Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
nashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.
Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.
Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Aisee leo sikubezi kama ilivyo kawaida yangunashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!
Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.
Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.
P
Ulipaswa umsikilize tena kwa makini upate sababu za kwanini anapendekeza hivo.Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.
Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu LissuA alisoma nini administrative Laws asiju e majukumu ya wakuu wa wilaya.
Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Huna lolote la maana wewe! Kenge kabisa!Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.
Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.
Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Yaani Pascal unahangaika kushauri hili Bumunda unadhani ana akili? Huyu kwenye soka ni shabiki wa Simba, tafuta threads zake uone alivyo low minded. Usihangaike na Mtu anayelipwa 7000 kupush ujinga.nashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!
Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.
Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.
P
Unatia aibu ukiwa wapi?Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.
Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.
Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Huna akili ya kujua faida ya mikutano hiyo,umekurupuka. After all haikuhusu.Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.
Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.
Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Well And Goodnashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!
Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.
Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.
P
Harafu nyumbu wanatakiwa wao Chadema wanabana matumizi ikiwa kwenye magari wameona yanawachosha wachukue Chopa 😂😂Nimekusikiliza leo ukiponda nafasi ya ma DC na unapendekeza vyeo hivyo vifutwe, niliposikia ukisema maneno hayo tu sikutaka tena kukusikiliza.
Huko mawilayani Wakuu wa Wilaya wana msaada mkubwa kwa wananchi, wananchi wana imani sana na wakuu wa wilaya, wao ndio wanaotuliza mambo ndani ya wilaya, nikipata muda nitakupitisha kwenye majukumu ya wakuu wa wilaya, lakini nashangaa pia mwanasheria Tundu Lissu alisoma nini administrative Laws asijue majukumu ya wakuu wa wilaya.
Kwa kweli rudisha hiyo chopa ya watu, mnachezea sana hela za wananchi wenu.
Umemaliza kakanashauri tujifunze kupinga hoja kwa hoja na sio hoja kwa viroja!
Posts za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, baada kuwa wakurugenzi wa kila wilaya, na kuna DAS, DC wa nini?. Everything a DC can do, Mkurugenzi anaweza, DAS anaweza!.
Tusibeze tuu kwasababu hoja imetolewa na upinzani!.
Ushauri huu uko kwenye Tume ya Warioba.
P