Mbowe: Mtuhumiwa ugaidi aliye shujaa kwa wengine

Mbowe: Mtuhumiwa ugaidi aliye shujaa kwa wengine

Sufficient evidence that he is a FREEMAN is here.



Mwendazake akaitaa fursa hiyo ya kujitengenezea legacy. Kwa mara nyingine SSH naye anaikataa fursa hiyo.

Wako kama wamerogwa.
 
Hii. Inchi viongozi wake wamepinda kama mkia wa kinyonga sababu ya ujinga ulio jaa vichwani mwao.

Hivi unamkamata mbowe eti in gaidi!! Hivi hao policiccm wanajua maana ya gaidi napata shida sana juu ya hawa police.
Inaonekana wanacho fundishwa huko chuoni nikubambikizia watu kesi tuu!

Hakuna police mwenye weledi tz ndio maana nasema : ewe mzazi usimpeleke mwanao akajifunze upolice hiki kitengo nicha hovyo sana na hata mbinguni police kwenda nivigumu sana.
 
Mbowe ni gaidi, na hatokua na sifa hiyo mahakama ikithibitisha vinginevyo.
 
Katika mambo ya hovyo kabisa yaliyofanywa na huyu bibi toka Visiwa jirani, ni hili. Hata afanye nini, hili limemfanya kuwa mtu wa hovyo asiyestahili heshima yoyoye kutoka kwa mtu yeyote mstaarabu wa Dunia hii.
 
Tokea katika maneno kuntu ya captain Komba (rip), sote tu yatima kwa kuondokewa na baba wa taifa Mwalimu Nyerere. Si kwa maana yako hiyo finyu kama unavyo taka kulazimisha 😂😂😂!

Ndiyo maana wimbo ule uko pale kabla ya kuhitimishwa na uyatima wa Mbowe wako, wangu na wa Mtanzania yule.

JPM yupi aliyekuwa haandami watu? Huyu huyu aliye wapoteza kin Ben na kina Azory? Huyu huyu ambaye shambulizi la Lissu kwa muono wake halikuwahi kutokea?

Huyu huyu aliyewafanya mabalozi wa Germany, Belgium na Marekani kugeuka mabaunsa kumsindikiza Lissu njevya nchi vinginevyo kesi ya ugaidi kama ya Mbowe leo kama si kutakatisha pesa, madawa ya kuleta au umuhimu uchumi naye ingemhusu?

JPM yupi unayemwongelea wewe? Huyu huyu aliyepumzika kule Geita?

Kwani mambo yale mambo ya legacy unayasoma au kuyasikia tena? Au basi, hata Diallo mwenyekiti wako wa CCM Mwanza hukumsikia?

Kama ni huyo ndiye unayemwongelea wewe, basi kumbuka alikuwa na faili Mirembe. Kwa mujibu wa maelezo ya Diallo, tulikuwa na rais kichaa!

Madhara aliyoliachia taifa hili hayapimiki. Angalia vifo vya Corona ambavyo vingeweza kuepukika. Angalia alichorithisha watu kuhusiana na Corona.

Leo hii wizara ya afya na serikali wanaanzia wapi kuwahitaji wale aliowaita wanyonge kuchukua tahadhari? Au hata chanjo inafikishwaje kwao?

"JPM huyo anajulikana kwa kubambika watu kesi, kudhulumu mali na hata maisha. Mbowe hakuwa exempted kwenye hayo."

Msikilize Komba ukaujue uyatima wa wako na hata wa Mtanzania mwenye miaka 100:

".
Tulikuwa naye siku zote za mapambano:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.

Ametuondoka wakati tukimhitaji:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.

Sasa Twende wapi tukapate ushauri:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.

Kiza kinene kimetanda hatuna pa kukamata:
Mwenzetu,
Ndugu yetu,
Mwalimu Nyerere.


.
.
"
🤣
Mkuu wangu mwanagenzi Brazaj nilitegemea uniwekee REJEA kutoka KAMUSI YA BAKITA.....

Kwa hiyo neno YATIMA humhusu mtu mzima wa miaka 60?!!

Narudia tena kuwa

Hayati kapteni Komba alisadifu KIUTUNZI wa wimbo.....je alikuwa sahihi kwa muktadha wa BAKITA alikuwa YU SAHIHI?!!!

Mh.Makongoro Nyerere yupo....

Mama Maria Nyerere yupo.....

Kama kweli mh.Mbowe alikuwa na ukaribu huo na familia hiyo ya Hayati Baba wa taifa huwenda hata HARAKATI ZA MBOWE kuipinga CCM kwa ukali wa kutotetereka kusingekuwepo.....

Nionacho ni nyinyi CHADEMA kutuhadaa na kujikweza tu 🤣🤣
 
Dunia ya Mungu ina mengi. Ndiyo maana waungwana walisema ukiyastaajabu ya Mussa jiandae kuyaona ya Firauni.

