Tetesi: Mbowe na Dkt. Slaa wafanya kikao cha siri jijini Dar es salaam

Tetesi: Mbowe na Dkt. Slaa wafanya kikao cha siri jijini Dar es salaam

chadema wametoe tundu lisu wampumzishe then kila kitu kitakuwa sawa hata watarudisha imani kwa wananchi
Kwann lilitunzwa mfuko rasmi na lisingezimwa bafuni kwamaji vuguvugu na sabuni ya jamaa au rungu

Na usingeiona jamii Forum ukajiunga na ukaandika utopolo huo
 
Mimi naona Mwambukisi apewe nafasi ya Juu hapo Chadema then Mbowe na slaa waendelee kuwa washauri

Napenda kuona ingizo jipya katika siasa zetu za maziwa makuu .
Hahahahaha 😆 Mwabukusi ana hasira sana
 
Back
Top Bottom