Mbowe na wenzako mnapoteza fedha za Chadema kwa kufanya mikutano isiyokuwa na tija

Mbowe na wenzako mnapoteza fedha za Chadema kwa kufanya mikutano isiyokuwa na tija

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.

Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.

Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
 
Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.

Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.

Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
nashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!

Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.

Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.

P
 
Yaan kama Mbowe anaongelea hizo nafasi basi ni kupigia mbuzi gitaa ili acheze

alipaswa kuwaambia njia za kufuta hizo nafasi na mikakati ya chama chake ktk harakati hizo

la msingi ni katiba mpya hayo yote yataondolewa na yale mamlaka ya rais kuteua watendaji badala ya kuajiriwa kulingana na CV
 
nashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!

Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.

Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.

P
Aisee leo sikubezi kama ilivyo kawaida yangu
 
Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.

Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu LissuA alisoma nini administrative Laws asiju e majukumu ya wakuu wa wilaya.

Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Ulipaswa umsikilize tena kwa makini upate sababu za kwanini anapendekeza hivo.
Kila wilaya ina DC, DAC, na DED, tofauti ya majukumu yao haiwiani na gharama za uendeshaji wa ofisi zao.
 
Ma DC wana kazi gani?
Au Kazi zenyewe ni hizi hizi za kukamata changudoa zinazofanywa na hawa wa Dar?
Kazi ambazo huenda ni jukumu la OCD kulifanya.
 
Jifunze kusikia vitu vipya hata toka kwa mtu usiyempenda...pokea HOJA zake, chakata na conclude..pia jifunze kusoma Katiba,Ripoti mbalimbali za Majaji wastaafu juu ya Katiba na majukumu ya RC,DC ,DAS na DEDs..UTAEREVUKA!
 
Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.

Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.

Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Huna lolote la maana wewe! Kenge kabisa!
 
nashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!

Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.

Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.

P
Yaani Pascal unahangaika kushauri hili Bumunda unadhani ana akili? Huyu kwenye soka ni shabiki wa Simba, tafuta threads zake uone alivyo low minded. Usihangaike na Mtu anayelipwa 7000 kupush ujinga.
 
Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.

Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.

Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Unatia aibu ukiwa wapi?
 
Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.

Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.

Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Huna akili ya kujua faida ya mikutano hiyo,umekurupuka. After all haikuhusu.
 
nashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!

Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.

Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.

P
Well And Good
 
Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.

Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.

Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Harafu nyumbu wanatakiwa wao Chadema wanabana matumizi ikiwa kwenye magari wameona yanawachosha wachukue Chopa 😂😂
 
nashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!

Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.

Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.

P
Umemaliza kaka
 
Back
Top Bottom