Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwiji na Dr Eng wa siasa za Tanzania na ukanda wa maziwa makuu na Asia na ukanda wa Ulaya in particular All hajj Maalim Abubakar MboweHuko Zanzibar anaitwa Maalim Abubakar Mbowe
Tumia Akili hata za Kuazima mkuu inaonyesha Ubongo umehamishwaNimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona??
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari.
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Ukisikia akili za kushikiwa ndio hizi.Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona??
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari.
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Huna sifa ya kujibiwa..Ni gwiji kwelikweli wa kukitoa chama kutoka wabunge 100 hadi 1
Hilo agizo alikupa nani? Kuna siku utajisikia kwenda haja, hutaenda, kwa sababu tu kuna mwendawazimu mmoja alikuambia huruhusiwi kwenda haja mpaka akuruhusu, na wewe kwa ujinga wako ukalibeba hilo kama vile uli weumbwa huna akili.Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona??
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari.
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Uyu tatizo lake ni ukereketwa, nadhani tu upstairs hayupo sawa.Yupo sahihi,ametoa taarifa kama mwanafamilia.Pia amepewa cheti cha kifo na Dr haina mbaya.
Hajatoa takwimu kitaifa.
Shida unachanganya ukereketwa wa siasa.
Amiri Jeshi mkuu amempa pole,wewe nani uhoji
Mjinga mwingine huyu hapa. Haelewi chochote na hafundishiki!!Mbowe kawa ndio msemaji wa korona
[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona??
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari.
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Hata hiyo ya kujua kuwa akili yake amechukuliwa,hajui.Nenda kamwambie aliechukua akili zako akurudishie.
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona??
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari.
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603