Ona hulili zombie nalo. Sisi tunataka chadema na hatutaki isambaratike kwa namna yoyote ila hatumtaki mbowe tu. Kwani bila mbowe chadema haipo?Kama CCM, imekuwepo zaidi ya Mika 60 Toka TANU-CCM, wizi ufisadi, na mambo mengi hovyo, Leo mnahangaika na CHADEMA na Umwenyeki wa Mbowe.
Mbowe kamanda wa kikosi Cha anga ,Bado yupo sana, CHADEMA ipo sana, JIWE kambale alishindwa kuimaliza, KIZIMKAZI na MBOGAMBOGA wote hakuna wa kumuondoa Mbowe,.
Kazi mnayo sana 2025 .
Anakusanya kodi?Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Aliyeserious 1takuja inbox nimuunganishe Naye yupo darAnakusanya kodi?
Kinana kawa kama pinocchioPoleni sana Wanachadema. I feel your pain. Your life long Dictator must go🙌🏾
Kibaraka tyuu?
=======================
Tumia katiba kumwondoa Mbowe siyo longolongo hicho ni chama cha demokrasiaOna hulili zombie nalo. Sisi tunataka chadema na hatutaki isambaratike kwa namna yoyote ila hatumtaki mbowe tu. Kwani bila mbowe chadema haipo?
Nani kakwambia hiki ni chama cha demokrasia?zTumia katiba kumwondoa hicho ni chama cha demokrasia
soma jina lake kinaitwajeNani kakwambia hiki ni chama cha demokrasia?
Jina ndo nini. Kwani si kuna watu wanajiita yesu au jesus lakini ki ukweli si yesusoma jina lake kinaitwaje
Vyama vya siasa Tanzania vina wenyewe, hali hiyo hutokana na mambo mawili;Aondoke aende wapi wakati chama ni chake?. Kama ni kuondoka, wataondoka watu wa kuja na kuwaachia chama wenyewe wenye chama chao!. Utaondoka wewe na yeye utamuacha!.
P
Bila Mbowe hakuna upinzani Tanzania!Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Siyo kweliBila Mbowe hakuna upinzani Tanzania!
Juzi uliswma weww huwezi andamana leo unatembeza #Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Yule rafiki yako msweden keshapata bibi?Mbowe must Go
Tanesco wamekata umeme inalaumiwa TV kwanini haina powerbankMbowe must go.
Umeme ghali,unakatika katika Mbowe ni sababu.Mbowe must go.
Msafara wa Bi Tozo magari ya kufahari V8 147.Mbowe ndiye mnunuzi mkuu wa magari ya serekali [ Procurement Commissioner].Mbowe must go.
Ukosefu wa ajira,vijana wetu wamemaliza vyuo vikuu Medical Doctors, Nurses,Accountants,Marketing consultants,Financial consultants,Logistics management consultants......... wote hawana ajira tatizo ni Mbowe.Mbowe must go.
Reports mbaya za matumizi mabaya ya walipa kodi yamebainishwa na ofisi ya CAG hakuna aliyefungwa,hakuna aliyeshtakiwa,hakuna hatua za maana za kinidhamu zilizochukuliwa.Ukienda mbali Mbowe ndiye mtetezi mkuu wa wabadhirifu wa mali ya umma.Mbowe must go.
Mbowe kauza Ngorongoro,Kilimanjaro International Airport,Bandari,Misitu.........Mbowe must go.
Mbowe katuletea tozo za miamala ya simu,bill za Tanesco.....Mbowe must go.
Hali ya uchumi ni mbaya fedha za kigeni ni haba usd hazionekani mitaani.Usd zote Mbowe kazificha huko kwao Machame.Mbowe must go.
Maendeleo hakuna kwasababu ya Mbowe.Mbowe must go.
Aliyetuloga Watanganyika kazikwa wapi,tumfukue labda ataturejeshea akili na maarifa.
BadoYule rafiki yako msweden keshapata bibi?
Focus kule aiseeBado