Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ni muendelezo wa siasa tu?Karantini wapi ni usanii tu
Na bado ratiba ya Mwenge inaendeleaSamia hana nia ya dhati kabisa kupambana na corona ukiangalia mienendo yake
Yaani unakusanya watu morogoro na kuwaambia wasikusanyike?
Kama ni ujinga basi huu ni ujinga kiwango cha PhD
Mbowe kawa ndio msemaji wa korona
Hivi ndivyo inavyotakiwa. Atangaze mwenyewe kwa hiari yake bila sisi kumtaka afanye hivyo.Pole sana bwana Mbowe.
Vifo hivi vingeweza kuepukikwa. Ugonjwa bila ya serikali kuwajibika sote tu wahanga.
Ni suala la muda tu.
Cc: Fundi Mchundo
Siku Corona ikimuua bwana ako, tutamuambia MUSIBA atangaze,Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Ndio maana tunaitaka latina mpya tuondoke kwenye ujinga ujinga wa matumizi mabaya ya mamlaka, huenda hata adui ujinga akaondoka miongoni mwa watanzania walio wengi, wasioijua hata haki yao ya msingi na kuwaabudu watumiao vibaya mamlaka waliyonayo.Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Hivi ndivyo inavyotakiwa. Atangaze mwenyewe kwa hiari yake bila sisi kumtaka afanye hivyo.
Amandla...
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Jibu: Ni mdogo wake na marehemu. Kwetu Africa ndungu hutangaza kitu kilichomuua mpendwa wao. Hiyo hadithi ya kuangushwa na konyagi ilitungwa na akina bajaji bungeni na kuungwa mkono na polisi-ccm.Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Wewe ni mtu mjinga sana hata kwa maandiko na mawazo yako unaonekana waziwazi. Hivi Mbowe angetangaza kwamba kaka yake amekufa kwa malaria ungeandika upuuzi huu? Unataka watu wafiche korona?! Akili yako mbovu inakufanya ufikiri kama jpm kwamba korona ugonjwa usiotakiwa kujulikana, mwisho wa siku hiyo hiyo corona ilimtoa jpm na wewe pia utafuata usipokuwa makini na muwazi na ugonjwa huu.Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Yaani huyo junya hawezi kupost kitu bila kumtaja Mwamba,au ndiye alimtoa usichana wake,siyo kwa mahaba haya.Mleta mada we ni ndezi kweli, mambo ya familia ya Mbowe yanakuhusu nini
Sifa kuu ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamuSasa Mbowe imekuaje kashindwa kumshauri ndugu yake nae kudungwa chanjo au alikuwa mbishi kama yule Mwendazake mwenzie?
Ana sifa yakujibiwa;Huna sifa ya kujibiwa..
Nani alinyimwa kutangaza ugonjwa wa ndugu yake?Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603