Mlamba asali mkubwa huyo.
una minyoo kichwani! you are to be ignored!Kalamba asali tena ile mbichi ya nyuki wadogo toka Tabora kabisa. Haiwezekani maji, umeme, gharama za maisha kupanda halafu yeye yupo kimya kabisa utadhani hayupo. Na kibaya kabisa kuna watu wanakufa kwa kuuawa kisa wapinzani ila yeye yupo kimya. Kipindi cha Dkt Magufuli kwa sababu hakulambishwa asali (hakupewa hongo ya kunyamaza kimya ila alipewa option ya kufanya kazi na serikali ya Dkt Magufuli) alikuwa kila kitu anakimulika kwa tochi ile ya kuwindia usiku au ile ya wana appolo wa mererani na kuropoka ovyo ovyo. Waliolambishwa asali upinzani ni pamoja na Zitto Kabwe tena yeye kalamba na kupewa mzinga kabisa kiasi kwamba akitaka kuropoka tu anachovya na kulamba anakaa kimya.
Busara zikae mbele kabla ya ukada! Ukizingatia hili utazipata buku zako Saba kiulaini Sana na hutakufa mapema kwa kuwa utakuwa mtu mwema!Lisu ameolewa ughaibuni kwa hiari yake na wala hakulazimishwa.
Mbona hatujamwona anarusha ngumiMwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema anakerwa sana na Watu wanaodai amerambishwa asali.
Mbowe amesema yuko kwenye upinzani kwa miaka 30 sasa nikipambana kwa Jasho na Damu hivyo kusema nalamba asali ni matusi kwangu
Source Ayo tv
KAMANDA kuna ONGEZEKO KUBWA la WAJINGA NCHI HII ni KUNDI la KUOGOPWA ndio hao WANAOROPOKA ROPOKA WAPUUZEMwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema anakerwa sana na Watu wanaodai amerambishwa asali.
Mbowe amesema yuko kwenye upinzani kwa miaka 30 sasa nikipambana kwa Jasho na Damu hivyo kusema nalamba asali ni matusi kwangu
Source Ayo tv
Technologia haipendi unafiki kabisa, anyway lakini ni ups and downs za waisha tusimlaumu sanaIkiwa kwa unafiki wake aliweza kulamba matapishi yake kwa Lowasa,hatushangai kulamba asali.
View attachment 2443374
Mbowe yuko anapigania ustawi wa Watanzania miaka yote hiyo na raia wenyewe wananing'iniza makende wala hawachukui hatua kila siku kulalamika tu.
Mwishowe amejichokea nguvu za mikiki ya ujana hana hao raia wenyewe wanasema analamba asali.
Jukumu la kutetea nchi sio la Mbowe na wapinzani peke yao, sio shamba la urithi hili
Off topic..Hivi huyu mzee Ulimwengu hua ana sifa gani mpaka maneno yake kutukuzwa hivi? Kuna kipindi walisema sio mtanzania .. kama kuna mdau ana wasifu wake pls.KAMANDA kuna ONGEZEKO KUBWA la WAJINGA NCHI HII ni KUNDI la KUOGOPWA ndio hao WANAOROPOKA ROPOKA WAPUUZEView attachment 2443384