Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Mie nashauri lissu ateme nyongo yake yote ili azidi kujipoteza
 
Watu kama Lissu wanaishi Tanzania ambayo ipo zaidi mitandaoni haswa JF na Twitter, Tanzania flani ya kufikirika. Kuna ukweli wanauona ila wamegoma kuukubali.

Watanzania ni wapole wapo kimya ila wanajua ukweli na uongo, ukiwapa nafasi watoe maamuzi yao utawaona.

Mara nyingi watanzania wanazungumza kwenye maboksi ya kura na matukio kama haya tulioona wakimlilia Magufuli.
Ni msiba wa nani kafa hawakumlilia?
 
Huyo jamaa kaitia akili yake upofu tu.ukiangalia utagundua kinachotetea ushoga ni katiba siyo Lisu. Lisu alisema katiba inalinda faragha za watu.
Wengi hawajui hata hiyo katiba wapowapo tu kama mishipa? Tuseme na watu kufunga milango chooni nako ni kulinda haki za nani
 
Itafika mwaka 2050 na tutakua tunasema aliwahi kuwapo mwanasiasa machachari tanzania kwa jina la tundu lissu...hakuwahi kua sehemu ya serikali..
 
inawauma sana Rais Magufuli alikuwa anakubalika kila mahali. sasa ameishakufa mnamsema vibaya wa nini hamuoni kuwa nyie ndo hamna akili kumtukana mtu ambaye tayari hayupo duniani ni sawa na kuongea na kulitukana jiwe ambalo halina uhai wala kusogea mahali lilipo
Mbona madaraja tunayataja na hamkatai.. iweje mauaji aliyofanya tuyafiche kisa kafa

Ukoo wa panya nyie
 
Mataga wanaamin lisu ndio kamuua mzee baba,wanaacha kupambana na israil mtoa roho wanapambana na lissu
 
Mbona madaraja tunayataja na hamkatai.. iweje mauaji aliyofanya tuyafiche kisa kafa

Ukoo wa panya nyie

You have to keep an open mind! Ushahidi kwamba ameua mtu yeyote uko wapi? Kumtuhumu mtu bila ushahidi wowote ni chuki binafsi na uonevu.

Critics wengi wa serikali huuawa bila maagizo yoyote ya viongozi wakuu. Kuna mashabiki ambao hawaoni shida kumuondoa mtu ambaye wanadhani ni headache kwa kiongozi wanayempenda wao. Mashabiki wa aina ya wafuasi wa Trump, kwa mfano, hawahitaji maagizo yoyote kutoka kwa Trump kumfyekelea mbali mtu ambaye wanamuona ni tishio kwa kiongozi wao. Hawa ni wahalifu wanaoamini kimakosa kwamba matendo yao yana maslahi kwa taifa!

Hata mimi nikijianika mahali nikawa mkosoaji mkali sana wa Lissu au Mbowe, kila uchao, ninaweza kutekwa na kuuawa na wafuasi wao hata bila wao wenyewe kutoa maagizo yoyote. Hii ndiyo kasoro kubwa inayoambatana na ushabiki.
 
Mbona madaraja tunayataja na hamkatai.. iweje mauaji aliyofanya tuyafiche kisa kafa

Ukoo wa panya nyie
Kwendeni zenu wewe kwa akili yako mtu ambae amepitia trainings alenge shabaha risasi 16 akosee! ukiambiwa lete ushahidi utaleta? unafikiri vita ya kiuchumi ni lelemama mtu yoyote anaweza kutumika kumshambulisha mtu fulani ilimradi tu wananchi wagombane na serikali yao.
 
Back
Top Bottom