[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unachekesha sana.
Vipi maombi yako yamesikilizwa au?,[emoji23][emoji23][emoji23] Shukrani zimwendee jaji anayesimamia kesi hii,Kama yumo humu naomba aje PM yangu nimpe ya bia[emoji23][emoji23][emoji23]Leo ni sku ya shetani kuanguka au kuangushwa tena.
Ee Baba wa Mbinguni Mungu, ukasimamie haki, madhalimu wakashindwe na uwakukumu kwa matendo yao maovu.
SureKuna msukumo, msukumo wa dola hivyo tegemea mwisho mbaya wa kesi hii.
Wanachojaribu ni kutua mzigo wa lawama Kwa kesi mchongoKuna msukumo, msukumo wa dola hivyo tegemea mwisho mbaya wa kesi hii.
Shujaa anaenda kunyea debe[emoji23][emoji23]
Yaani unataka mashahidi wa utetezi wasijulikane ili wasitishwe?Jaji anataka kulazimisha mashahidi wa utetezi watajwe kwa majina ili jamhuri wakawasumbue na kuwatisha, huu ni muendelezo wa uhuni unaofanywa kwenye hii kesi.
ukweli mtupu mama bado ana kiburiI Kwa namna Rais alivyojibu swali la mbowe la Soud wa DEUTCHEWELLE kwa kupaniki nilikua Najua tu kuwa bado ana kitu rohoni na anahisi itakua fedheha kwake mbowe kuonekana hana kesi ya kujibu
Lakini muhimu tumshauri Rais asibebe dhambi za kurithi ; hao watu wameteseka sana hasa hao commandos
asijitafutie dhambi bure
Waliyokuja hapo mahakamani na ambao hawakuja ni wepi wengi?Nikiangalia umati wa watu nimeamini ule uchaguz kura tuliibiwa
Time will tell. Bado tunaamini Mungu na haki vita prevailVipi maombi yako yamesikilizwa au?,[emoji23][emoji23][emoji23] Shukrani zimwendee jaji anayesimamia kesi hii,Kama yumo humu naomba aje PM yangu nimpe ya bia[emoji23][emoji23][emoji23]
Msiwateke ili siku yao ya kutoa ushahidi wao ikifika waonekane mahakamani, tusije kudanganywa wameingia mitini.Yaani unataka mashahidi wa utetezi wasijulikane ili wasitishwe?
Mahakama imeshatoa hukumu ndogo.Watuhumiwa wajitetee ili haki itendeke.
Mahakama ifanye maamuzi yake bila msukumo.
Mkuu niliuliza hapa kwanini mawakili wa mbowe wanauliza maswali mepesi watu wakanirukia.
Sio kiburi, huna cha kumfanya..... [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] UBISHI WENU UMEKUFIKISHENI HAPA.ukweli mtupu mama bado ana kiburi