Mkuu ngoja nikukaririsha kauli ya unayemtetea ili uone wapi haupo sahihi ILA ujue sikulazimishi ukubaliane na mimi wala umkane masihi wako Mbowe ILA UKWELI UNABAKI PALEPALE- MBOWE AMEKIRI MWENYE ALIVYOMP0TEZA
Halima Mdee ananiuma kwa sababu nyingi.Halima nimemtoa chuo kikuu akiwa msichana. Nimempika kwa gharama sana. Ndiyo maana nilitumia juhudi zangu zote hata kuwaita wazazi wake, wamshawishi aachane na ubunge wa damu wa Magufuli, anaharibu career yake, hakunielewa”
pili, sijaona mbunge mstaafu aliyenachochote cha kunionyesha hiki kimetokana na ubunge- baada ya ubunge wanakuwa wa kawaida tu kama sisi wote suti zinaanza kufuliwa kwa petroli badala ya dry cleaning.
..hali za wanataaluma wanapostaafu zikoje?
..Na hali za wabunge wanapostaafu zikoje?
..wabunge wanalipwa na kumotishwa vizuri kuliko wanataaluma wengi hapa nchini.