Mkuu Resilience , nimelipenda hilo swali, maswali kama hayo nami niliwahi kuyaulizaJe, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA?
Mkuu Resilience , nimelipenda hilo swali, maswali kama hayo nami niliwahi kuyauliza
Na juzi kati TL alivyoanza sarakakasi niliwauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?Ujio wa Wema Sepetu CHADEMA: Is She an Asset or a Liability? Mmeishaumwa na Nyoka, Hamjifunzi tu?!
Wanabodi, Declaration of interest: 1.Mimi Paskali sio mwanachama wa Chadema ila ni kada wa chama cha siasa. 2.Mimi ni binadamu na mtu kutokea Kanda ya Ziwa, ambao wengi wetu tuna madhaifu na type fulani ya watu, hivyo naomba kukiri kuwa Wema ninampenda na kumkubali sana hata wife wangu hilo...www.jamiiforums.com
Tatizo kubwa la Chadema, hawana think tanks wa kufanya uchunguzi wa assets na liabilities kwasababu hata nanilii mwenyewe is a liability!. Siku nyingi tumewaeleza Chadema CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind?
P
Dr Mihogo Baba yakoMpimzisheni kwa muda Dr Mihogo,anashambuliwa sana
Proper name ni Mwabukusi au Mwambukusi?Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.
Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.
Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
liability chadema ni tundu lisu, wampumzishe hata hayuko sawa kichwani …
Mawazo haya wanayo CCM, bi tozo na kina Tulia huko. Vipi ni wenzako?
"tundu lisu is a trojan horse" mkuu unamaanisha nini katika uwanda wa siasa?tundu lisu, bi tozo, tulia & co. wote timu moja, tundu lisu is a trojan horse …
tundu lisu, bi tozo, tulia & co. wote timu moja, tundu lisu is a trojan horse …
Wakati huo KATIBA mpya itakua tayari au sio!!?By 2026...ukweli kumhusu Mwambukusi utakuwa so open..
AUNGAME SALA YA TOBA AJIGALAGAZE MAZABAUNI ARDHI KATIKA UTUMISHI WA KANISA.Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.
Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.
Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Hakuna Rais atakaekubali katiba mpya kwenye term yake ya kwanzaWakati huo KATIBA mpya itakua tayari au sio!!?
TECKuna wakati maadui hulazimika kuingana dhidi ya adui yao mkubwa
Tujuavyo wazalendo TAL, Mwabukusi, Mdude, Slaa na wa namna hiyo wana halisi nchi hii wanaipigania nchi Kwa vitendo na huo ni mwiba mkubwa kwenu. Mengine ambia chawa chawa ..