pesa mlizotengeneza kwa kukwepa kodi zilipochukuliwa ndio ilikuwa mnaonewa ilabora watu wakose pesa ila wapate peace of mind.
hakuna kuuana, hakuna watu kupotea, watu hawadhulumiwi fedha zao, bomoabomoa za upendeleo hazipo na mengi mengi
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Zaidi wamezidi kunyooshwa😂😂😂 tena raundi hii ni bila ganziHao wote walikuwa na chuki na JPM waulize vipi wamefanya nini tokea afariki! Wanabaki kufarijiana! Wapuuzi sana eti peace of mind huku una njaa!
bora watu wakose pesa ila wapate peace of mind.
Statement ime sum ukimya wao. Huwezi ipqgania jamii isiyojitambua. Acha wanyooshweNadhani kwasasa wameamua kukaa kimya,tujionee wenyewe,maana wakijitoaga kutupigania,wanabezwa.
Wewe hata watoto wako huna uwezo wa kuwapigania. Acha waliojaribu kujitoa kwa ajili ya watu wasifiwe. Mtu anaitisha maandamano kudai haki zenu mnajifungia ndani mlataka afanye nini?Ni mjinga pekee haswa yule alieshikiwa akili na wanasiasa ndio anaweza kuamini kuwa Mbowe na wanasiasa wengine wanapigania masilahi ya watanzania. Ila kwa tunaojitambua tunafahamu fika kuwa hao wanasiasa uchwara uliowataja hapa wote wanapigania matumbo yao na masilahi ya watoto zao. Ndio maana wakishaenda Ikulu kuhakikishiwa kuwa masilahi yao hayatoguswa, hugeuka bubu kuwatetea wengine.
Kabisa yani ndio maana sasa maisha ni rahisi sana!
Mafuta sawa na bure, bidhaa za vyakula sawa na bure,
Dhalimu alituonea sana. Tumefungua nchi. tunaokota hela mtaani.
Anaelalamikia hizo bei ni sukuma gang huyo
Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.
Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.
Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.
Kabisa yani ndio maana sasa maisha ni rahisi sana!
Mafuta sawa na bure, bidhaa za vyakula sawa na bure,
Dhalimu alituonea sana. Tumefungua nchi. tunaokota hela mtaani.
Anaelalamikia hizo bei ni sukuma gang huyo
mkuu acha USENGELEMA
Unazungumzia Mbowe gani? Ila kama huyu wa chini hapo kafanye homework yako tena.Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.
Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.
Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.
Hahahaa.... kasomeni acheni kudandia mavyeti ya kuunga steshenari kwa STEPLA.Nilimtandika yeye hivyo nafurahi kuondoka maana alikuwa anaharibu dunia kwa ufirauni wake.
Weka UshahidiMbowe na yeye anatetea biashara zake na maslahi yake
Tokea lini mwenye kushiba akamkumbuka mwenye njaa
Naunga mkono hoja hata mimi nashauri hivyo watanzania wamekuwa mazuzu,hakuna haja wa kuwatetea wanachi maana hawaonyeshi kujitambua kila mtu abebe msalaba wake,viongozi wa Chadema wamejithidi sana wengine wamepata vilema vya kudumu,wengine wameuwawa,wengine wamefilisiwa kwa ajili ya kutetea lakini hatuonyeshi ushirikiano,nashauri wakale maisha na familia zao kila mtu ajipange kivyake hakuna rangi hatutaona tulishindwa kutumia kura yetu ipasavyoNashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.
Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.
Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.
Unataka utetewe ila ukishiba kura kwa CcmMbowe na yeye anatetea biashara zake na maslahi yake
Tokea lini mwenye kushiba akamkumbuka mwenye njaa
Acha kulialia hapa. Kama kweli unawajali watanzania si uwatetee wewe? Umeambiwa Mbowe kazaliwa ili akutetee wewe huku umekaa nyuma ya keyboard ukivimbisha mtumbo?Ni mjinga pekee haswa yule alieshikiwa akili na wanasiasa ndio anaweza kuamini kuwa Mbowe na wanasiasa wengine wanapigania masilahi ya watanzania. Ila kwa tunaojitambua tunafahamu fika kuwa hao wanasiasa uchwara uliowataja hapa wote wanapigania matumbo yao na masilahi ya watoto zao. Ndio maana wakishaenda Ikulu kuhakikishiwa kuwa masilahi yao hayatoguswa, hugeuka bubu kuwatetea wengine.