Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ulemavu wa ajali ni tofauti unaopatikana kwa kukaidi mamlaka....Watu Kibao wana ulemavu kutokana na ajali za vyombo vya usafiri, na bado wanatumia vyombo hivyo hivyo kusafiria. Ni hivi, katiba mpya ni lazima fullstop.
Ageuke tu NYOKA....Kama mafunzo hawayataki basi sisi tutayachukua kuwakanya ndugu zetu na vitoto vyetu pale vitakapokua in shaa Allah!Very soon mjusi atageuka nyoka..ndo watashika adabu
Lini Mbowe aliwatanguliza WATOTO WAKE katika MAANDAMANO ?!!!
Watoto wake si WATANZANIA?!!!
Wazee wa watoto wa wenzake hawana uchungu na watoto wao?!!!
Uchungu huo anao yeye tu ?!!!
Huyo jamaa hovyo sana.....
Wacha tu TUSILAMBE VYEO.....MATAGA mnajisahau sana hata kwenye mambo ya msingi. Ndio maana wanaotoka upinzani wanalamba vyeo huku mkiachwa solemba kama misukule. Jirekebisheni. Sisi tunajua ni dona kantri, huo uchumi mnaojenga ni upi?
Mnamuogopa sana sabaya kuanzia mwenyekiti mlevi hadi nyie vimada wake. Mkisikia jina sabaya tu mnaanza kuloaWe sidhani kama nikikuita Fala na Msenge naweza kupata dhambi.. Yaani Shetani kama yule aliyekawekwa madarakani na shetani mwenzie arudi tena kwenye ofisi ya umma.. Tena hata fala na Msenge ni tusi ndogo we unastahili kuitwa Ku*a
Nyerere hakuenda kuudai uhuru kwa "mitutu"......Nani huwa anaenda ofisini na watoto wake? Kwani watoto wa Mbowe lazima wafuate mitazamo ya Mbowe? Ww baba yako akiwa seremala ni lazima na wa seremala?
Hao viongozi wanaoagiza wanajeshi waende kwenye sehemu zenye vita, kwanini hawawatumi watoto wao? Hivi unaongea utoto gani dogo? Nyerere alivyokuwa anaenda kudai uhuru huko UNO, alikuwa anamtanguliza Makongoro?
Kesho visting zamu ya nani kwenda kumuonaSasa hivi itakuwa hao chama cha kikanda
Akipata cheo atahamasisha maendeleo, Ndesamburo alipohamasisha maendeleo mlimpatia hiyo katiba mpya? Kwa sasa Mbowe anadai katiba mpya kwanza, hutaki jinyonge.mabadiliko yatafanyika mwaka 2040 sio leo wala kesho, tuwe wavumilivu, tuchape kazi tuache kuwaza vyeo.
wanasiasa wanao dai mpya katiba wao wanacho waza ni madaraka na vyeo tu sio shida za wananchi.
sijawahi kumuona Mbowe anatatua shida za wananchi au anahamasisha maendeleo ya wananchi kama alivyo kuwa marehemu Ndesamburo, sana sana anahamasisha maandamano tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujitambuai, mtumwa wa kale weweSijui huyu jamaa yupoje
Yeye ni kiki na kiki na yeye
Mama amewajibu kistaarabu kwamba mumpe muda tena amewaomba lakini kiburi kinakupanda
Sasa kama sio kichaa kwanini hamkutaka katiba wakati wa Magufuli?mbona hamkutoa pua zenu nje even kudai kuandamana
Ni kwasababu ni Samia si ndio?Huyu mama kaonyesha njia ya na amerudisha uhuru na haki tulioukosa kwa miaka 6
Muacheni ajenge uchumi kwanza nyie mnamvuruga kwa kutumiwa na watu wa nje
Kwanini mnapanda mama kichwani?kwanini hamkufanya hivyo wakati wa magufuli...mama kaamua kuwa mwema kwetu sisi na tunataka awe hivi hivi halafu kina mbowe mnataka mama abadilike
Dola haichezewi na hata mbowe unalijua hilo, katiba tumpe mama muda kwanza, mwenyewe katiba ya chama imekushinda umetawala chama kwa miaka 20 halafu hatusemi, mpe mama nafasi ashasema tumpe muda
Tunatakiwa tushukuru tuna rais anayesikiliza maoni na anayekosolewa akakubali lakini bado hamulioni hilo mnatakaje?
,Kwanini mnakubali kutumika kwa manufaa ya wazungu?
Mbowe tuli na utulizane maana vuguvugu umelitaka watanzania sisi tunataka maendeo kwanza katiba baadae
Hakuna mjinga atakayeandamana kwa sababu ya mbowe na genge lake mbowe ni mbinafsi na anatumika na wazungu kulivuruga taifa nani amsikilize mtu km yule?
Niandamane kwa sababu ya kina mbowe khaaaaa[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]labda km nitakua mgonjwa
Umewapa za uso hawa CHADEMA. Mbowe hana mikakati yenye kuendana na wakati husika, hajabadilika.
Corona inaisumbua serikali, uchumi wa dunia nzima umedorora, watu wamepunguzwa makazini halafu Mbowe anakuja na siasa zisizo na kichwa wala miguu.
Mamlaka ya majizi ya kura?Ulemavu wa ajali ni tofauti unaopatikana kwa kukaidi mamlaka....
Ngojea aende mtoto wa Mbowe na akipata hiyo ajali ya kisiasa utakuja kutusimulia hapa......
Vyovyote iwavyo mkuu Tindo.....Mamlaka ya majizi ya kura?
Wewe unajielewa kweli..? Jitu jambazi kama yule wann kwenye serikali yetu hii.. Yule alikuwa anafiti kipindi hicho wakati dikteta na mwizi mwenzio yupo haiMnamuogopa sana sabaya kuanzia mwenyekiti mlevi hadi nyie vimada wake. Mkisikia jina sabaya tu mnaanza kuloa
Nyerere hakuenda kuudai uhuru kwa "mitutu"......
Hapa tunazungumzia mifano iliyowakumbuka vijana wa CUF na yule binti pale Temeke.....
Sasa Mbowe anapata wapi ujasiri wa kuwaambia VIJANA wengine WAANDAMANE huko mikutanoni ?!!!
Mwalimu mzuri huanzia nyumbani....yeye hana watoto?!!
Mbona watoto wake hatujawaona wakaguswa kuandamana na VIJANA WENZAO ?!!!
Kwani maslahi ya hiyo KATIBA MPYA kipekee yanawahusu akina Selemani wa Mwakanga ?!!!
Hayo hayakutokea kwa hayati SEIF SHARRIF HAMAD wala hayatotokea kwa MBOWE.....
Mbowe alipata kusema "Sumu haionjwi".....nashangaa anataka ionjwe na VIJANA WASIO NA AJIRA HUMU MITAANI......
#KaziIendelee
Watoto wa Mbowe ni wanachama wa ccm, atawatangulizaje wakati ccm hawataki katiba mpya?Vyovyote iwavyo mkuu Tindo.....
Mwambie Mbowe AWATANGULIZE WANAE nanyi akina Bob Ubuze mtafuatia...