Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Kwanini usiweke alichoandika na sisi wengine tuone
 
Mungu sio mama yako mdogo ... Hamtaki kuamini kama JIWE kamuacha mwanasheria TL anapumua

Mungu sio mama yako mdogo ... Hamtaki kuamini kama JIWE kamuacha mwanasheria TL anap

Mungu sio mama yako mdogo ... Hamtaki kuamini kama JIWE kamuacha mwanasheria TL anapumua.
Tundu Lissu pia sio malaika, mtu hatari katika nchi hii na ana interest zake, angalia karudi kaja kugombea urais baada ya kumalizika uchaguzi na kuambulia manyoya karudi kula bata ulaya. ya heri nchi hii iongozwe na shetani kuliko Lissu
 
Hivi wewe 3llyEma Said una matatizo gani. Hivi angesubiria si angeuwawa? Husomi nyakati. Kuwa Mustaarabu.
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.

Tena Mh Mbowe mwambie Lissu kuwa kama huyu mzee asiye na melanin kama yeye na ameserve kwenye US Army mpaka amestaafu yeye ni nani kwa hao Caucasians huko Ubelgiji? Mwambie asifikiri anaisaliti Tanzania na watanzania tu bali pia anaisaliti race yake.

Asifikiri kuwa yeye ni kama wao, he is not. Yeye ni binadam mwenye melanin kama sisi na atabaki kuwa kama sisi unless otherwise sisi wenyewe tunajikwamua kwa nguvu zetu kutoka kwenye minyororo yao ya utumwa mambo leo kama wachina walivyo tuonyesha njia. Vinginevyo vijana wake na vijukuu vyake havito ambuliwa kitu.

Hao ni caucasians na watafanya kila hila kutetea race yao. Hawatajali kama yeye alishirikiana nao au la. Watakacho jali ni kuona race yao inasonga mbele na kuzidi kunawiri huku wakituacha sisi utumwani mwao.
 
Tundu Lissu pia sio malaika, mtu hatari katika nchi hii na ana interest zake, angalia karudi kaja kugombea urais baada ya kumalizika uchaguzi na kuambulia manyoya karudi kula bata ulaya. ya heri nchi hii iongozwe na shetani kuliko Lissu
Lissu angekuwa mtu hatari asingepata nafasi ya kugombea urais.

Yule mjinga ndio aliwaaminisha ujinga na bado amekufa amewaachia uchizi wa kumshutum mtu bila ushahidi.

Magufuli aongezewe muda.. JPM mingapi tena... KAMFUFUENI BASI.
 
Lissu angekuwa mtu hatari asingepata nafasi ya kugombea urais.

Yule mjinga ndio aliwaaminisha ujinga na bado amekufa amewaachia uchizi wa kumshutum mtu bila ushahidi.

Magufuli aongezewe muda.. JPM mingapi tena... KAMFUFUENI BASI.
kwa ujinga wake alipewa nafasi huku ikijulikana kuwa hawezi kushinda uchaguzi hata kwa dawa. Haitakujatokea kuwa Rais wa nchi hii hiyo iko wazi na huo ndio ukweli mchungu
 
kwa ujinga wake alipewa nafasi huku ikijulikana kuwa hawezi kushinda uchaguzi hata kwa dawa. Haitakujatokea kuwa Rais wa nchi hii hiyo iko wazi na huo ndio ukweli mchungu
kwa ujinga wake alipewa nafasi huku ikijulikana kuwa hawezi kushinda uchaguzi hata kwa dawa. Haitakujatokea kuwa Rais wa nchi hii hiyo iko wazi na huo ndio ukweli mchungu
Hamuamini kama muuaji kafa yeye..

Wewe lini unakuwa rais..?
 
ushahidi huna, unahangaika tu muuaji wewe ndiye ulimpatia silaha? mmetandikana wenyewe risasi ili mpate huruma kwa wananchi mnambebesha mtu ambaye hayupo duniani
 
sina shida na kuwa kiongozi wa kisiasa, narudia haitakuja kutokea Lissu kuwa Rais wa Tanzania
Wewe lini utakuwa hata mjumbe wa nyumba 10?

Kama Mungu akiwa kapanga wewe fisi maji huwezi kuzuia.

Kapige nyungu Ufe kama Pombe
 
ushahidi huna, unahangaika tu muuaji wewe ndiye ulimpatia silaha? mmetandikana wenyewe risasi ili mpate huruma kwa wananchi mnambebesha mtu ambaye hayupo duniani
Huko mwendako siko.
ushahidi huna, unahangaika tu muuaji wewe ndiye ulimpatia silaha? mmetandikana wenyewe risasi ili mpate huruma kwa wananchi mnambebesha mtu ambaye hayupo duniani
Naona sasa mwataka fika pabaya. Acheni makumbano.
 
Back
Top Bottom