#COVID19 Mbowe ni nani hadi atangaze vifo vya wagonjwa wa Corona?

#COVID19 Mbowe ni nani hadi atangaze vifo vya wagonjwa wa Corona?

Sasa Mbowe imekuaje kashindwa kumshauri ndugu yake nae kudungwa chanjo au alikuwa mbishi kama yule Mwendazake mwenzie?
 
Samia hana nia ya dhati kabisa kupambana na corona ukiangalia mienendo yake

Yaani unakusanya watu morogoro na kuwaambia wasikusanyike?

Kama ni ujinga basi huu ni ujinga kiwango cha PhD
Na bado ratiba ya Mwenge inaendelea
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Siku Corona ikimuua bwana ako, tutamuambia MUSIBA atangaze,

Dikteta aliipuuza Corona ikamuua
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Ndio maana tunaitaka latina mpya tuondoke kwenye ujinga ujinga wa matumizi mabaya ya mamlaka, huenda hata adui ujinga akaondoka miongoni mwa watanzania walio wengi, wasioijua hata haki yao ya msingi na kuwaabudu watumiao vibaya mamlaka waliyonayo.
 
Mke wa Marehemu why unalalamika kwa jambo ambalo ungekaa na shemejiyo mkaliongea likaisha?

Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Jibu: Ni mdogo wake na marehemu. Kwetu Africa ndungu hutangaza kitu kilichomuua mpendwa wao. Hiyo hadithi ya kuangushwa na konyagi ilitungwa na akina bajaji bungeni na kuungwa mkono na polisi-ccm.
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603

Madalali wa shetani lazima wakereke na habari hii.

Hii ni roho nyingine inapotea ambapo serikali haiwezi kujivua lawama.

Kutolewa kwa takwimu sahihi kutasaidia kuepusha vifo kama hivi.
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Wewe ni mtu mjinga sana hata kwa maandiko na mawazo yako unaonekana waziwazi. Hivi Mbowe angetangaza kwamba kaka yake amekufa kwa malaria ungeandika upuuzi huu? Unataka watu wafiche korona?! Akili yako mbovu inakufanya ufikiri kama jpm kwamba korona ugonjwa usiotakiwa kujulikana, mwisho wa siku hiyo hiyo corona ilimtoa jpm na wewe pia utafuata usipokuwa makini na muwazi na ugonjwa huu.
 
Mbowe ni kaka wa Marehemu aliyefariki kwa Corona.

Nyie mataga pori mmezoeya kuvutwa masikio na mwendazake akili zenu hazichaji mpaka mgongwe makonzi ya utosi.
 
Sasa Mbowe imekuaje kashindwa kumshauri ndugu yake nae kudungwa chanjo au alikuwa mbishi kama yule Mwendazake mwenzie?
Sifa kuu ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamu
JamiiForums313878302.jpg
 
Aliyeleta hizo amri za kijinga kwamba kifo cha Corona kitangazwe na hao watu aliishajifia kitambo na amri zake, wewe inaonekana bado una muota unatakiwa sasa ukalinde kaburi.
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Nani alinyimwa kutangaza ugonjwa wa ndugu yake?

Ujinga mwingine baki nao kichwani kwako
 
Back
Top Bottom