Dunia ya Mungu ina mengi. Ndiyo maana waungwana walisema ukiyastaajabu ya Mussa jiandae kuyaona ya Firauni.
Inasemekana Freeman Aikaeli Mbowe alikuwa mtoto wa ubatizo kwa hayati baba wa taifa ambaye ndiye aliyempa jina Freeman, akimhusisha na siku aliyobatizwa:
Kwamba pia Makongoro Nyerere alikuwa mtoto wa ubatizo kwa baba yake Mbowe.
Lisemwalo lipo na kama halipo basi linakuja nyuma.
Kua uyaone.
Miaka 60 baadaye yatima huyu mwenye malezi yenye mafungamano na pande za Magogoni amegeuzwa leo kuwa gaidi hatari wa kiwango cha akina Osama bin Laden na serikali ya mheshimiwa SSH:
Yote hii ikiwa ni fitina na figisu za kisiasa zitokanazo na yeye kupanga kushiriki kongamano la kudai katiba mpya, jambo ambalo si kosa kwa mujibu wa katiba.
Imefanana sana na yule mwenye shamba la mizabibu aliyelazimika hatimaye kumtuma mwanawe kwenda kuchukua sehemu ya yaliyokuwa mazao yao (Mathayo 21:33-46):
"Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: βHuyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!β Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua."
Eh Mola wetu na ukamsimamie Freeman Aikaeli Mbowe kokote kule aliko ukiwalipa wote walio watesi wake, sawa sawa na matendo yao.
Hii kesi itapokwisha itatupa picha halisi ya "mama mpigamwingi" anapotupeleka!! kwasasa tutulie tuone maana hatukujua tz kuna wanasiasa magaidi na wauwaji... tulijua wahalifu tuu kama kina 7ya.
Mh.Mbowe aliondoka nchini hapa kwa kudai kuandamwa na SERIKALI....
Ikumbukwe Serikali hiyo ilikuwa chini ya JPM....Rais ambaye alikuwa yuko karibu Sana....karibu mno mno mno na mama Maria Nyerere.....
Ninaamini katika mazungumzo yao alikuwa anamgusia HISTORIA YA NCHI HII.....marafiki wa karibu wa baba wa taifa ,familia zao,wake zao na matukio makubwa ya familia zao.....
Imekuwa ikisemwa kuwa Baba wa taifa hayati JKN alikuwa karibu Sana kifamilia na watoto wa :
1)John Rupia
2)Familia ya Sykes(Abdulwahid &Ali)
3)Hamza Mwapachu(watoto wake Bakari na wengine).
WAFUATILIE WATOTO WOTE HAO na kiitwacho UKARIBU WA FAMILIA YA Haikaeli Mbowe NA FAMILIA YA HAYATI JKN....
Kongamano la Mbowe pale Mwanza limezuiliwa kisa kuzuia maambukizi ya covid 19 fair enough ILA ile game ya pale Kigoma(yanga vs simba)iendelee na mikusanyiko ya wananchi kuwasikiliza viongozi wa chama dola iendelee,kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anakamatwa na kuwekwa ndani na sisi maisha yetu yanaendelea!Tanzania bado bado sana !safari yetu ni ndefu mno labda generation's zijazo zitaweza kumkamata bull kwenye pembe zake hii ya kwetu ni njaa tupu na uoga wa vivuli vyetu.
Mh.Mbowe aliondoka nchini hapa kwa kudai kuandamwa na SERIKALI....
Ikumbukwe Serikali hiyo ilikuwa chini ya JPM....Rais ambaye alikuwa yuko karibu Sana....karibu mno mno mno na mama Maria Nyerere.....
Ninaamini katika mazungumzo yao alikuwa anamgusia HISTORIA YA NCHI HII.....marafiki wa karibu wa baba wa taifa ,familia zao,wake zao na matukio makubwa ya familia zao.....
Imekuwa ikisemwa kuwa Baba wa taifa hayati JKN alikuwa karibu Sana kifamilia na watoto wa :
1)John Rupia
2)Familia ya Sykes(Abdulwahid &Ali)
3)Hamza Mwapachu(watoto wake Bakari na wengine).
WAFUATILIE WATOTO WOTE HAO na kiitwacho UKARIBU WA FAMILIA YA MH.MBOWE NA FAMILIA YA HAYATI JKN....
Tokea katika maneno kuntu ya captain Komba (rip), sote tu yatima kwa kuondokewa na baba wa taifa Mwalimu Nyerere. Si kwa maana yako hiyo finyu kama unavyo taka kulazimisha πππ!
Ndiyo maana wimbo ule uko pale kabla ya kuhitimishwa na uyatima wa Mbowe, ukiwamo pia wako, wangu na wa Mtanzania yeyote hata aliyezaliwa jana.
JPM yupi aliyekuwa haandami watu? Huyu huyu aliye wapoteza kin Ben na kina Azory? Huyu huyu ambaye shambulizi la Lissu kwa muono wake halikuwahi kutokea?
Huyu huyu aliyewafanya mabalozi wa Germany, Belgium na Marekani kugeuka mabaunsa kumsindikiza Lissu kwenda nje ya nchi vinginevyo kesi ya ugaidi kama ya Mbowe leo, naye ingemhusu?
