Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Walioshindwa kumtoa roho walilipwa pesa wakafanye kazi (Wakashindwa)

Je wewe mbuzi bure tu utaweza kweli..?

Kafukie mzoga wenu kwanza

basi wala asijali aje tu nchini utaelewa kichapo atakachopata
 
Huyo Lissu, watanzania inabidi wamwelewe kuwa ni kichaa. Huyo alidhubutu kumtukana mpaka baba wa Taifa mwl Nyerere. Mm nafikili wampotezee na waendelee na maisha kama kawaida. Never argue with a fool. People might not notes the difference.
 
Sasa anaomba ruhusa yanini?

Aseme tu kama ina ukweli...

Ama nae ni dhaifu na mwoga?
Acha amtuhumu sasa mana alivyokua na uwezo wa kukanusha hakuutumia badala yake alitumia mtutu wa bunduki kumnyamazisha
 
Kuna uwezekano alichapwa kwa usaliti
Huu nao ni uchochezi na uvunjifu wa amani. Mkabilini kwa hoja siyo kwa nguvu. Tatizo ni kuwa hamna uwezo wa kupambana kwa hoja badala yake mnatumia nguvu. Hata kushambuliwa kwake kwa risasi ni matokeo ya kushindwa kuoambana naye na kujibu hoja zake kikamilifu. Mada kama hii ni ushahidi wa kushindwa kujibu hoja badala yake kujiandaa kutumua nguvu. Ujinga!
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Kwani Mbowe mwenyewe yupo hapa wapi kweli? Ila sijasikia viongozi wa ccm wakiulizia alipo Kigonzi wa chama kikuu cha upinzani nchini. Hawa ccm hawako concerned kama ilivyokuwa kwa wenzao Chadema walimuulizia Raisi alipotoweka
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Hivi unajua Risasi moja ilimkata Lissu dushe? Hivi unajua ni uchungu kiasi gani kuishi kama Mugabe??
 
bora zingebaki media
Yuko wapi huyu😂😂
Screenshot_2021-03-25_190319.jpg
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama.

Tunakufikishia salamu hizi sisi Watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie hata kama ana uchungu na kisasi kwa yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi yake hastahili kufanya anayoyafanya labda kama hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lissu behave like gentleman.
Umesahau aliitwa mtetezi wa mashoga wakati siyo kweli?
Umesahau mlisema ameshambuliwa na serves wake na mpaka leo hata kuku hajakamatwa?
Umesahau marehemu aliagiza kwamba akina akazikwe nataka kijijini kwao?
Umesahau JPM alikataa asipewe pesa ya matibabu wakati ni haki yake?
Umesahau aliagiza apokonywe ubunge ati Hawajui alipo?
KAMFUFUE SASA.
 
Back
Top Bottom