Mbowe must go, hatukutaki!

Kakuchosha umembeba mgongoni? Au Yuko CCM anakuharibia chama? Hebu mfukuze kwanza Nape kaiharibia CCM pakubwa. Katoa Siri ya CCM. Mbowe hajatoka jana, hatoki leo, kesho Wala kesho kutwa. Mbowe kamatia hapohapo wameanza kuomba PO!
Mbowe must go
 
Aondoke aende wapi wakati chama ni chake?. Kama ni kuondoka, wataondoka watu wa kuja na kuwaachia chama wenyewe wenye chama chao!. Utaondoka wewe na yeye utamuacha!.
P
Anzishen chama chenu
Mbona zito alianzisha chake
Simple tuu ukiona hauridhiki na uongoz ondoka
Mbona wengi wameondoka tuu
 
Bado sanaaa mbowe tupo nae
 

Attachments

  • 5774428-62fa834cf54983ad5e16a524a5cc810.mp4
    653.1 KB
Mbowe must go
 
Aondoke aende wapi wakati chama ni chake?. Kama ni kuondoka, wataondoka watu wa kuja na kuwaachia chama wenyewe wenye chama chao!. Utaondoka wewe na yeye utamuacha!.
P
CCM ina wenywe na Chadema ina wenyewe,Cuf ina wenyewe,ACT ina wenyewe mtu amestaafu lakini yuko kwa mlango wa nyuma, UDP nk ukishindwa anzisha chama chako au hamia vyama vingine. Ya chadema waachie wana chadema na katiba yao. badala ya kusema CCM must go unasema Mbowe must go huna akili, huyo anayehamasisha ana agenda ya siri kipindi hiki nyeti cha uchaguzi. Achaneni naye.
 
Mbowe must go
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…