Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Unajipapatua tu mkuu Tindo....Watoto wa Mbowe ni wanachama wa ccm, atawatangulizaje wakati ccm hawataki katiba mpya?
Miguu ya vijana wa SA ilivunjwa wakiudai UHURU WA NCHI YAO....Uhuru wa kuishi....Uhuru wa KUTEMBEA BAADHI YA MAENEO....unafananisha visivyofanana....kwa hiyo huyu MBOWE huyu.......huyuhuyu MBOWE anapambania UHURU WA NCHI HII uliokwishapatikana TISA DISEMBA ?!!! 🤣🤣🤣Nionyeshe mtoto wa Mandela aliyeuwawa na wazungu wa Afrika akidai usawa. Huko Afrika Kusini kuna walemavu kibao wa siasa zile za kikatili za makaburu, je siasa za kibaguzi zilipoisha na Mandela kukaa madarakani, watu wote walifaidika na madaraka yake binafsi?
SAWA HATA UKIACHA MBOWE KWENDA NA WATOTO WAKE AJE MWENYEWE MBOWE AANDAMANE NA WAJINGA WENZIE UNAKUMBUKA LISSU ALISEMA WATU WAINGIE BARABARANI NA YEYE ATAKUWEPO HALAFU AKAWAKIMBIA? UZURI KWAMBA HAKUNA HATA MTU ALIYEMSIKILIZA KWENDA KUANDAMANA NI UJINGA USIO NA KIFANI HELA YA KULA HUNA UNATAFUTA TATIZO LAKUKUFANYA USHINDWE HATA KUTOKA KWENDA KUTAFUTA? AIBU KWENU TUNAWACHORA TU MTAKAVYOPIGWA VIRUNGU NA WAWAVUNJE HADI VIUNGO VYA UZAZINani huwa anaenda ofisini na watoto wake? Kwani watoto wa Mbowe lazima wafuate mitazamo ya Mbowe? Ww baba yako akiwa seremala ni lazima na wa seremala?
Hao viongozi wanaoagiza wanajeshi waende kwenye sehemu zenye vita, kwanini hawawatumi watoto wao? Hivi unaongea utoto gani dogo? Nyerere alivyokuwa anaenda kudai uhuru huko UNO, alikuwa anamtanguliza Makongoro?
HAO NDIYO MASHABIKI MAANDAZIMiguu ya vijana wa SA ilivunjwa wakiudai UHURU WA NCHI YAO....Uhuru wa kuishi....Uhuru wa KUTEMBEA BAADHI YA MAENEO....unafananisha visivyofanana....kwa hiyo huyu MBOWE huyu.......huyuhuyu MBOWE anapambania UHURU WA NCHI HII uliokwishapatikana TISA DISEMBA ?!!! 🤣🤣🤣
Rejea ulemavu wa akina BASHIRU ZEMBWE na MWENZAKE Saidi wa Tandale pale walipokuwa wanakipambania CUF....sijui nishani ya kuishi vyema wameifichia wapi !!!
Mkuu Tindo unauficha UHALISIA na kutanguliza HISIA eee?!!!
🤣🤣Na shabiki maandazi akiwa mroho wa kudokoa na "kubwakia" yaliyo motoni katika KARAI huishia KUUBABUA ULIMI NA MDOMO.....HAO NDIYO MASHABIKI MAANDAZI
Mama kashasema anajenga uchumi , sasa yeye Mbowe na misukule yake kama wanaona wao ni zaidi ya mama wafanye huo ujinga wao wa kuendesha mikutano yao tofauti na maelekezo ya mama, halafu utajua dawa ya mtu Mbishi ni nini? Hakuna Rais anaetaka kuchezewa sharubu mwambieni Mbowe athubutu aoneKwamba mtaanza kutumia Polisi, au sio? Acheni uoga wa kishamba, fanyeni siasa acheni kujificha kwenye nguvu ya Polisi, maana naona mwenzako naye anaanzisha uzi akisema amiri Jeshi Mkuu sijui nini....kwann hamuwezi nyie kwenda ukumbini na kujibu hoja kwa hoja mpaka msaidiwe na Jeshi ama Polisi?
Hayo mazoea hatunayo tena kwenye chama, sasa hv chama ni cha hoja sio vitisho na intimidation za kizamani
Muda ukifika hakuna wa kuzuiaSAWA HATA UKIACHA MBOWE KWENDA NA WATOTO WAKE AJE MWENYEWE MBOWE AANDAMANE NA WAJINGA WENZIE UNAKUMBUKA LISSU ALISEMA WATU WAINGIE BARABARANI NA YEYE ATAKUWEPO HALAFU AKAWAKIMBIA? UZURI KWAMBA HAKUNA HATA MTU ALIYEMSIKILIZA KWENDA KUANDAMANA NI UJINGA USIO NA KIFANI HELA YA KULA HUNA UNATAFUTA TATIZO LAKUKUFANYA USHINDWE HATA KUTOKA KWENDA KUTAFUTA? AIBU KWENU TUNAWACHORA TU MTAKAVYOPIGWA VIRUNGU NA WAWAVUNJE HADI VIUNGO VYA UZAZI
Muda gani ?!!Muda ukifika hakuna wa kuzuia
Chadema ya sasa inafanya maamuzi yake kwa kufuata mawazo ya mtu mmoja tu ambae ni mwenyekiti. Lisu yeye ni kubwabwaja tu lkn hakuna mtu anaefata anachosema.Chadema ya Leo imeishiwa agenda
Rather than kutaka maandamano..
SASAHIVI WATANZANIA WANA AKILI SANA SIYO KWAKUSHINIKIZWA KUANDAMANA UJINGA HUO HAUPOMuda gani ?!!
Kama hayo yatafika itakuwa ni sababu ya watanzania wenyewe tu...Wala sio MAANDAMANO ya kuitishwa na "MWENYEKITI WA SACCOS NA GENGE LAKE"....
Huyu jamaa.(1) Huyu jamaa amekuwa mwepesi wa kuandaa maandamano na kuwashawishi vijana waingie barabarani, lakini amekuwa mgumu wa kufika katika maandamano hayo na hawezi kuwashawishi ndugu zake au watoto wake washiriki katika maandamano hayo...
Hakuna JOTO lolote mtakalokoleza.....Yaani mataga jana moja tu chadema kuwa na kikao mnabwabwaja sana ,inaonyeshea jinsi gani mlivyokua dhaifu na waoga, na bado joto la siasa halijakolea
Wathubutu waone tutapiga kama Mbwa, maana lugha nyepesi hawaelewi sasa ni wakati wa kichapoSijui huyu jamaa yupoje
Yeye ni kiki na kiki na yeye
Mama amewajibu kistaarabu kwamba mumpe muda tena amewaomba lakini kiburi kinakupanda...
Mbowe ni muhuni tu anataka aje waangushie jumba bovu wenzie akitoka uwenyekiti.(1) Huyu jamaa amekuwa mwepesi wa kuandaa maandamano na kuwashawishi vijana waingie barabarani, lakini amekuwa mgumu wa kufika katika maandamano hayo na hawezi kuwashawishi ndugu zake au watoto wake washiriki katika maandamano hayo...
Sahihi komredi.....SASAHIVI WATANZANIA WANA AKILI SANA SIYO KWAKUSHINIKIZWA KUANDAMANA UJINGA HUO HAUPO