Mbowe must go, hatukutaki!

Mbowe must go, hatukutaki!

Kama CCM, imekuwepo zaidi ya Mika 60 Toka TANU-CCM, wizi ufisadi, na mambo mengi hovyo, Leo mnahangaika na CHADEMA na Umwenyeki wa Mbowe.

Mbowe kamanda wa kikosi Cha anga ,Bado yupo sana, CHADEMA ipo sana, JIWE kambale alishindwa kuimaliza, KIZIMKAZI na MBOGAMBOGA wote hakuna wa kumuondoa Mbowe,.

Kazi mnayo sana 2025 .
Ona hulili zombie nalo. Sisi tunataka chadema na hatutaki isambaratike kwa namna yoyote ila hatumtaki mbowe tu. Kwani bila mbowe chadema haipo?
 
Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.

Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.

Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.

#MboweMustGo
Anakusanya kodi?
 
Poleni sana Wanachadema. I feel your pain. Your life long Dictator must go🙌🏾

Kibaraka tyuu?
iu


=======================
fb_img_1680258242993-jpg.2572153
Kinana kawa kama pinocchio
 
Ona hulili zombie nalo. Sisi tunataka chadema na hatutaki isambaratike kwa namna yoyote ila hatumtaki mbowe tu. Kwani bila mbowe chadema haipo?
Tumia katiba kumwondoa Mbowe siyo longolongo hicho ni chama cha demokrasia
 
Aondoke aende wapi wakati chama ni chake?. Kama ni kuondoka, wataondoka watu wa kuja na kuwaachia chama wenyewe wenye chama chao!. Utaondoka wewe na yeye utamuacha!.
P
Vyama vya siasa Tanzania vina wenyewe, hali hiyo hutokana na mambo mawili;
1. Umasikini wa fikra kwa walio wengi.
2. Umasikini wa mali (uchumi) kwa walio wengi pia.
Wenye vyama wanaweza kuwa wa muda fulani (CCM yenye madaraka ambayo ni ya urithi kwa wengi, mwenye nguvu atamiliki kwa wakati wake), wa maisha (upinzani ambao wa kurithishwa hawajawa wengi, hawana madaraka na hutegemea zaidi nguvu za uchumi binafsi).

Kwa kuwa wengi hukimbilia kwenye siasa kama njia ya moja kwa moja ya kujikomboa kiuchumi binafsi, mapambano kati ya wana siasa wenye vyama na wenye njaa ni dhahiri.
Hata hivyo, wenye njaa kali hawana ubavu katika siasa za upinzani (kusikokuwa na madaraka), salama yao ipo kwenye chama chetu cha urithi (CCM).
Wenye vyama, hasa vya upinzani, wanastahili pongezi na kutiwa moyo, kwani siyo rahisi kujenga chama kwenye jamii huru yenye umasikini wa fikra na mali (Ilikuwa rahisi kwa wassisi wa taifa, mapambano yalikuwa dhidi ya mkoloni ambaye hakuwa mwenzetu).
 
Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.

Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.

Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.

#MboweMustGo
Bila Mbowe hakuna upinzani Tanzania!
 
Mtaangaika sana na mbowe hadi mate yawakauke.Nchi imewashindeni mnaangaika na mbowe.
 
Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.

Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.

Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.

#MboweMustGo
Juzi uliswma weww huwezi andamana leo unatembeza #
 
Mbowe must go.

Umeme ghali,unakatika katika Mbowe ni sababu.Mbowe must go.

Msafara wa Bi Tozo magari ya kufahari V8 147.Mbowe ndiye mnunuzi mkuu wa magari ya serekali [ Procurement Commissioner].Mbowe must go.

Ukosefu wa ajira,vijana wetu wamemaliza vyuo vikuu Medical Doctors, Nurses,Accountants,Marketing consultants,Financial consultants,Logistics management consultants......... wote hawana ajira tatizo ni Mbowe.Mbowe must go.


Reports mbaya za matumizi mabaya ya walipa kodi yamebainishwa na ofisi ya CAG hakuna aliyefungwa,hakuna aliyeshtakiwa,hakuna hatua za maana za kinidhamu zilizochukuliwa.Ukienda mbali Mbowe ndiye mtetezi mkuu wa wabadhirifu wa mali ya umma.Mbowe must go.

Mbowe kauza Ngorongoro,Kilimanjaro International Airport,Bandari,Misitu.........Mbowe must go.

Mbowe katuletea tozo za miamala ya simu,bill za Tanesco.....Mbowe must go.

Hali ya uchumi ni mbaya fedha za kigeni ni haba usd hazionekani mitaani.Usd zote Mbowe kazificha huko kwao Machame.Mbowe must go.

Maendeleo hakuna kwasababu ya Mbowe.Mbowe must go.

Aliyetuloga Watanganyika kazikwa wapi,tumfukue labda ataturejeshea akili na maarifa.
Tanesco wamekata umeme inalaumiwa TV kwanini haina powerbank
 
Back
Top Bottom