Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
John Joseph Magufuli (PhD)Mlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.
Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.
Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/hView attachment 2361027
Why halikujengwaDaraja lilikuwa kwenye plan tangu wewe hujaja mjini
Nonsensical reply. Sasa mbona hamkutekeleza mpaka JPM alipotekelezaDaraja lilikuwa kwenye plan tangu wewe hujaja mjini
Are you insane?Sio kupita kwenye daraja la wami tu. DIKTETA MAGUFULI hata kama angekuwa anatulipa mshahara bila kufanya KAZI Bado tungemchukia na mkulaani Kila hatua. Operation zake zilijaa UKATILI mkubwa Tena wa kutisha.
Magufuli alijenga kwa hela ya mama yake? Kama kwao binafsi wangekua na uwezo kiasi cha kuwajengea watu madaraja wasingeshindia furu hebu wacheni upumbavu wenu.Mlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.
Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.
Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/hView attachment 2361027
Tena mama ndio kaupiga mwingi zaidi kwenye ujenzi....Daraja lilikuwa kwenye plan tangu wewe hujaja mjini
Kodi zenu alisimamia vyema ili zifanye kazi.Kama huyo mwendakuzimu alitoa hela yake ya mshahara kujenga daraja sawa ila kama ni kodi zetu wacha tukanyage kibati.
Kwakuwq wewe uliijua tz kipindi cha yule punguani JPM ndo mama unaweeesekaNonsensical reply. Sasa mbona hamkutekeleza mpaka JPM alipotekeleza
Zaidi ya mwaka mwendazake kashaondoka, alikuwa anasimamia kodi zetu akiwa kaburini?Kodi zenu alisimamia vyema ili zifanye kazi.
Alijenga kwa hela ya mama yako anayolipa kodi. Alisimamia matumizi mazuri ya kodi zetu zikajenga daraja.Magufuli alijenga kwa hela ya mama yake? Kama kwao binafsi wangekua na uwezo kiasi cha kuwajengea watu madaraja wasingeshindia furu hebu wacheni upumbavu wenu.
Matumizi mazuri ndo uwanja wa ndege chato mnaanikia dagaa?Alijenga kwa hela ya mama yako anayolipa kodi. Alisimamia matumizi mazuri ya kodi zetu zikajenga daraja.
Mama atashuka atashukia Chato akielekea Kigoma soonMatumizi mazuri ndo uwanja wa ndege chato mnaanikia dagaa?
Ni jukumu la serikali kutoa huduma Kwa wananchi walipa Kodi, we dogo Kodi anayolioa Mbowe pengine hata 1/9 huifikii, majukumu ya serikali lawama ziwe Kwa Mbowe kijana wa hovyo kabisa wewe, inawezekana unatatizo la akiliMlipayuka hovyo na kudai kuwa hayati JPM alipenda megastructure ambazo hazina msaada wowote.
Mlisahau kuwa dadaja la wami la sasa ni dogo na kiusalama lilikuwa halifai.
Leo mtaenda kula X mass huko kaskazini huku mkipita juu ya hilo daraja jipya mmekanyaga kibati 130km/hView attachment 2361027