Mbowe na dhana iliyotiliwa shaka huko nyuma

Mbowe na dhana iliyotiliwa shaka huko nyuma

Sindano nimechoma kibao , hoja hapa afya ya mtu ni jukumu lake, chanjo za lazima apeleka kwa misukule yake, aliowaambia Lowassa fisadi halafu akawabadilishia Gia angani wakamkubalia tena kuwa Lowassa sio fisadi
Andika kwa kufuata kanuni.Halafu huyo Lowassa siku hizi yupo chama gani?
 
Mbowe ni jinga lililopitiliza mwendazake kaka yake kaondoka kwa ugonjwa huo mbona hakumshauri mapema akaenda kudungwa dubai kama alivyofanya yeye! Au hajasikia uingereza huko euro imeisha covid19 haoni huo mchezo huko unaofanywa licha ya huo mchezo jana tu aliyepata chanjo kakutwa na maambukizi huko uingereza hivi hizo chanjo zinesaidia mataifa gani?maana kila siku utasikia covid mara marekan mara brazil mara uganda
 
Mbowe ni jinga lililopitiliza mwendazake kaka yake kaondoka kwa ugonjwa huo mbona hakumshauri mapema akaenda kudungwa dubai kama alivyofanya yeye! Au hajasikia uingereza huko euro imeisha covid19 haoni huo mchezo huko unaofanywa licha ya huo mchezo jana tu aliyepata chanjo kakutwa na maambukizi huko uingereza hivi hizo chanjo zinesaidia mataifa gani?maana kila siku utasikia covid mara marekan mara brazil mara uganda
Ndivyo ulivyojifunza kuandika hivyo?
 
Miaka 10, mnasema Lowassa fisadi na ushahidi mnao, Mbowe alipo badilika tuu na misukule ikabadilika, Lowassa akawa sio fisadi, misukule ya Mbowe tunaijua
Halafu baadaye akarudi wapi na weye ukachanua miguu kwa furaha kama unacheza mdundiko?
 
Hata shangazi naye kamshangaaa!!
Mbowe nilimuweka kati ya watu wenye akili kubwa lakini sasa anaonesha anahitaji kupumzika kupisha vijana kwenye ile nafasi chamani.

Au washauri wanampotosha makusudi?
Aliyemshauri anafanya mapinduzi ya uongozi kisayansi?
Wewe unamuamini sana huyo Shangazi yako? Hana lolote, ni mtu mwenye stress nyingi za maisha
 
Kweli kumpenda mtu muda mwengine Ata madhaifu yako huwezi kuyaona
Ni tatizo la mfumo wa ufundishaji ama ni umbulula wa wana JF wengi!?
Hakuna neno "ata",kuna "hata".
Hakuna neno "akuna", kuna "hakuna".
Hakuna neno "apana", kuna "hapana".
Tatizo la "r" na "l" linajulikana kwa baadhi ya makabila.
Hili tatizo la "h" na "a" limeanzajee!!???
 
Halafu baadaye akarudi wapi na weye ukachanua miguu kwa furaha kama unacheza mdundiko?
Ushahidi kuwa Lowassa fisadi mliuchoma moto? aibu tupu ndio shida ya kuwa msukule hii, yaani mtu Ata week ajamaliza tayari kawa Mgombea wa Urais
 
Ni tatizo la mfumo wa ufundishaji ama ni umbulula wa wana JF wengi!?
Hakuna neno "ata",kuna "hata".
Hakuna neno "akuna", kuna "hakuna".
Hakuna neno "apana", kuna "hapana".
Tatizo la "r" na "l" linajulikana kwa baadhi ya makabila.
Hili tatizo la "h" na "a" limeanzajee!!???
Kiswahili hakina kabila kijana, kwa vile wewe ni muhanga wa R na L unataka kujificha kwenye kichaka, hakuna alie salama kila mmoja ajifunze kurekebisha anapoteleza
 
Kiswahili hakina kabila kijana, kwa vile wewe ni muhanga wa R na L unataka kujificha kwenye kichaka, hakuna alie salama kila mmoja ajifunze kurekebisha anapoteleza
Umeelewa nilichoandika au umekurupuka kujibu!?
 
Najua Naweza kushambuliwa na ambao wanahisi matusi kwamba ndio hoja. Badala ya kutumia ukosoaji Kama SoMo lakini.Naomba kuwauliza.

Hivi Mheshimiwa Mbowe, Hana washauri.Na hii ni kupitia kauli yake ya kushauri Serikali kutoa chanjo kwa Lazima badala ya msimamo wa Serikali kwamba chanjo Ni hiari.

Watanzania hawataki kusikia habari za chanjo.Na hata hii ya Serikali kufanya Ni hiari bado wanaitupia lawama na kuishambulia.Iwe hii ya kufanya chanjo Ni Lazima!!!.

Nimeona mtandaoni reaction ya watu kupitia kauli yake. Itoshe tu kusema kwamba wengi amewaangusha.

Na si Mara ya kwanza.Hata awamu iliyopita pia alikua na msimamo ambao Naamini ulikua Ni wa chama kwamba Kuwepo na Lockdowm nchi nzima.Kitu ambacho ilikua pia Ni tofauti kwa wananchi wengi.

Kupitia haya machache ndio msingi wa Tittle yangu kwamba zile hoja ya kwamba Pengine Ni yupo hapo kwa maslahi ya watawala amaa??
Kwa hiyo ccm mmepata ahueni baada ya sakata la tozo kuwakaba koo
Mbowe si mtoa .maamuzi, ameshauri kama ambayo huwa anashauri ccm wanakataa baadaye wanalazimika kukubsli na kutekeleza

Na hili pia watapinga lakini hatimaye wakubali tu
 
Tumeshamchomka huyu mbowe anakiua chama .alisema tufungiwe lockdown
Amesema chanjo iwe lazima
Atakuwa ameshavuta mpunga huyu
 
Ajiuzuru uenyekit tu 2023 ni mbaoi sana
Na mwenyekiti ajaye uchagani au upareni tu kamwe hawezi toka sehemu nyingine
 
Back
Top Bottom