Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

Atatoka tu mkuu,lini,saa ngapi ila atatoka tu.
 
Mbona kuna wafungwa na mahabusu lukuki magarezani na hawajapewa fursa ya kuomba radhi? Wapeni hiyo fursa basi msipendelee si mnasema binadamu wote ni sawa.Gaidi kama gaidi eti aombe radhi wakati wezi wa kuku tu wanaoza magerezani.
Sio baba yako, hata akifungwa hutapoteza wala kupungukiwa chochote..

Familia isiwe wajinga kutumika kisiasa..
 
PATAMU palikuwa pale,,je alihitaji watu WA nini,,Urio akasema WA Ku mprotect,kwahiyo hela aliyotoa Urio ilikuwa ya nini,no ya Nauru. Ngoja tuone
 
Mchakato wa mahakama ni mrefu sana na una hatua nyingi kila hatua ni muhimu kwa sababu kuna kusoma na kueleza mwanzo paka mwisho.

Ila jaji leo amekua mvivu wa kusoma, kafanya ruling kwamba mbowe na wezie wana kesi ya kujibu wa jiendae kujitetea, ila kwa ushahidi upi? Ulio mshawishi Jaji kutoa maamuzi hayo kasoma kesi zao tano ila hajataja ushahidi alio zigatia kuja na maamuzi hayo, Mimi si mshabikiagi wa kesi ila najua Mahakamani kuna mengi sanaa hata kama huna hatia unajikuta umefungwa bure wanakuja kugundua umesha umia miaka kadhaa tuombe e hao watu haki itendeke
 
Kwa hiyo wale waluohitokeza mahakamani kwa nderemo na vifijo wameondoka wakiwa wamelowa kama kuku wa kienyeji baada ya kuona karandinga linasogea kuwabeba watuhumiwa?
 
Serikali ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan inatafuta wale walioitunga hii kesi ya mchongo kwa udi na uvumba .


Ndiyo maana kesi hii namba 16/ 2021 inayowakabili Freeman Mbowe na wenzie 3 inaendelea ili wale wote waliohusika na njama za kuudanganya umma wote wa waTanzania na kuchafua sifa ya nchi kwa kutumia rasilimali za umma ikiwemo fedha za serikali na watumishi wa umma waweze kufahamika.

Walioitunga hii kesi ya mchongo wajitayarishe kuwajibishwa bila huruma kwa kufuata sheria zilizopo ili jambo na kashfa hii isiweze tena kutendeka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


TUJIKUMBUSHE KESI ZA KIHISTORIA ZILIZOPO KTK MAKTABA ZA KIMATAIFA :




Our struggle has reached a decisive moment. We call on our people to seize this moment so that the process towards democracy is rapid and uninterrupted. We have waited too long for our freedom. We can no longer wait. Now is the time to intensify the struggle on all fronts. To relax our efforts now would be a mistake which generations to come will not be able to forgive. The sight of freedom looming on the horizon should encourage us to redouble our efforts.



https://www.un.org › mandeladay
Nelson Mandela's Statement from the Dock at the Opening

Nelson Mandela's Statement from the Dock at the Opening of the Defence Case in the Rivonia Trial Pretoria Supreme Court, 20 April
 
Jaji anataka kulazimisha mashahidi wa utetezi watajwe kwa majina ili jamhuri wakawasumbue, kuwatisha, na kuwateka ili siku ya kutoa ushahidi wao wasionekane halafu tudanganywe mashahidi wameingia mitini. Huu ni muendelezo wa uhuni unaofanywa kwenye hii kesi.
 
Wenawe unajidaigi msomi kumbe binge la bogus kichwa boga!! Criminal procedure ndohakuna mashahidi? Mbona saa baya nimmoja wa mashahidi upande wa utetezi.... Empty head!!
 
Hakuna haki itakayotendekà hapa, wamedhamiria kuwafunga.
 
Mbona kuna wafungwa na mahabusu lukuki magarezani na hawajapewa fursa ya kuomba radhi? Wapeni hiyo fursa basi msipendelee si mnasema binadamu wote ni sawa.Gaidi kama gaidi eti aombe radhi wakati wezi wa kuku tu wanaoza magerezani.
Hawezi kukujibu Mkuu. Ndiyo ujue hakuna gaidi hapo. Unampaje gaidi nafasi ya kuomba msamaha?
 
Mkuu niliuliza hapa kwanini mawakili wa mbowe wanauliza maswali mepesi watu wakanirukia.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 unachekesha sana.
 
Nelson Mandela alishtakiwa na kuhukumiwa kifungo Cha maisha kwa kesi ya Uhaini na utawala dhalimu wa makaburu wa Afrika ya kusini ,
Makaburu baada ya kugundua Mandela Yuko Imara hata gerezani walimshawishi kumuachia huru kwa masharti ya kukubali kutoshiriki ktk harakati za ukombozi !
Mandela aliwajibu Ni heri afie gerezani kuliko kupata msamaha wa Bandia....
VIVA FREEMAN ALIKAEL MBOWE
DONT GIVE UP THE FIGHT
CAUSE NON OF THEM CAN NOT THE TIME.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…