Tetesi: Mbowe na Dkt. Slaa wafanya kikao cha siri jijini Dar es salaam

Tetesi: Mbowe na Dkt. Slaa wafanya kikao cha siri jijini Dar es salaam

mbona hawaongelei umeme? ulishawahi kujiuliza hilo swali? kwa nini hawataki kumuangusha raisi samia? kwa nini wanamlinda ?

Ya kuongelea ni mengi. Wao wameanza na ya msingi katiba mpya na bandari. Wewe unaongelewa lipi? Au Ubunge na ruzuku?
 
Ya kuongelea ni mengi. Wao wameanza na ya msingi katiba mpya na bandari. Wewe unaongelewa lipi? Au Ubunge na ruzuku?

nani kaongelea bandari? tundu lisu? au unaongelea ile kiki yake ya kutaka asikilizwe? haya ya Wamsai yameishia wapi ?
 
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.

Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.

Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Chula
 
Nimekuelewa .. pamoja sana mkuu ..
Bao_players_in_stone_town_zanzibar.jpg

Imagine kumkomboa kifikra mtu wa dizaini hii "coastal dwellers" ni kazi ngumu inayohitaji devine spark.

Na wengine tuko nao humu JF wanajiita CCM hardcore wakati wanashindia mlo mmoja na kahawa.

Akimaliza kucheza Bao ananza kubishana SIMBA na YANGA.
 
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.

Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.

Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Ndoto za Ally Nacha hizi. Kama ni kikao cha SIRI wewe hz siriumezinasa wapi? Acha kujitekenya na kucheka mwenyewe kiongozi.
 
View attachment 2773373
Imagine kumkomboa kifikra mtu wa dizaini hii "coastal dwellers" ni kazi ngumu inayohitaji devine spark.

Na wengine tuko nao humu JF wanajiita CCM hardcore wakati wanashindia mlo mmoja na kahawa.

Akimaliza kucheza Bao ananza kubishana SIMBA na YANGA.

Ukombozi hauhitaji watu wote:

IMG_20220927_190940_421.jpg


Sisi hata 10 hamna? Tuacheni visingizio.
 
TAL siyo size yako ndugu .. huyo ni level nyingine hata nduguyo bi tozo analijua hilo. imhotep, JokaKuu pamoja ni kimuhemuhe chao wakwambie zaidi ukipenda.

siyo saizi yangu kivipi na wapi? kwani unanijua mimi ? isitoshe inaonekana kuna mengi sana hawayafahamu khs siasa za tanzania, kwa kukusaidia tu kidogo tundu lisu na samia ni wamoja na wametoka mbali hivyo tundu lisu hawezi kumuangusha samia hata siku moja …
 
Kama kikao Cha Siri wewe umejuaje! Au na wewe ulikuwepo, sio?
 
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.

Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.

Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Bila Slaa Chadema, kinabaki Cha Walutheri. Waislam wana ACT Wazalendo. Wakatoliki hawana pa kushika, kura za Wakatoliki wengi zitategemea msimamo wa TEC
 
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.

Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.

Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?


Mpigie umuulize Kama yeye ni asset au la!
 
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.

Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.

Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Nafikiri Dr Slaa aunde chama kipya na kina mwabukusi. Mbowe sio wa kuaminika na msimamo wake ni kupata maslahi tu. Dr Slaa ni calibre ya viongozi wenye msimamo kutetea maslahi ya umma na sio maslahi binafsi.
 
siyo saizi yangu kivipi na wapi? kwani unanijua mimi ? isitoshe inaonekana kuna mengi sana hawayafahamu khs siasa za tanzania, kwa kukusaidia tu kidogo tundu lisu na samia ni wamoja na wametoka mbali hivyo tundu lisu hawezi kumuangusha samia hata siku moja …

..unasema Lissu na Samia wametoka mbali. Na kwamba Lissu hawezi kumuangusha Samia.

..Kama unayosema ni kweli basi ina maana Samia naye hawezi kumuangusha Lissu.

..Mimi nadhani kwenye kutetea vyama vyao hakutakuwa na kuuana au kuhurumiana baina ya hao wawili.
 
Mimi naona Mwambukisi apewe nafasi ya Juu hapo Chadema then Mbowe na slaa waendelee kuwa washauri

Napenda kuona ingizo jipya katika siasa zetu za maziwa makuu .
Yaani Elimu mliyoipata kutoka kwa Mzee EL haikuwasaidia?

Utulivu...
Sera...!


Mwabukusi angejiunga na Ile NGO ya Kina KIJO Bisimba au mama Nkya!
 
..unasema Lissu na Samia wametoka mbali. Na kwamba Lissu hawezi kumuangusha Samia.

..Kama unayosema ni kweli basi ina maana Samia naye hawezi kumuangusha Lissu.

..Mimi nadhani kwenye kutetea vyama vyao hakutakuwa na kuuana au kuhurumiana baina ya hao wawili.

wote wamoja …
 
Dr Slaa kisiasa ni mkubwa kuliko CHADEMA nzima. Mbowe lazima ampigie magoti Dr Slaa. Namshauri Mbowe amwongeze hawara wa Dr Slaa kwenye harakati zao.
 
Back
Top Bottom