Pre GE2025 Mbowe na Lissu hawajakutana barabarani, hiyo ni mipango ya chama

Pre GE2025 Mbowe na Lissu hawajakutana barabarani, hiyo ni mipango ya chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Lissu aliwasilisha kwa Katibu Mkuu taarifa rasmi ya kuondoa kusudio la kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti tangu mwezi wa 8 lengo likiwa ni kuja kugombea uenyekiti.

Tarehe 10 Dec 2024 Mbowe na Lissu walifanya mkutano wa pamoja, siku hiyo Mbowe alikuwa na taarifa na chama kilikuwa na taarifa za Lissu kugombea uenyekiti.

mbowe-1.jpg


Leo takribani miezi minne imepita Lissu anatangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti, huo muda ulitosha sana kwa chama kupanga atoke vipi.

Inawezekana kabisa hii ikawa ni mipango ya chama Lissu asigombee Umakamu ili aje kugombea nafasi ya Mwenyekiti.
 
Lissu aliwasilisha kwa Katibu Mkuu taarifa rasmi ya kuondoa kusudio la kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti tangu mwezi wa 8 lengo likiwa ni kuja kugombea uenyekiti.

Tarehe 10 Dec 2024 Mbowe na Lissu walifanya mkutano wa pamoja, siku hiyo Mbowe alikuwa na taarifa na chama kilikuwa na taarifa za Lissu kugombea uenyekiti.

View attachment 3175180

Leo takribani miezi minne imepita Lissu anatangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti, huo muda ulitosha sana kwa chama kupanga atoke vipi.

Hii ni mipango ya chama ilijadiliwa na chama imekamilika, kama hujui kusoma hata picha huoni.
Nilitaka kuandika uzi kama wako
 
Unauthibitishia umma Mwenyekiti hajanuna??
Kelele za ndani na nje ya chama zilizidi sana, kuwa chama hakina demokrasia wakasema isiwe tabu, Mbowe dikteta isiwe tabu, tunamtaka Lissu haya, kelele kwishinei.
 
Kama watakuwa wameongea mapema kuhusu hilo, basi itakuwa ndiyo salama ya chadema.
 
Lissu aliwasilisha kwa Katibu Mkuu taarifa rasmi ya kuondoa kusudio la kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti tangu mwezi wa 8 lengo likiwa ni kuja kugombea uenyekiti.

Tarehe 10 Dec 2024 Mbowe na Lissu walifanya mkutano wa pamoja, siku hiyo Mbowe alikuwa na taarifa na chama kilikuwa na taarifa za Lissu kugombea uenyekiti.

View attachment 3175180

Leo takribani miezi minne imepita Lissu anatangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti, huo muda ulitosha sana kwa chama kupanga atoke vipi.

Hii ni mipango ya chama ilijadiliwa na chama imekamilika, kama hujui kusoma hata picha huoni. Watakuja kujua hawajui karibu kunakucha.
Ndiyo maana juzi Mbowe aliwapiga kijembe wachokonozi wanaosema kuwa kuna mgogoro kati yake na Lissu kuhusiana na uenyekiti,Mbowe alisema watulie kwani mambo yanapikwa ndani kwa ustadi mkubwa akamalizia kwa kicheko sana.
 
mshahara wa mwenyekiti chadema ni around 6m.
lazima watokee wagombea zaid ya 5
Mwenyekiti sio muajiriwa, hana mshahara ila katibu na watendaji wa makao makuu wana mishahara. Mwenyekiti ni "posho"
 
Lissu aliwasilisha kwa Katibu Mkuu taarifa rasmi ya kuondoa kusudio la kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti tangu mwezi wa 8 lengo likiwa ni kuja kugombea uenyekiti.

Tarehe 10 Dec 2024 Mbowe na Lissu walifanya mkutano wa pamoja, siku hiyo Mbowe alikuwa na taarifa na chama kilikuwa na taarifa za Lissu kugombea uenyekiti.

View attachment 3175180

Leo takribani miezi minne imepita Lissu anatangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti, huo muda ulitosha sana kwa chama kupanga atoke vipi.

Hii ni mipango ya chama ilijadiliwa na chama imekamilika, kama hujui kusoma hata picha huoni. Watakuja kujua hawajui karibu kunakucha.
Hii ni mipango ya chama ilijadiliwa na chama imekamilika, kama hujui kusoma hata picha huoni. Watakuja kujua hawajui karibu kunakucha.📌🔨
 
Lissu aliwasilisha kwa Katibu Mkuu taarifa rasmi ya kuondoa kusudio la kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti tangu mwezi wa 8 lengo likiwa ni kuja kugombea uenyekiti.

Tarehe 10 Dec 2024 Mbowe na Lissu walifanya mkutano wa pamoja, siku hiyo Mbowe alikuwa na taarifa na chama kilikuwa na taarifa za Lissu kugombea uenyekiti.

View attachment 3175180

Leo takribani miezi minne imepita Lissu anatangaza kugombea nafasi ya Mwenyekiti, huo muda ulitosha sana kwa chama kupanga atoke vipi.

Hii ni mipango ya chama ilijadiliwa na chama imekamilika, kama hujui kusoma hata picha huoni. Watakuja kujua hawajui karibu kunakucha.
Kitu pekee duniani kinachosemaGA ukweli ni muda. Wacha muda uongee maana hata sisi humu tuliishawahi kusema Lissu atagombea uwenyekiti Chadema wavimba macho wakabisha. Lissu mwenyewe ameishasema hadharani mara nyingi hatagombea uwenyekiti Chadema na kumbukumbu zipo. Lakini muda umesema ukweli na utaendelea kusema ukweli!
 
Back
Top Bottom