Mbowe na Wapinzani wengine walikosea sana, Watanzania sio wakupiganiwa, ni kuwaacha kama walivyo

Mbowe na Wapinzani wengine walikosea sana, Watanzania sio wakupiganiwa, ni kuwaacha kama walivyo

bora watu wakose pesa ila wapate peace of mind.
hakuna kuuana, hakuna watu kupotea, watu hawadhulumiwi fedha zao, bomoabomoa za upendeleo hazipo na mengi mengi

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
pesa mlizotengeneza kwa kukwepa kodi zilipochukuliwa ndio ilikuwa mnaonewa ila
kukwepa kodi kwenu ilikuwa sahihi?
 
bora watu wakose pesa ila wapate peace of mind.

Majizi ya vyeti mnalamba asali sasa hivi ndio maana mko na PEACE OF MIND.

Lambeni asali. Mkuu wenu wa ELIMU DUNI Chief Hangaya kawatupia jicho la huruma.
 
Nadhani kwasasa wameamua kukaa kimya,tujionee wenyewe,maana wakijitoaga kutupigania,wanabezwa.
Statement ime sum ukimya wao. Huwezi ipqgania jamii isiyojitambua. Acha wanyooshwe
 
Ni mjinga pekee haswa yule alieshikiwa akili na wanasiasa ndio anaweza kuamini kuwa Mbowe na wanasiasa wengine wanapigania masilahi ya watanzania. Ila kwa tunaojitambua tunafahamu fika kuwa hao wanasiasa uchwara uliowataja hapa wote wanapigania matumbo yao na masilahi ya watoto zao. Ndio maana wakishaenda Ikulu kuhakikishiwa kuwa masilahi yao hayatoguswa, hugeuka bubu kuwatetea wengine.
Wewe hata watoto wako huna uwezo wa kuwapigania. Acha waliojaribu kujitoa kwa ajili ya watu wasifiwe. Mtu anaitisha maandamano kudai haki zenu mnajifungia ndani mlataka afanye nini?
Mleta mada uko sahihi, watuache tunyooshwe hatujitàmbui.
 
Kabisa yani ndio maana sasa maisha ni rahisi sana!

Mafuta sawa na bure, bidhaa za vyakula sawa na bure,

Dhalimu alituonea sana. Tumefungua nchi. tunaokota hela mtaani.

Anaelalamikia hizo bei ni sukuma gang huyo

Zipande kisawasawa ili mradi dhalimu hayupo.
 
Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.

Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.

Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.


Nani amekuambia nchi hii kuna mwanasiasa (wa upinzani au wa chama tawala) anampigania mwananchi wa kawaida?

Tangu mwanzo Mbowe na wenzake wanasukumwa na maslahi yao na ya familia zao!
 
Kabisa yani ndio maana sasa maisha ni rahisi sana!

Mafuta sawa na bure, bidhaa za vyakula sawa na bure,

Dhalimu alituonea sana. Tumefungua nchi. tunaokota hela mtaani.

Anaelalamikia hizo bei ni sukuma gang huyo
mkuu acha USENGELEMA
 
Kwa Mkristo soma Biblia ujue yaliyomkuta Yesu. Alipingia Yerusalemu watu aliowaponya, akawapa chakula, akawahubiria habari njema, walimuimbia Hosana Hosana na vigelegele vingi kama Mfalme. Siku moja baadae si walimgeuka wakasema afadhali yule jambazi Baraba aachiwe huru, lakini Yesu asulubiwe!
Walimuogopa Kaisari.
Hivyo ndivyo watu walivyo bwana.
 
Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.

Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.

Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.

Unazungumzia Mbowe gani? Ila kama huyu wa chini hapo kafanye homework yako tena.
images (48).jpeg
 
Nashauri Mbowe na wengine wakae kimya waangalie maisha yao na Familia zao, Watanzania sio watu wa kutetete kamwe, bora kutetea hata wale Mbwa wanao zurura mitaani wasipigwe ila sio kutetea Watanzania.

Huwezi pigania watu wasio jitambua, Watanzania hatuajijitambua na hakuna uwezekano wa kujitambua hivi karibuni, hivyo hawa Wapianzani wanao watetea ni sawa na kupigia Mbuzi gitaaa tu.

Tunapaswa kuachwa tulivyo na wano tutetea wanapoteza nguvu na muda, sisi sio watu wa kupiganiwa kabisa.

Naunga mkono hoja hata mimi nashauri hivyo watanzania wamekuwa mazuzu,hakuna haja wa kuwatetea wanachi maana hawaonyeshi kujitambua kila mtu abebe msalaba wake,viongozi wa Chadema wamejithidi sana wengine wamepata vilema vya kudumu,wengine wameuwawa,wengine wamefilisiwa kwa ajili ya kutetea lakini hatuonyeshi ushirikiano,nashauri wakale maisha na familia zao kila mtu ajipange kivyake hakuna rangi hatutaona tulishindwa kutumia kura yetu ipasavyo
 
Hyo ndio hulka yetu kiasiri sisi watanzania na huoga pia unachangia ,wanasiasa wanatumia ukimya wetu plus uoga kama fursa kuamua wanalotaka ila ipo siku narudia ipo siku mana hakuna marefu yasiyo nawisho.
 
Ni mjinga pekee haswa yule alieshikiwa akili na wanasiasa ndio anaweza kuamini kuwa Mbowe na wanasiasa wengine wanapigania masilahi ya watanzania. Ila kwa tunaojitambua tunafahamu fika kuwa hao wanasiasa uchwara uliowataja hapa wote wanapigania matumbo yao na masilahi ya watoto zao. Ndio maana wakishaenda Ikulu kuhakikishiwa kuwa masilahi yao hayatoguswa, hugeuka bubu kuwatetea wengine.
Acha kulialia hapa. Kama kweli unawajali watanzania si uwatetee wewe? Umeambiwa Mbowe kazaliwa ili akutetee wewe huku umekaa nyuma ya keyboard ukivimbisha mtumbo?
 
Back
Top Bottom