Mabibi na mabwana awamu ya tano imepita na sasa kazi inaendelea katika awamu ya sita chini ya Rais Samia. Kwamba tupo awamu ya sita itakuwa kutojitendea haki mno kutoyaangazia kabisa madhara ya awamu ya tano kwa awamu ya sita yote chanya na hasi. Kwa uzi huu itoshe kuyaangazia madhara hasi ya...
www.jamiiforums.com
Leo hii wizara ya afya na serikali wanaanzia wapi kuwahitaji wale aliowaita wanyonge kuchukua tahadhari? Au hata chanjo inafikishwaje kwao?
"Huyo unayejaribu kumsifia ni almaarufu kwa kubambika watu kesi, dhuluma za mali na hata maisha ya watu.'
Mbowe hakuwa exempted kwenye hayo.
Msikilize Komba vyema ukaujue uyatima wa wako na wa watanzania wote:
". Tulikuwa naye siku zote za mapambano:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.
Ametuondoka wakati tukimhitaji:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.
Sasa Twende wapi tukapate ushauri:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.
Kongamano la Mbowe pale Mwanza limezuiliwa kisa kuzuia maambukizi ya covid 19 fair enough ILA ile game ya pale Kigoma(yanga vs simba)iendelee na mikusanyiko ya wananchi kuwasikiliza viongozi wa chama dola iendelee,kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anakamatwa na kuwekwa ndani na sisi maisha yetu yanaendelea!Tanzania bado bado sana !safari yetu ni ndefu mno labda generation's zijazo zitaweza kumkamata bull kwenye pembe zake hii ya kwetu ni njaa tupu na uoga wa vivuli vyetu.
Kuna thwawabu kubwa kwa wote wasimamao kuipigania haki kwa ajili ya wote. Kwa maana njia hiyo si kila mtu anaweza kuipita. Njia hii si lazima kwa kila mtu kuipita. Waipitao njia hii ni wale tu walio na wito kamili. Kama ile iendayo uzimani, ina vikwazo vingi. Kipi ambacho kamanda Mbowe...
www.jamiiforums.com
Haki itadaiwa na wenye wito kamili, pasipo na kujali kuwa nani hakushiriki. Kutakuwa na gharama za kulipwa na huo ndiyo ulio ukweli wenyewe.
Haipo struggle isiyokuwa na casualties.
Hadi chakula kuwiva huhitaji kwanza kutokota vilivyo!
Dunia ya Mungu ina mengi. Ndiyo maana waungwana walisema ukiyastaajabu ya Mussa jiandae kuyaona ya Firauni.
Inasemekana Freeman Aikaeli Mbowe alikuwa mtoto wa ubatizo kwa hayati baba wa taifa ambaye ndiye aliyempa jina Freeman, akimhusisha na siku aliyobatizwa:
Kwamba pia Makongoro Nyerere alikuwa mtoto wa ubatizo kwa baba yake Mbowe.
Lisemwalo lipo na kama halipo basi linakuja nyuma.
Kua uyaone.
Miaka 60 baadaye yatima huyu mwenye malezi yenye mafungamano na pande za Magogoni amegeuzwa leo kuwa gaidi hatari wa kiwango cha akina Osama bin Laden na serikali ya mheshimiwa SSH:
Yote hii ikiwa ni fitina na figisu za kisiasa zitokanazo na yeye kupanga kushiriki kongamano la kudai katiba mpya, jambo ambalo si kosa kwa mujibu wa katiba.
Imefanana sana na yule mwenye shamba la mizabibu aliyelazimika hatimaye kumtuma mwanawe kwenda kuchukua sehemu ya yaliyokuwa mazao yake (Mathayo 21:33-46):
"Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: βHuyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!β Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua."
Eh Mola wetu na ukamsimamie Freeman Aikaeli Mbowe kokote kule aliko ukiwalipa watesi wake sawa sawa na matendo yao.
Tokea katika maneno kuntu ya captain Komba (rip), sote tu yatima kwa kuondokewa na baba wa taifa Mwalimu Nyerere. Si kwa maana yako hiyo finyu kama unavyo taka kulazimisha πππ!
Ndiyo maana wimbo ule uko pale kabla ya kuhitimishwa na uyatima wa Mbowe wako, wangu na wa Mtanzania yule.
JPM yupi aliyekuwa haandami watu? Huyu huyu aliye wapoteza kin Ben na kina Azory? Huyu huyu ambaye shambulizi la Lissu kwa muono wake halikuwahi kutokea?
Huyu huyu aliyewafanya mabalozi wa Germany, Belgium na Marekani kugeuka mabaunsa kumsindikiza Lissu njevya nchi vinginevyo kesi ya ugaidi kama ya Mbowe leo kama si kutakatisha pesa, madawa ya kuleta au umuhimu uchumi naye ingemhusu?
Kuna thwawabu kubwa kwa wote wasimamao kuipigania haki kwa ajili ya wote. Kwa maana njia hiyo si kila mtu anaweza kuipita. Njia hii si lazima kwa kila mtu kuipita. Waipitao njia hii ni wale tu walio na wito kamili. Kama ile iendayo uzimani, ina vikwazo vingi. Kipi ambacho kamanda Mbowe...
www.jamiiforums.com
Haki itadaiwa na wenye wito kamili, pasipo na kujali kuwa nani hakushiriki. Kutakuwa na gharama za kulipwa na huo ndiyo ulio ukweli wenyewe.
Haipo struggle isiyokuwa na casualties.
Hadi chakula kuwiva huhitaji kwanza kutokota vilivyo!