We pimbi unaweza kumpiga samiaNi kawaida ya misukule ukweli kwao ni sumu, Mbowe ndio chadema na chadema ndio Mbowe, neno lake ndio Sheria hakuna wa kumpinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We pimbi unaweza kumpiga samiaNi kawaida ya misukule ukweli kwao ni sumu, Mbowe ndio chadema na chadema ndio Mbowe, neno lake ndio Sheria hakuna wa kumpinga
Sasa mnataka tujadili nini Ikiwa mada inahusu Mbowe?Unaumia Sana? Na uwepo wa chadema? Lakini Chadema haitawali nchi
Samia Mbona anapingwa sana , cha ajabu hakuna wa kumpinga Mbowe, akisema Lowassa ni fisadi Ata miaka 20 misukule yote itakubali, kesho akiamka akisema Lowassa saaafi na misukule nayo inasema saaafi, ni hatari sanaaaaWe pimbi unaweza kumpiga samia
Wewe sababu inayokufanya upende chanjo Ni Nini? Au ndo ulimbukeni kisa marekani wwnachoma chanjo 😁😁😁😁😁😁Sababu zinazokufanya weye ukatae chanjo ni nini?Au ni uwoga wenu tu wa kuogopa sindano?Baba zima unaogopa sindano?😝😝😝😝
Kasome komenti za watu huko mtandaoni walivyomshanbulia baada ya kutoa tamko hilo la kijinga kabisa, hata huko Twitter ambako Kuna mashabiki wengi wa Chadema nao walimshambulia bila kujali kuwa ni mwenyekiti wao.Watanzania waliosema hawataki chanjo uliwahoji lini? Mbona upo too general?Unaumwa mafua weye?
Hao "mashabiki wengi" ulitumia njia gani kuwamaizi?Kasome komenti za watu huko mtandaoni walivyomshanbulia baada ya kutoa tamko hilo la kijinga kabisa, hata huko Twitter ambako Kuna mashabiki wengi wa Chadema nao walimshambulia bila kujali kuwa ni mwenyekiti wao.
In short mzee Mbowe alitoa tamko lile kwa hisia zaidi baada ya kufiwa akasahau kuwa yeye ni kiongozi wa kisiasa anatakiwa apime upepo kabla ya kutoa tamko sensitive Kama hilo.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Badala ya kujibu swali unauliza swali.Watu wa Magohani mkoje?😝😝😝😝Wewe sababu inayokufanya upende chanjo Ni Nini? Au ndo ulimbukeni kisa marekani wwnachoma chanjo 😁😁😁😁😁😁
Kama mnao ushahidi huko CCM kwamba ni fisadi mbona mpo naye?Basi ninyi ni vimbwenerehi.Ushahidi kuwa Lowassa fisadi mliuchoma moto? aibu tupu ndio shida ya kuwa msukule hii, yaani mtu Ata week ajamaliza tayari kawa Mgombea wa Urais
Kwako Kuna mawili.Either Ni mtu Uliye busy na mambo yako,au Ni mtu wa kutochangamana na watu.Nikusaidie tu Kama upo kundi la hapo juu Basi Jaribu Kama una Social Media yoyote upite kwenye Post yoyote yenye hicho alichozungumza Jana ufuatilie reaction za watu.Ifike mahali mchukue hoja Kama sehemu ya kuona mmekosea wapi ili kujirekebisha.La sivyo mtakizidi kukididimiza chama kwa ushabiki maandaziWatanzania waliosema hawataki chanjo uliwahoji lini? Mbona upo too general?Unaumwa mafua weye?
" atakae muunga mkono fisadi Lowassa akapimwe akili haraka " MCHUNGAJI MSIGWA ahahahahaha baada ya Mbowe kubadili Gia angani misukule yote ikabadili maneno ahahahhaKama mnao ushahidi huko CCM kwamba ni fisadi mbona mpo naye?Basi ninyi ni vimbwenerehi.