ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kweli kumpenda mtu muda mwengine Ata madhaifu yako huwezi kuyaonaSana.Ila vidampa wa CCM wagumu kuelewa hata uwamilikishe Chato yote.πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kumpenda mtu muda mwengine Ata madhaifu yako huwezi kuyaonaSana.Ila vidampa wa CCM wagumu kuelewa hata uwamilikishe Chato yote.πππππ
Hivi ingetokea Magufuli angewaambia ninyi chawa wake msile chakula ili muende mbinguni mngemkubalia?Chawa!ππππππWewe ni msukule wa Mbowe au ni mfuasi/mwanachama wa chadema chadema?
Chawa wa Magufuli.Upoupo tu hautaki chanjo.Mtakufa kibudu ninyi.πππππKweli kumpenda mtu muda mwengine Ata madhaifu yako huwezi kuyaona
Afya ya mtu ni jukumu lake mwenyewe, Ata huyo alietengeneza chanjo nae atakufa, Zama hizi hakuna anaetishiwa kufaChawa wa Magufuli.Upoupo tu hautaki chanjo.Mtakufa kibudu ninyi.πππππ
Hauwezi ukakataa chanjo halafu uhatarishe maisha ya waungwana.Kwani weye unaogopa nini?Unaogopa kuchomwa sindano?ππππAfya ya mtu ni jukumu lake mwenyewe, Ata huyo alietengeneza chanjo nae atakufa, Zama hizi hakuna anaetishiwa kufa
Mmekosa hoja ya kumtetea Mbowe na vichekesho vyake unaanza kupiga ramliHivi ingetokea Magufuli angewaambia ninyi chawa wake msile chakula ili muende mbinguni mngemkubalia?Chawa!ππππππ
Mtu anayekupa mbinu ya kupambana na ugonjwa utamlaumu?Au ulitaka akusisitize kupiga nyungu? Magufuli aliwaweza sana.Wapiga nyungu.ππππππMmekosa hoja ya kumtetea Mbowe na vichekesho vyake unaanza kupiga ramli
Afya ya mtu ni jukumu lake, Mbowe ameongea ugoro mkubwa, ndio maana ata alipompokea Lowassa mlishangilia maana hamna uwezo wa kumbishiaHauwezi ukakataa chanjo halafu uhatarishe maisha ya waungwana.Kwani weye unaogopa nini?Unaogopa kuchomwa sindano?ππππ
Hao wasio piga nyungu wametuzidi nini? mbona sisi tu naishi saaafi tuu, shida mmekuwa misukule na hili limeanzia mbali toka wakati ule wa LowassaMtu anayekupa mbinu ya kupambana na ugonjwa utamlaumu?Au ulitaka akusisitize kupiga nyungu? Magufuli aliwaweza sana.Wapiga nyungu.ππππππ
Alivyokushauri upate chanjo ndiyo umenuna? Baba zima unaogopa kuchomwa sindano. Hopeless sana.πππππAfya ya mtu ni jukumu lake, Mbowe ameongea ugoro mkubwa, ndio maana ata alipompokea Lowassa mlishangilia maana hamna uwezo wa kumbishia
Hivi kupiga nyungu siyo sawa na uchawi tu? Binadamu umepewa akili ili ukabiliane na mazingira.Siyo kubahatisha.Pata chanjo acha woga weye!πππππHao wasio piga nyungu wametuzidi nini? mbona sisi tu naishi saaafi tuu, shida mmekuwa misukule na hili limeanzia mbali toka wakati ule wa Lowassa
Labda akaishauri misukule yake, mimi niko salama na wajibika kwa afya yangu, ndio maana mpaka sasa niko fit, msukule wa Mbowe jitambueAlivyokushauri upate chanjo ndiyo umenuna?Baba zima unaogopa kuchomwa sindano.Hopelless sana.πππππ
Hapa kuongea na kuandika ni kitu kimoja. Acha upuuzi.Hapa hatuongei.Tunaandika.Acha upuuzi.
Uko fit wapi weye?Unaogopa kuchomwa sindano ya kinga kama binti?ππππLabda akaishauri misukule yake, mimi niko salama na wajibika kwa afya yangu, ndio maana mpaka sasa niko fit, msukule wa Mbowe jitambue
Kuna uwezekano mkubwa unaumwa homa weye.Tofauti ya kuandika na kuongea hauijui wala kuona? You're the walking dead!ππππHapa kuongea na kuandika ni kitu kimoja. Acha upuuzi.
Mpaka umri huu nimeshachoma sindano nyingi, jikite kwenye hoja acha utoto, ndio maana kwa akili hizo Mbowe anamigeuza akili tuUko fit wapi weye?Unaogopa kuchomwa sindano ya kinga kama binti?ππππ
Haujachoma.Umechomwa.Chawa weye!ππππMpaka umri huu nimeshachoma sindano nyingi, jikite kwenye hoja acha utoto, ndio maana kwa akili hizo Mbowe anamigeuza akili tu
Hakuna tofauti hapa mtandaoni; hujui hilo?Kuna uwezekano mkubwa unaumwa homa weye.Tofauti ya kuandika na kuongea hauijui wala kuona? You're the walking dead!ππππ
Huu upuuzi ndiyo umeandika weye!?Hakuna tofauti hapa mtandaoni; hujui hilo?
Sindano nimechoma kibao , hoja hapa afya ya mtu ni jukumu lake, chanjo za lazima apeleka kwa misukule yake, aliowaambia Lowassa fisadi halafu akawabadilishia Gia angani wakamkubalia tena kuwa Lowassa sio fisadiHaujachoma.Umechomwa.Chawa weye!ππππ