Pre GE2025 Mbowe na Lissu hawajakutana barabarani, hiyo ni mipango ya chama

Pre GE2025 Mbowe na Lissu hawajakutana barabarani, hiyo ni mipango ya chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kelele za ndani na nje ya chama zilizidi sana, kuwa chama hakina demokrasia wakasema isiwe tabu, Mbowe dikteta isiwe tabu, tunamtaka Lissu haya, kelele kwishinei.
Kitu ambacho ccm hawakijui ni kuwa bora Mbowe kuliko Lissu. Akishinda Lissu katibu anakuwa Heche... yaani tunarejea kwenye zile siasa za mchamchaka! Mara piiipoooz! Maaandamano na movements for change!
Kwa sasa kumepoa sana hadi watekeji wanapata umaarufu!
 
Lakini tusisahau bila Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
 
Hakuna haja ya drama zote hizo.

Jamaa anautaka uwenyekiti na yupo serious this time mbowe ajiandae kwa upinzani mkali.
 
CHADEMA imethibitisha ukubwa na uimara wake!
 
Hakuna haja ya drama zote hizo.

Jamaa anautaka uwenyekiti na yupo serious this time mbowe ajiandae kwa upinzani mkali.
Hakuna mtu anafanya drama Lissu yupo serious Mbowe yupo serious na chama pia kiko serious.

All in all wote wanajenga chama kimoja.
 
Lissu: Kelele yote hii ni kwamba Makamu Mwenyekiti kasema atagombea wakati Mwenyekiti mwenyewe hajasema. Sina wasiwasi hata kama Mwenyekiti wangu Mbowe akigombea!
 
Back
Top Bottom