mbona hawaongelei umeme? ulishawahi kujiuliza hilo swali? kwa nini hawataki kumuangusha raisi samia? kwa nini wanamlinda ?
Ya kuongelea ni mengi. Wao wameanza na ya msingi katiba mpya na bandari. Wewe unaongelewa lipi? Au Ubunge na ruzuku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hawaongelei umeme? ulishawahi kujiuliza hilo swali? kwa nini hawataki kumuangusha raisi samia? kwa nini wanamlinda ?
Ya kuongelea ni mengi. Wao wameanza na ya msingi katiba mpya na bandari. Wewe unaongelewa lipi? Au Ubunge na ruzuku?
ChulaTaarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.
Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.
Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Hao Wanywa kahawa wala hakuna haja ya kuwajibu wamelogwa hao.
Nimekuelewa .. pamoja sana mkuu ..
Ndoto za Ally Nacha hizi. Kama ni kikao cha SIRI wewe hz siriumezinasa wapi? Acha kujitekenya na kucheka mwenyewe kiongozi.Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.
Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.
Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
View attachment 2773373
Imagine kumkomboa kifikra mtu wa dizaini hii "coastal dwellers" ni kazi ngumu inayohitaji devine spark.
Na wengine tuko nao humu JF wanajiita CCM hardcore wakati wanashindia mlo mmoja na kahawa.
Akimaliza kucheza Bao ananza kubishana SIMBA na YANGA.
Bila Slaa Chadema, kinabaki Cha Walutheri. Waislam wana ACT Wazalendo. Wakatoliki hawana pa kushika, kura za Wakatoliki wengi zitategemea msimamo wa TECTaarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.
Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.
Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.
Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.
Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Nafikiri Dr Slaa aunde chama kipya na kina mwabukusi. Mbowe sio wa kuaminika na msimamo wake ni kupata maslahi tu. Dr Slaa ni calibre ya viongozi wenye msimamo kutetea maslahi ya umma na sio maslahi binafsi.Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.
Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.
Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
siyo saizi yangu kivipi na wapi? kwani unanijua mimi ? isitoshe inaonekana kuna mengi sana hawayafahamu khs siasa za tanzania, kwa kukusaidia tu kidogo tundu lisu na samia ni wamoja na wametoka mbali hivyo tundu lisu hawezi kumuangusha samia hata siku moja …
Yaani Elimu mliyoipata kutoka kwa Mzee EL haikuwasaidia?Mimi naona Mwambukisi apewe nafasi ya Juu hapo Chadema then Mbowe na slaa waendelee kuwa washauri
Napenda kuona ingizo jipya katika siasa zetu za maziwa makuu .
..unasema Lissu na Samia wametoka mbali. Na kwamba Lissu hawezi kumuangusha Samia.
..Kama unayosema ni kweli basi ina maana Samia naye hawezi kumuangusha Lissu.
..Mimi nadhani kwenye kutetea vyama vyao hakutakuwa na kuuana au kuhurumiana baina ya hao wawili.
Unamjua mtoa mada?Mkutano wa siri ila wewe una habari zaote za kikao hicho cha siri?