coco beach ktk sandarusi, pia nduguze tundulisu aliyemiminiwa risasi 32 immediate baada ya raisi ktk kikao kudai kuwa watu wanaompinga ktk vita ya kulinda madini ni lzm kuuwawa sincerely watakuombea mabaya na kukulaumu kwa kuandika ugoro ulochanganywa na Mavi as if hujawai kufiwa au kuuguza.
Wape watu uhuru to celebrate.