😁😁 Ni kama Paskali Mayalla alikuwa na id mbili na ile ya Pasco, kuna siku akajichanganya akaacha signature, tokea wakati huo akawa hathubutu tena kutumia ile ya Pasco, maana ilikuwa ni ya kuwaponda serikali na ccm. Muweke wazi huyo mzee muhuni.Wewe mzee wewe! Umerudi tena kwa ile ID yako ya kificho siyo! Hatujakusau na nitaanzisha thread ya kukuumbua siku za karibuni. Ngoja nitafute nilipohifadhi ushahidi, wa ile siku ya Jumapili ulipojichanganya ukatumia ID zote mbili kwenye kujibu member.
Huu msemo unaosema uoga wako ndo umaskini wako una maana sana, nchi za ulaya waliuana sana hadi kufikia ustaarabu walio nao leo. Hata vitabu vya dini vinasema hakuna jitihada unayoweza kufanya ikarefusha uhai wako walau kwa sekunde moja kama siku imefika. Maisha ya binadamu wa sasa ni ubatili mtupu, ni bora kumtumikia Mungu....take it from me!Mkuu wangu kupanga ni KUCHAGUA.........
Nilipokuwa mdogo nilisoma kitabu kimoja ambacho kinasema "mwenye kupenda kuishi 100% maisha ya magazeti ,Redio ,TV ,na wasemaji wa makongamano...." basi HUWA MTUMWA NA HUWEZA kujidhuru mwenyewe KIHISIA AMA HATA KIMWILI....
Mkuu wangu mwanasiasa,ama kiongozi wa DINI na kiimani ambaye ananiambia nitumie NGUVU dhidi ya NGUVU KUU ili nipate NINACHOKILILIA ninamuogopa kama ukoma....huwa NINAMWEPUKA....na wanangu nasubiri WAKUE niwafundishe HIVYO in shaa Allah.....nitawafundisha "kwa lugha ya urafiki na kisela"....siku wakiamua kujiunga na watu Kama hao "gangs" basi YATAKUA NI YAO TU....yakitokea kuvunjwa migongo nitasikitika mno.....mno.....ila nitaishia "KUNYWA KAHAWA NA KULIPUA SIGARA ZANGU moshi teleeeee" nitulize WAHKA.....get my point mkuu wangu......
Mkuu let's agree to disagree......
Sawa tuoneni majuha....Kama hao jamaa wanajua kupiga hivyo, walikuwa wapi mpaka watu wakajiunganishia bomba la mafuta? Mnawasifia polisi kwenye kupiga wapinzani wasio na silaha, huku watu wamepiga 24b+ hapo halmashauri ya jiji Dar, hao polisi wao wamebaki kuzunguka na kombati chakavu na kuishi kwenye nyumba za mabati. Mkiwasifia tunawaona ni majuha tu.
Kwa hiyo TUUANE ili tuwafikie ULAYA ?!!!Huu msemo unaosema uoga wako ndo umaskini wako una maana sana, nchi za ulaya waliuana sana hadi kufikia ustaarabu walio nao leo. Hata vitabu vya dini vinasema hakuna jitihada unayoweza kufanya ikarefusha uhai wako walau kwa sekunde moja kama siku imefika. Maisha ya binadamu wa sasa ni ubatili mtupu, ni bora kumtumikia Mungu....take it from me!
Wewe mzee wewe! Umerudi tena kwa ile ID yako ya kificho siyo! Hatujakusau na nitaanzisha thread ya kukuumbua siku za karibuni. Ngoja nitafute nilipohifadhi ushahidi, wa ile siku ya Jumapili ulipojichanganya ukatumia ID zote mbili kwenye kujibu member.
Watu wanaofaidi keki kama wewe lazima utoe misemo kama hii kuwahadaa wengine......hahaha, ila ndo akili hiyo mkuu.Kwa hiyo TUUANE ili tuwafikie ULAYA ?!!!
Mkuu hivi mtu kutojihusisha na SIASA ZA MAPAMBANO ndio kuwa maskini ?!!!
Maskini Binafsi na ngazi ya femili ?!!!
Tunakula.....
Tunalala vibandani mwetu....
Tunapeleka vitoto vyetu shule za Kata.....
Unataka niwe TAJIRI nikipambana na wenye nguvu....Serikali ?!!!
Pambana MWENYEWE.....
NILIPELEKWA SHULE KUFUNDISHWA NADHARIA NA VITENDO....
ENDELEA TU KUISHI KINADHARIA.....
Binafsi ninamtumikia Mungu kwa kuwatafutia WANANGU DONA NA DAGAA huku nikifanya ibada zangu na kusubiri tu hatima yangu.....
Pambana tu mkuu...
Pambana tu na Serikali....🤣🤣
Sawa tuoneni majuha....
