Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

"Tamaduni zenu...!!???"

My foot.. Hizo tamaduni zenu za kijinga na za kishirikina, ni mbaya, ni chafu. Kaeni nazo menyewe. Zinapaswa kuvunjwa haraka...

Mimi nasema hivi;

Tundu Lissu endelea kusema kila lililo muhimu kwa Tanzania na ulimwengu kusikia...
Tawile Baba
 
Tundu kipindi cha kampeni alisema amewasamee.
watesi wake lakini kumbe bado ana uchungu sasa sijui angekuwa Rais ingekuwaje.
 
tulieni Lisu awanyooshe na yeye ni binadamu atoe machungu yake moyoni,huu msiba usiwafanye mnahuruma sana
Ukiona mtu anashabikia vitendo vya Lissu, ni sawa na mtu anavyomchochea mbwa kuuma watu wakati yeye hawezi kufanya tendo hilo. Kuna watu wanaweza kazi za aina hiyo. Muacheni Lissu afanye anachokiweza, Akija anataka kazi ya maana kama alivyofanya, tutampa 12.75%.
 
Hakuna mtu aliyewakanya maDc walipoanza kuwacharaza bakora watu hadharani...

Hakuna mtu aliyewakanya viongozi kutoa kauli za kudhalilisha na sifa kwa ajili ya kufurahisha wakuu...

Hakuna mtu aliyemkanya Sabaya kwa alichokifanya kwa Mbowe mwaka jana

Hakuna aliyemkanya Yule Polisi aliyemuambia Mbowe atashindwa uchaguzi....


Hakuna aliyemkanya Mahera kuwapigia CCM kampeni angali yeye hakupaswa kuonesha upande aliopo hadharani....


Hakuna aliyekanya watu waruhusu Lissu kuombewa alivyoshambuliwa...


Tumefika hapa kwa sababu nikuombe utafute sababu usipende kuhamishia vinywaji vyote meza yako pekeyako....
 
Watu kama Lissu wanaishi Tanzania ambayo ipo zaidi mitandaoni haswa JF na Twitter, Tanzania flani ya kufikirika. Kuna ukweli wanauona ila wamegoma kuukubali.

Watanzania ni wapole wapo kimya ila wanajua ukweli na uongo, ukiwapa nafasi watoe maamuzi yao utawaona.

Mara nyingi watanzania wanazungumza kwenye maboksi ya kura na matukio kama haya tulioona wakimlilia Magufuli.
We bhana huna experience ya kupigwa risasi 18, kunyimwa matibabu na kunyan'ganwa ubunge. Tena unyamaze kabisa. Hebu kila mtu acheze mechi yake!
 
Hivi nyie mh Lissu mpaka Sasa kivuli chake kinawaandama, wewe unayeandika haya , mpaka unaingia kaburini, hata robo ya robo ya umuhim wa mh Lissu sio KWA tz tu hata nje ya tz hutofikia, huyu sio level zenu,
Naona kimbunga Lissu 2020 Bado kinawapa shida ,leo ukitataka wanasiasa maarufu ,na wenye history ya kutisha, duniani Mh Lissu hakosi,Sasa wewe hata jirani zako hawakujui ukiacha mtaa wako unapoishi,ndo wa kumuandikia Lissu au kumshauri mh MBOWE au Mh Lissu subutu
 
kama ni kweli Mungu kamlipia Tundu lissu sasa yeye anahangaika na nini???
No ukweli wazi asingeweza kabisa kumfanya lolote Hayati...
Ni kweli watanzania Wala mabeberu hata mmoja aliyemsaidia....
If so why he keep insult people especially marehemu??
Akae akijua Mungu Hana upendeleo kama alimuadhibu Meko basi atamuazibu na yeye Kama atafanya upuuzi arejee kisa Cha Musa alipopewa adhabu ya kifo baada ya kukiuka maagizo ya Mungu, hivyo mumshauri asipotoke.
Huu uchungu mlionao leo, mbona hamkuuonyesha wakati watu wanazuiwa kumchangia damu, less na hata kumubea ??!!. Kumbe mkuki daima ni wa nguruwe !!
 
Back
Top Bottom