Mbowe na dhana iliyotiliwa shaka huko nyuma

Mbowe na dhana iliyotiliwa shaka huko nyuma

Afya ya mtu ni jukumu lake mwenyewe, Ata huyo alietengeneza chanjo nae atakufa, Zama hizi hakuna anaetishiwa kufa
Hauwezi ukakataa chanjo halafu uhatarishe maisha ya waungwana.Kwani weye unaogopa nini?Unaogopa kuchomwa sindano?😝😝😝😝
 
Mmekosa hoja ya kumtetea Mbowe na vichekesho vyake unaanza kupiga ramli
Mtu anayekupa mbinu ya kupambana na ugonjwa utamlaumu?Au ulitaka akusisitize kupiga nyungu? Magufuli aliwaweza sana.Wapiga nyungu.😝😝😝😝😝😝
 
Hauwezi ukakataa chanjo halafu uhatarishe maisha ya waungwana.Kwani weye unaogopa nini?Unaogopa kuchomwa sindano?😝😝😝😝
Afya ya mtu ni jukumu lake, Mbowe ameongea ugoro mkubwa, ndio maana ata alipompokea Lowassa mlishangilia maana hamna uwezo wa kumbishia
 
Mtu anayekupa mbinu ya kupambana na ugonjwa utamlaumu?Au ulitaka akusisitize kupiga nyungu? Magufuli aliwaweza sana.Wapiga nyungu.😝😝😝😝😝😝
Hao wasio piga nyungu wametuzidi nini? mbona sisi tu naishi saaafi tuu, shida mmekuwa misukule na hili limeanzia mbali toka wakati ule wa Lowassa
 
Afya ya mtu ni jukumu lake, Mbowe ameongea ugoro mkubwa, ndio maana ata alipompokea Lowassa mlishangilia maana hamna uwezo wa kumbishia
Alivyokushauri upate chanjo ndiyo umenuna? Baba zima unaogopa kuchomwa sindano. Hopeless sana.😝😝😝😝😝
 
Hao wasio piga nyungu wametuzidi nini? mbona sisi tu naishi saaafi tuu, shida mmekuwa misukule na hili limeanzia mbali toka wakati ule wa Lowassa
Hivi kupiga nyungu siyo sawa na uchawi tu? Binadamu umepewa akili ili ukabiliane na mazingira.Siyo kubahatisha.Pata chanjo acha woga weye!😝😝😝😝😝
 
Alivyokushauri upate chanjo ndiyo umenuna?Baba zima unaogopa kuchomwa sindano.Hopelless sana.😝😝😝😝😝
Labda akaishauri misukule yake, mimi niko salama na wajibika kwa afya yangu, ndio maana mpaka sasa niko fit, msukule wa Mbowe jitambue
 
Labda akaishauri misukule yake, mimi niko salama na wajibika kwa afya yangu, ndio maana mpaka sasa niko fit, msukule wa Mbowe jitambue
Uko fit wapi weye?Unaogopa kuchomwa sindano ya kinga kama binti?😝😝😝😝
 
Haujachoma.Umechomwa.Chawa weye!😝😝😝😝
Sindano nimechoma kibao , hoja hapa afya ya mtu ni jukumu lake, chanjo za lazima apeleka kwa misukule yake, aliowaambia Lowassa fisadi halafu akawabadilishia Gia angani wakamkubalia tena kuwa Lowassa sio fisadi
 
Back
Top Bottom