Kwani FFU anahusika na SHUGHULI za UCHUMI....za halali na za haramu kama "hao waliojiunganishia bomba la mafuta"?!!!!
Mkuu Tindo FFU kazi yao iko wazi kabisa.....Wanahusika na kupiga wapinzani wasio na silaha tu?
Wekeni na ninyi mdahalo wa imani yenu ya kutotaka katiba mpya ili raia tuwapime kwa hoja.Mbowe na genge lake ni lazima WAJIFUNZE kwa waliyopitia.
Mh.Rais Samia ni mtu mpole ,mkarimu ,mvumilivu na asiyependa "tug of war"..
Hawa akina MBOWE watamchokoa tu Amiri Jeshi.....na wakifanya hayo mjue sisi tunaoheshimu mamlaka HATOWALILIA.
#KaziIendelee
Hatiahwi ndo keshaambiwa hivyo.Unajua Mbowe, hiyo ni tabia yake kutisha watu alishawahi kuwafukuza Chadema, Kitila Mkumbo, Zitto, Kafulila, kisha walihoji katiba ya Chadema. Leo anamtisha raia eti anataka katiba mpya.
Teh teh teh
Keki ipi mkuu ?!!Watu wanaofaidi keki kama wewe lazima utoe misemo kama hii kuwahadaa wengine......hahaha, ila ndo akili hiyo mkuu.
Sisi HATUITAKI KATIBA MPYA.....Wekeni na ninyi mdahalo wa imani yenu ya kutotaka katiba mpya ili raia tuwapime kwa hoja.
Wenzenu chadema wametoa hoja tayari sasa tunasubiri za vijana wa ccm kwenye hadhara sio mafichoni mwa ID kama mnavyofanya humu.
Basi sawa, wacha tuendelee kuuinua huu uchumi na kupambana na covid-19,21........Keki ipi mkuu ?!!
Mimi Jumbe Brown ninaishi USWAZI...maisha yangu ni "mzobwemzobwe tu"....
Hata ukiniona jinsi nilivyo utashangaa kwanini naitetea Serikali...unaweza hata kunicheka 🤣
Kubwa tu ni kuwa nina uelewa kiasi... wa maisha ya kitaa na HURSTLE ZA WANADARISALAMA....
Mkuu ndio maana VIJANA WENGI wakitoka mikoani na kujiunga na CHUO KIKUU UDSM huwa moto sana na HARAKATI ZA "opposition political parties"....wakishamaliza huwa TOFAUTI.....HUBADILIKA....
Wale ambao HAWABADILIKI basi maisha yao huwa humo SIASANI(ajirani)..mfano makao makuu pale "UFIPA STREET".....
Ama ana uwezo wa kiuchumi na "anaaspire" kugombea nafasi za UONGOZI KAMA UBUNGE huko upinzani......
HUI NDIO UKWELI.....
Hivi unadhani akina komredi Patrobass Katambi si wazalendo kuhamia CCM?!!!
Akina Lijualikali ,Lusinde?!!
Kwa hiyo WALIOBAKI ACT NA CHADEMA ndio pekee vijana WAZALENDO ?!!! 🤣🤣🤣
Masumbuko Lamwai alitiwa njaa na MAVYETI YAKE akasalimu AMRI.....
Masheikh wa UAMSHO wamesalimu AMRI.....
MBOWE alisalimu AMRI kipindi cha AWAMU YA 5....🤣huyo ANAMBEEP TU mh.SSH......
Mkuu wangu....Basi sawa, wacha tuendelee kuuinua huu uchumi na kupambana na covid-19,21........
wewe mtanzania ndo umechagua ivo usitusemeh wengineWanaukumbi,
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyetambua umuhimu wa Katiba Mpya; tunapishana sehemu ndogo sana ‘timing’ na vipaumbele vya kitaifa kwa sasa viwe ni 1. Katiba Mpya au kupambana na 2. Janga la Corona na 3. Kuinua Uchumi na hali za wananchi masikini?
Sisi Watanzania tumechagua muhimu 2 na 3.
Mbowe na wafuasi wako mnachekesha sana hivi mnataka rais wetu afuate mnachotaka nyie kwa maslahi yenu?
Rais akitumia madaraka yake kama katiba unavyomtaka mtaanza tena kulia kuwa Tanzania hamna demokrasia.
Nakushauri Mbowe, zile pesa mlizorudishiwa na mahakama jengeni ofisi kwanza ondokeni Ufipa mlilpopanga vyumba viwili hamna Mtanzania anaweza kuwaamini wewe na kundi lako.
Mbowe anapambana na nani acheni kujipa sifa za kijinga, kashindwa kupambana na yule muhuni Sabaya.Wapumbavu ndio wanafikili kuwa mbowe hiyo itakua Mara yake ya kupambana Na serikali kandamizi.
Muulizeni jk, jpm Na sasa ni suluhu.
Mwendo ni uleule