Inasemekana Freeman Aikaeli Mbowe alikuwa mtoto wa ubatizo kwa hayati baba wa taifa ambaye ndiye aliyempa jina Freeman, akimhusisha na siku aliyobatizwa:

View attachment 1865269

Kwamba pia Makongoro Nyerere alikuwa mtoto wa ubatizo kwa baba yake Mbowe.

Lisemwalo lipo na kama halipo basi linakuja nyuma.

Kua uyaone.

Miaka 60 baadaye yatima huyu mwenye malezi yenye mafungamano na pande za Magogoni amegeuzwa leo kuwa gaidi hatari wa kiwango cha akina Osama bin Laden na serikali ya mheshimiwa SSH:

View attachment 1865295

Yote hii ikiwa ni fitina na figisu za kisiasa zitokanazo na yeye kupanga kushiriki kongamano la kudai katiba mpya, jambo ambalo si kosa kwa mujibu wa katiba.

Imefanana sana na yule mwenye shamba la mizabibu aliyelazimika hatimaye kumtuma mwanawe kwenda kuchukua sehemu ya yaliyokuwa mazao yake (Mathayo 21:33-46):

"Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: ‘Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!’ Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua."

Eh Mola wetu na ukamsimamie Freeman Aikaeli Mbowe kokote kule aliko ukiwalipa watesi wake sawa sawa na matendo yao.

View attachment 1865270
Samia anaipeleka nchi siko kabisa ashauriwe na apokee ushauri la sivyo atakuwa mwanamke wa kwanza Tanzania kichukiwa.
 
mtaani sioni watu wakiandamana kwa zuma SA

acheni ujinga nyie, Mbowe hana impact TZ

kapuuzwa

Mtaani uko unatafuta watu wanaoandamana kwani wewe ni shamus?

IMG_20210724_112404_300.jpg
 
JPM JPM

ashakufa, kisa alikufukuza na vyeti feki?

iangalie CCM ndio tatizo

jinga wewe, lipost zima.marehemu tu?

Kamfufue kwani kuna aliyekukataza?

Aliniulia ndugu yangu. Kazi? Kazi kitu gani? Unadhani kila mtu anaabudu viajira vya kishamus kama wewe?

IMG_20210724_112404_300.jpg


Kawaambie vi ID vyenye hivi vi Rabia almaarufu kama wave #3 siyo dili!
 
Mama Maria Nyerere yupo.....

Mh.Makongoro Nyerere yupo...


Mh.Mbowe aliondoka nchini hapa kwa kudai kuandamwa na SERIKALI....

Ikumbukwe Serikali hiyo ilikuwa chini ya JPM....Rais ambaye alikuwa yuko karibu Sana....karibu mno mno mno na mama Maria Nyerere.....

Ninaamini katika mazungumzo yao alikuwa anamgusia HISTORIA YA NCHI HII.....marafiki wa karibu wa baba wa taifa ,familia zao,wake zao na matukio makubwa ya familia zao.....

Imekuwa ikisemwa kuwa Baba wa taifa hayati JKN alikuwa karibu Sana kifamilia na watoto wa :

1)John Rupia
2)Familia ya Sykes(Abdulwahid &Ali)
3)Hamza Mwapachu(watoto wake Bakari na wengine).


WAFUATILIE WATOTO WOTE HAO na kiitwacho UKARIBU WA FAMILIA YA Haikaeli Mbowe NA FAMILIA YA HAYATI JKN....

N.B: Mkuu Brazaj ,je YATIMA si "orphan"?!!!

Kuna YATIMA ana umri wa miaka 60 ?!!!!

#NchiKwanza
#JMTMilele
Kwani uyatima unasababishwa na umri?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Sema jamaa naye ni dikteta, unalazimishaje watu wachanjwe chanjo ya Corona? Ni mtu wa matukio, he is not objective kabisa. Chama hakina mipango ya kueleweka, kipo kipo tu.
 
Kwa sababu babaako kaolewa unadhani kila mtu anafanya upuuzi kama huo!? Ná wewe send off yako itakuwa lini!? Mbowe hana hatia na polisiccm wanahaha kumtoa lupango ZWAZWA WEWE!
si mumeo na wewe unafyeka nyasi kwake?


mbowe hawezi, kuwa na hana lolote nchi hii
mahaba tu

ushaenda kumwona sero? ushaandamana? unampenda kivipi?
 
Sisi vijana, na yeye ni Mama, tukimzingua tunazinguana...

Ni ufinyu wa mawazo mtu kujidhania ana hati miliki ya kuzingua.


Kama tukimzingua naye anatuzingua, ni sahihi kusema akizingua, tunamzingua naye.

Basi ni sahihi zaidi kusema "ukizingua tunazinguana."

Ninaunga mkono hoja "tunazinguana" lisikosekane pale kuweka mizania mahali pake.
 
Back
Top Bottom