sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,305
Povu Kisado.......😂😂Sio kwa povu hili [emoji33]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Povu Kisado.......😂😂Sio kwa povu hili [emoji33]
Tawile Baba"Tamaduni zenu...!!???"
My foot.. Hizo tamaduni zenu za kijinga na za kishirikina, ni mbaya, ni chafu. Kaeni nazo menyewe. Zinapaswa kuvunjwa haraka...
Mimi nasema hivi;
Tundu Lissu endelea kusema kila lililo muhimu kwa Tanzania na ulimwengu kusikia...
Ukiona mtu anashabikia vitendo vya Lissu, ni sawa na mtu anavyomchochea mbwa kuuma watu wakati yeye hawezi kufanya tendo hilo. Kuna watu wanaweza kazi za aina hiyo. Muacheni Lissu afanye anachokiweza, Akija anataka kazi ya maana kama alivyofanya, tutampa 12.75%.tulieni Lisu awanyooshe na yeye ni binadamu atoe machungu yake moyoni,huu msiba usiwafanye mnahuruma sana
Anaongeza Chumvi kwenye kidoñda kibichi hakika CCM wanapigwa spana za hatari.Ofcoz, anadhalilisha chama nilikuwa timu Lissu lkn kwa utopolo wa Lissu hata jamii kuwa na Rais kama huyu
Mnasahau sana . Kama juzi tu Kasim amewadanganya mchana kweupe tena msikitini . Nana anammaind ?! Si watu mmechukulia poa na mmesahau ?!.anadhani watanzania yutaendelea kua waking hivo tutasahau tuu huko mbeleni!!
We bhana huna experience ya kupigwa risasi 18, kunyimwa matibabu na kunyan'ganwa ubunge. Tena unyamaze kabisa. Hebu kila mtu acheze mechi yake!Watu kama Lissu wanaishi Tanzania ambayo ipo zaidi mitandaoni haswa JF na Twitter, Tanzania flani ya kufikirika. Kuna ukweli wanauona ila wamegoma kuukubali.
Watanzania ni wapole wapo kimya ila wanajua ukweli na uongo, ukiwapa nafasi watoe maamuzi yao utawaona.
Mara nyingi watanzania wanazungumza kwenye maboksi ya kura na matukio kama haya tulioona wakimlilia Magufuli.
Huu uchungu mlionao leo, mbona hamkuuonyesha wakati watu wanazuiwa kumchangia damu, less na hata kumubea ??!!. Kumbe mkuki daima ni wa nguruwe !!kama ni kweli Mungu kamlipia Tundu lissu sasa yeye anahangaika na nini???
No ukweli wazi asingeweza kabisa kumfanya lolote Hayati...
Ni kweli watanzania Wala mabeberu hata mmoja aliyemsaidia....
If so why he keep insult people especially marehemu??
Akae akijua Mungu Hana upendeleo kama alimuadhibu Meko basi atamuazibu na yeye Kama atafanya upuuzi arejee kisa Cha Musa alipopewa adhabu ya kifo baada ya kukiuka maagizo ya Mungu, hivyo mumshauri asipotoke.
Utakwisha wewe na vibaka wenzako walamba viatu. Lissu piga pale pale kwenye mshono kudadadeqndo Mana tunamfikishia salamu mwenyekiti asipokua making itakimaliza
Vp hujaenda zanzibar kuaga,Chadema wanajua kushinda njaa sio uchaguzi! Hawana jipya zaidi ya matusi na kejeli!