Mbowe: Mtuhumiwa ugaidi aliye shujaa kwa wengine

Sufficient evidence that he is a FREEMAN is here.


Mwendazake akaitaa fursa hiyo ya kujitengenezea legacy. Kwa mara nyingine SSH naye anaikataa fursa hiyo.

Wako kama wamerogwa.
 
Hii. Inchi viongozi wake wamepinda kama mkia wa kinyonga sababu ya ujinga ulio jaa vichwani mwao.

Hivi unamkamata mbowe eti in gaidi!! Hivi hao policiccm wanajua maana ya gaidi napata shida sana juu ya hawa police.
Inaonekana wanacho fundishwa huko chuoni nikubambikizia watu kesi tuu!

Hakuna police mwenye weledi tz ndio maana nasema : ewe mzazi usimpeleke mwanao akajifunze upolice hiki kitengo nicha hovyo sana na hata mbinguni police kwenda nivigumu sana.
 
Mbowe ni gaidi, na hatokua na sifa hiyo mahakama ikithibitisha vinginevyo.
 
Katika mambo ya hovyo kabisa yaliyofanywa na huyu bibi toka Visiwa jirani, ni hili. Hata afanye nini, hili limemfanya kuwa mtu wa hovyo asiyestahili heshima yoyoye kutoka kwa mtu yeyote mstaarabu wa Dunia hii.
 
🤣
Mkuu wangu mwanagenzi Brazaj nilitegemea uniwekee REJEA kutoka KAMUSI YA BAKITA.....

Kwa hiyo neno YATIMA humhusu mtu mzima wa miaka 60?!!

Narudia tena kuwa

Hayati kapteni Komba alisadifu KIUTUNZI wa wimbo.....je alikuwa sahihi kwa muktadha wa BAKITA alikuwa YU SAHIHI?!!!

Mh.Makongoro Nyerere yupo....

Mama Maria Nyerere yupo.....

Kama kweli mh.Mbowe alikuwa na ukaribu huo na familia hiyo ya Hayati Baba wa taifa huwenda hata HARAKATI ZA MBOWE kuipinga CCM kwa ukali wa kutotetereka kusingekuwepo.....

Nionacho ni nyinyi CHADEMA kutuhadaa na kujikweza tu 🤣🤣
 
Samia anaipeleka nchi siko kabisa ashauriwe na apokee ushauri la sivyo atakuwa mwanamke wa kwanza Tanzania kichukiwa.
 
JPM JPM

ashakufa, kisa alikufukuza na vyeti feki?

iangalie CCM ndio tatizo

jinga wewe, lipost zima.marehemu tu?

Kamfufue kwani kuna aliyekukataza?

Aliniulia ndugu yangu. Kazi? Kazi kitu gani? Unadhani kila mtu anaabudu viajira vya kishamus kama wewe?



Kawaambie vi ID vyenye hivi vi Rabia almaarufu kama wave #3 siyo dili!
 
Sisi vijana, na yeye ni Mama, tukimzingua tunazinguana...
 
Kwani uyatima unasababishwa na umri?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Sema jamaa naye ni dikteta, unalazimishaje watu wachanjwe chanjo ya Corona? Ni mtu wa matukio, he is not objective kabisa. Chama hakina mipango ya kueleweka, kipo kipo tu.
 
Sufficient evidence that he is a FREEMAN is here.


si mumeo na wewe unafyeka nyasi kwake?


mbowe hawezi, kuwa na hana lolote nchi hii
mahaba tu

ushaenda kumwona sero? ushaandamana? unampenda kivipi?
 
Kwa sababu babaako kaolewa unadhani kila mtu anafanya upuuzi kama huo!? Ná wewe send off yako itakuwa lini!? Mbowe hana hatia na polisiccm wanahaha kumtoa lupango ZWAZWA WEWE!
si mumeo na wewe unafyeka nyasi kwake?


mbowe hawezi, kuwa na hana lolote nchi hii
mahaba tu

ushaenda kumwona sero? ushaandamana? unampenda kivipi?
 
Sisi vijana, na yeye ni Mama, tukimzingua tunazinguana...

Ni ufinyu wa mawazo mtu kujidhania ana hati miliki ya kuzingua.


Kama tukimzingua naye anatuzingua, ni sahihi kusema akizingua, tunamzingua naye.

Basi ni sahihi zaidi kusema "ukizingua tunazinguana."

Ninaunga mkono hoja "tunazinguana" lisikosekane pale kuweka mizania mahali pake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…