Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Andika kwa kufuata kanuni.Halafu huyo Lowassa siku hizi yupo chama gani?Sindano nimechoma kibao , hoja hapa afya ya mtu ni jukumu lake, chanjo za lazima apeleka kwa misukule yake, aliowaambia Lowassa fisadi halafu akawabadilishia Gia angani wakamkubalia tena kuwa Lowassa sio fisadi
Ndivyo ulivyojifunza kuandika hivyo?Mbowe ni jinga lililopitiliza mwendazake kaka yake kaondoka kwa ugonjwa huo mbona hakumshauri mapema akaenda kudungwa dubai kama alivyofanya yeye! Au hajasikia uingereza huko euro imeisha covid19 haoni huo mchezo huko unaofanywa licha ya huo mchezo jana tu aliyepata chanjo kakutwa na maambukizi huko uingereza hivi hizo chanjo zinesaidia mataifa gani?maana kila siku utasikia covid mara marekan mara brazil mara uganda
Miaka 10, mnasema Lowassa fisadi na ushahidi mnao, Mbowe alipo badilika tuu na misukule ikabadilika, Lowassa akawa sio fisadi, misukule ya Mbowe tunaijuaAndika kwa kufuata kanuni.Halafu huyo Lowassa siku hizi yupo chama gani?
Halafu baadaye akarudi wapi na weye ukachanua miguu kwa furaha kama unacheza mdundiko?Miaka 10, mnasema Lowassa fisadi na ushahidi mnao, Mbowe alipo badilika tuu na misukule ikabadilika, Lowassa akawa sio fisadi, misukule ya Mbowe tunaijua
Ukiwa jukwaani unazungumza au unaandika?Huu upuuzi ndiyo umeandika weye!?
Ila weye jamaa hauna tofauti na ushuzi wa ngomani kwa maswali yako ya kipuuzi.Bubu akiwa jukwaani ndiyo ataweza kuongea?Jiongeze weye chawa wa Magufuli.Ukiwa jukwaani unazungumza au unaandika?
Mimi hapa naongea na wewe bubu endelea kuandika huo ushuzi wako, tunaelewana?Ila weye jamaa hauna tofauti na ushuzi wa ngomani kwa maswali yako ya kipuuzi.Bubu akiwa jukwaani ndiyo ataweza kuongea?Jiongeze weye chawa wa Magufuli.
Wewe unamuamini sana huyo Shangazi yako? Hana lolote, ni mtu mwenye stress nyingi za maishaHata shangazi naye kamshangaaa!!
Mbowe nilimuweka kati ya watu wenye akili kubwa lakini sasa anaonesha anahitaji kupumzika kupisha vijana kwenye ile nafasi chamani.
Au washauri wanampotosha makusudi?
Aliyemshauri anafanya mapinduzi ya uongozi kisayansi?
Ni tatizo la mfumo wa ufundishaji ama ni umbulula wa wana JF wengi!?Kweli kumpenda mtu muda mwengine Ata madhaifu yako huwezi kuyaona
Ushahidi kuwa Lowassa fisadi mliuchoma moto? aibu tupu ndio shida ya kuwa msukule hii, yaani mtu Ata week ajamaliza tayari kawa Mgombea wa UraisHalafu baadaye akarudi wapi na weye ukachanua miguu kwa furaha kama unacheza mdundiko?
Kiswahili hakina kabila kijana, kwa vile wewe ni muhanga wa R na L unataka kujificha kwenye kichaka, hakuna alie salama kila mmoja ajifunze kurekebisha anapotelezaNi tatizo la mfumo wa ufundishaji ama ni umbulula wa wana JF wengi!?
Hakuna neno "ata",kuna "hata".
Hakuna neno "akuna", kuna "hakuna".
Hakuna neno "apana", kuna "hapana".
Tatizo la "r" na "l" linajulikana kwa baadhi ya makabila.
Hili tatizo la "h" na "a" limeanzajee!!???
Umeelewa nilichoandika au umekurupuka kujibu!?Kiswahili hakina kabila kijana, kwa vile wewe ni muhanga wa R na L unataka kujificha kwenye kichaka, hakuna alie salama kila mmoja ajifunze kurekebisha anapoteleza
Kwa hiyo ccm mmepata ahueni baada ya sakata la tozo kuwakaba kooNajua Naweza kushambuliwa na ambao wanahisi matusi kwamba ndio hoja. Badala ya kutumia ukosoaji Kama SoMo lakini.Naomba kuwauliza.
Hivi Mheshimiwa Mbowe, Hana washauri.Na hii ni kupitia kauli yake ya kushauri Serikali kutoa chanjo kwa Lazima badala ya msimamo wa Serikali kwamba chanjo Ni hiari.
Watanzania hawataki kusikia habari za chanjo.Na hata hii ya Serikali kufanya Ni hiari bado wanaitupia lawama na kuishambulia.Iwe hii ya kufanya chanjo Ni Lazima!!!.
Nimeona mtandaoni reaction ya watu kupitia kauli yake. Itoshe tu kusema kwamba wengi amewaangusha.
Na si Mara ya kwanza.Hata awamu iliyopita pia alikua na msimamo ambao Naamini ulikua Ni wa chama kwamba Kuwepo na Lockdowm nchi nzima.Kitu ambacho ilikua pia Ni tofauti kwa wananchi wengi.
Kupitia haya machache ndio msingi wa Tittle yangu kwamba zile hoja ya kwamba Pengine Ni yupo hapo kwa maslahi ya watawala amaa??
Umekuja na majibu yako mfukoni?Umeelewa nilichoandika au umekurupuka kujibu!?
Ni kawaida ya misukule ukweli kwao ni sumu, Mbowe ndio chadema na chadema ndio Mbowe, neno lake ndio Sheria hakuna wa kumpingaDogo una hasira, mbowe siye anayekusababishia maisha magumu
Unaumia Sana? Na uwepo wa chadema? Lakini Chadema haitawali nchiNi kawaida ya misukule ukweli kwao ni sumu, Mbowe ndio chadema na chadema ndio Mbowe, neno lake ndio Sheria hakuna wa kumpinga