Pre GE2025 Mbowe ndiye aliyepambania Uhai wa Lissu kwa Jasho na Damu Mpaka Kumvushia Nairobi Kenya lakini leo Lissu anampaka matope na kumuona hafai

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bakuli lipo wapi
Hii kuweka mabandiko ya kuwasifia watu ili wakupe hela kwanini hajui njaa uliyokuwa nayo wewe kapuku? Umeona suala la uteuzi limebuma sasa unaona umsifie kila mwenye hela ili usife njaa,wewe uliyekuwa unamponda Mbowe leo hii umekuwa chawa wake unampamba kwa kila sifa,ama kweli masikini hana kiapo
 

Attachments

  • Screenshot_20241218_213757.jpg
    195.1 KB · Views: 2
Mimi nipo kundi la wazalendo na siyo Machawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…