Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Andika kwa kufuata kanuni.Halafu huyo Lowassa siku hizi yupo chama gani?Sindano nimechoma kibao , hoja hapa afya ya mtu ni jukumu lake, chanjo za lazima apeleka kwa misukule yake, aliowaambia Lowassa fisadi halafu akawabadilishia Gia angani wakamkubalia tena kuwa Lowassa sio fisadi